fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Mbaya kutanguliaHakuna wa kubaki duniani daima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbaya kutanguliaHakuna wa kubaki duniani daima
Godbless Lema akiwa Mwanza amesema “Ukiona dereva bodaboda ameongezeka ujue ni umasikini umeongezeka, hakuna kazi ya mateso, ufukara na umasikini.
"Vijana mnaoendesha bodaboda hivi sasa, miaka 20 ijayo wote mtakuwa mmekufa, mtaumwa vifua, viuno, migongo na wengine mtakuwa vipofu kutokana na upepo.”
Ana kiaribia chama chake.Ana uhakika wa kupewa ubunge ndio maana anajifanya et anasimamia ukweli anasema hata wasipompa kura hajali.
Acheni kuperekeshwa na siasa za kinafki.Kwani uwongo???
Mfano,uwe unakaa gongo la mboto na kila siku uwe una piga trip za kuja moroco,hutamaliza miezi 3,6 lazima utakutana na jambo,kama siyo ajali ya kukuletea kilema basi kifo
Ova
Ana kiaribia chama chake.
Unawaza upumbavu. Anawachonganisha wapiga kura na chama chake. Kaamua kuisaidia CCM kujipatia kura zote za bodaboda..Lema hataki tena siasa za kura ya mtu sasa kaamua kuwapa hasira muitoe CCM madarakani.
Hawezi kueleweka ila anachokifanya ni siasa za Marx, ni mbaya kwa mtawala sababu anakuchonganisha na tabaka la wafanyakazi.
Nawaza hivyo.
Kama kaisaidia kwanini CCM inaangaika nae sasa Mkuu?Unawaza upumbavu. Anawachonganisha wapiga kura na chama chake. Kaamua kuisaidia CCM kujipatia kura zote za bodaboda..
Ukweli mchungu sanaGodbless Lema akiwa Mwanza amesema “Ukiona dereva bodaboda ameongezeka ujue ni umasikini umeongezeka, hakuna kazi ya mateso, ufukara na umasikini.
"Vijana mnaoendesha bodaboda hivi sasa, miaka 20 ijayo wote mtakuwa mmekufa, mtaumwa vifua, viuno, migongo na wengine mtakuwa vipofu kutokana na upepo.”
Lema limbukeni tu asome historia tunakopitia sisi hata nchi zilizoendelea zilipitia hatua zote tunazopitiaGodbless Lema akiwa Mwanza amesema “Ukiona dereva bodaboda ameongezeka ujue ni umasikini umeongezeka, hakuna kazi ya mateso, ufukara na umasikini.
"Vijana mnaoendesha bodaboda hivi sasa, miaka 20 ijayo wote mtakuwa mmekufa, mtaumwa vifua, viuno, migongo na wengine mtakuwa vipofu kutokana na upepo.”
Anataka wote tukimbilie Canada labdaVipi kuhusu makuli viwandani, wanaozama migodini wao hawatapata matatizo ya vifua, migongo na viuno?
Lema anataka wote tukakae bungeni tupige meza eeeh!
Ajali haina kinga hata nyumbani kwako unaweza kuwasha pikipiki ikakusababishia ajali, acha ushamba weweKwani uwongo???
Mfano,uwe unakaa gongo la mboto na kila siku uwe una piga trip za kuja moroco,hutamaliza miezi 3,6 lazima utakutana na jambo,kama siyo ajali ya kukuletea kilema basi kifo
Ova
[emoji7]Lema limbukeni tu asome historia tunakopitia sisi hata nchi zilizoendelea zilipitia hatua zote tunazopitia
Wewe mwenye akili ndogo kama yake ndo unaona anaongea facts lakini wenye akili kubwa wanamwelewa anabwabwaja tuLema kuna namna anaongea facts, ngumu sana wenye akili ndogo kumwelewa
Wewe mwenye akili ndogo kama yake ndo unaona anaongea facts lakini wenye akili kubwa wanamwelewa anabwabwaja tu