Kwa hiyo Mungu ilikuwa ni chaguo lake kuumba ulimwengu wenye kuruhusu mabaya au naye hakutarajia?Wee! nakumbuka hadi ulinukuu, nilisema huu ni mzuri zaidi kwa wakati huu.
Basi niseme niongeze, kwa wakati huu wa utoto wetu kiroho hadi tutakapograduate kiroho.
Hivi braza miaka arobaini themanini ina hasara gani kwa umilele?
Na nilisisitiza vya kutosha kwamba ubaya sio kitu cha lazima kuthibitisha uwepo wa utashi huru. Anayeng'an'gana kuwa ubaya na wema ndio unakamilisha freewill ni wewe sio mimi.
Kwa maana hiyo sio uovuNi kama kusema ana uwezo wa kufanya maovu kulingana na uwezo wake ukimpima utashi na uwezo ila hafanyi hizo dhambi kutokana na maamuzi yake.
Ni kama kijana wa kiume akipimwa kibaiolojia anao uwezo wa kubaka[in theory] lakini habaki maana yeye ameamua na amejitambua na sio mbakaji.
Mungu kama ilivyo baba zetu siku zote He wants the best for us; I believe Him, Things have reasons/purpose.Kwa hiyo Mungu ilikuwa ni chaguo lake kuumba ulimwengu wenye kuruhusu mabaya au naye hakutarajia?
Nishakuambia kuhusu mfano wako wa baba kum refer Mungu ni kosaMungu kama ilivyo baba zetu siku zote He wants the best for us; I believe Him, Things have reasons/purpose.
Nikuulize wewe je ungependa kuishi kama roboti? au ungependa kuishi kama mwanadamu?
Mh! sina namna ya kumtofautisha roboti na mwanadamu hata hivyo kulingana na unavyomchukulia mwanadamu. Pole.
Lakini we jamaa ni mbishi tu, kuna sehemu hadi ukatype kwamba hata hicho ulichokitype kilikuwa kimeshaapangwa!! seriously??
Kama unauliza kuhusu maoni yangu yakuhusu ulimwengu wa namna gani ambao ulikuwa best mi ningechagua ule ambao haupingani na sifa za Mungu wakoNikuulize wewe je ungependa kuishi kama roboti? au ungependa kuishi kama mwanadamu?
Mh! sina namna ya kumtofautisha roboti na mwanadamu hata hivyo kulingana na unavyomchukulia mwanadamu. Pole.
Lakini we jamaa ni mbishi tu, kuna sehemu hadi ukatype kwamba hata hicho ulichokitype kilikuwa kimeshaapangwa!! seriously??
Wa namna hiyo ungefanya upendo ushindikanike, upendo huja kwa hiyari na sio sheria kali.Kama unauliza kuhusu maoni yangu yakuhusu ulimwengu wa namna gani ambao ulikuwa best mi ningechagua ule ambao haupingani na sifa za Mungu wako
Usio weza kuruhusu maovu. Usiseme ameruhusu maovu ili kufanya watu wasio robot wakati huko mbinguni kuna maisha ambayo hayaruhusu maovu na hakuna kiumbe kinacho behave kama robot
Freewill ni illusion tu wala haipo in reality
Nataka nianze na Mfano wako wa kusema malaika hawana freewill na kwamba wamekuwa programmed kutii kile ambacho Mungu anawaagiza
Kumbuka freewill ni dhana yenye kuambatana na selection ya mambo mawili "ubaya na uzuri"
Sasa kama malaika hawana freewill na kwamba hawawezi kufanya ubaya, unaelezeaje ishu ya malaika muovu lucifer ambaye alifanya ubaya kwa kumsaliti Mungu?
Alitumia njia gani kufanya ubaya huo bila kuhusisha freewill?
Vipi kuhusu robo tatu ya malaika walioshawishiwa na shetani na kuungana naye katika mkakati wa kumsaliti Mungu na kupelekea vita huko mbinguni?
Hayo yote yaliwezekanaje kufanyika kama malaika wako programmed na hawana freewill ya kuwawezesha kuchagua kufanya ubaya?
Mnaofikiria kwamba mateso na migogoro ipo duniani na kwmaba mbinguni ni raha tu, mnabidi mkumbuke kuwa vita ya kwanza ilianzia huko huko
Mpaka hapo tushajua mbinguni sio sehemu salama na kwamba kuepuka kwako vikwazo huku duniani unakumbushwa kuwa na mwendelezo huo huo wa kinidhamu hata ukiwa huko.
Kwanza Hakuna FREE WILL....isipokua kuna utashi..Mungu katupa utashi..utashi ni utambuzi wa jema, baya, nini cha kufanya, nini nisifanye na matokeo yake ni nini....Hicho ndo Mungu katupatia...yaani ametupa uwezo wa kughamua matokeo ya matendo tunayofanya...Tunafundikshwa amri kumi za Mungu na maelekezo mengine kibao, hizi ni amri....ni maelekezo, tunapaswa kufanya na tusipotekeleza tutaadhibiwa...Mfano ukiwa barabarani unaendesha..ukikuta alama za zebra unapaswa kusimama...dereva anayesimama kwenye zebra anakua kafanya kwa free will au sababu anajua ni sheria na akipita atapewa adhabu, lkn pia hapohapo kuna madereva wengi tunapita tu Zebra..hatupunguzi au kusimama kidogo...je tunakua hatujui matokeo yake kuwa kuna 30,000 au??Utashi ni kutambua kuwa kupita kwenye zebra bila kupunguza si sawa sababu unaweza kusababisha ajali kwa wavukaji etc...kuamua kwenda au kusimama ni maamuzi binafsi...huku ukijua nini matokeo yake....binadamu ni roho, baada ya roho kuacha mwili mwili huoza, hivyo roho ndio hubaki sehemu mabayo itasubiri kusomewa hukumu yake. Mungu atahukumu roho, ili uweze kuishi milele mwanadamu lazima uwe katikati mfumo wa roho.
Sasa shida inakuja hapa!
-Je siku ya kuhukumiwa mimi nitakua najifahamu kua ndio mimi? (Kumbuka roho ndio inabeba taarifa zako zote/kwenye roho ndio kuna mind ambayo inahusika nawe kujitambua)
-Kama nitajitambua nitawezaje kuishi heaven kwa raha huku wazazi na ndugu zangu wapendwa nimewashuhudia wakienda kuchomwa moto?
-Labda siku hiyo tutakua hatutambuani, kama hatutambuani it means hata mimi sitajitambua. Sasa kama mimi sitajitambua nitajuaje kama ni mimi ndio niko peponi au motoni? (Kumbuka kama nikijitambua sitafurahia kwenda heaven wakati my wife and any of my kids they're suffering in hell)
-Sawa nitajitambua, nitakubali na matokeo ndigu zangu wateseke motoni. Je wale wanawake 70 bikra nitawafaidi vipi wakati mimi nitakua katika mfumo wa roho, roho haiwezi kufanya mapenzi and lastly huko Mungu hawezi kuparuhusu tupafanye danguro. (Kumbuka Mbinguni tutakua kwa mfumo wa roho, sio mwili maana mwili huharibika. Kama tukiwa nao basi hatutoishi huko milele, mwili ni compatible kwa maisha ya Duniani tu)
Kama upendo huja kwa hiari na sio sheria kali kwanini kuna adhabu ya moto?Wa namna hiyo ungefanya upendo ushindikanike, upendo huja kwa hiyari na sio sheria kali.
Na nitazidi kusema kuwa hakuna kizuizi cha kinguvu kinachozuia raia wengi tu wa kimbingu wasitende maovu [kinyume na mapenzi ya Baba] bali ni wao wenyewe tu na upendo wao ndio unaowashikamanisha. Mfano Yesu angeweza kuamua kuepuka kikombe bali aliamua kuendana na mapenzi ya Baba, kutii au kuwa muislamu literally. Shetani aliamua kinyume na akatenda kinyume na iliwezekana na alikuwa mbinguni! Baadhi ya malaika pia waliwahi kushirikiana na Ibilisi. Inawezekana.
Sitaacha kutoa mifano, vitani akikamatwa raia wa kawaida au mwanajeshi wa kawaida jeshi la adui linaweza kujaribu kumtrain na kumbreak ili awe upande wao. Lakini kuna baadhi ya vyeo mwanajeshi akifikia ni bora tu ukimkamata umuue maana loyality kwa nchi yake ipo kiwango cha juu mno. Na hiyo haiondoi kuwa mwanajeshi huyo anaweza kuamua kuisaliti nchi yake. Yaani ukute mwanajeshi katika difinition ya yeye kuna jina la nchi yake kabisa atakufa kabla hajaisaliti nchi yake. Ndio watu wa mbinguni, wamejidifine kuwa wao ni sehemu ya ufalme wa Mungu hawafanyi uovu, ila wakiamua wanaweza. Ndiyo maana sisi tunasemaga tu generally mbinguni hakuna uovu
Lakini pia mambo mengi kule hakuna, magonjwa, njaa, na vitu vingi vya kidunia. Unabakia tu utii na kiburi katika maamuzi. Aliyeenda kule alishajiamulia tangu duniani kuwa atakuwa mtii sasa abadilikie nini tena akifika huko? Mbinguni hawabehave kama maroboti wanatenda kwa mapenzi yao kabisa kazi za Mungu hata kama kinadharia wangeweza kuchepuka[wengi wao].
Unauhakika gn kuwa yuda yupo tumboni kashatengenezwa kuwa msaliti +? Lete ushahidi wa maandiko matakatifu sio dhana za kufikirikaFreewill haipo kwasababu Mungu ndiye anayetengeneza fate
Refer kwa kisa cha yuda kumsaliti yesu, Yuda hata kabla hajazaliwa alikuwa amekwisha andaliwa kutimiza mpango wa Mungu
Kwa maana ya kwamba hakuwa na freewill yeyote ya kuweza kuepuka usaliti
Mungu alimuumba Yuda akiwa tayari msaliti angali yupo tumboni, hakuwa na option ya kuepuka na kwamba usaliti ule aufanye zakayo au mtu mwingine yeyote.
Sasa kama mtu hufanya kile ambacho ameumbiwa aje afanye utasemaje kuwa ni freewill?
Mbali zaidi kwanini mtu ambaye anafanya kile alichoumbiwa aje afanye, aje kuadhibiwa tena?
Nini maana ya freewill?Mungu amemuumba mtu na free will kwa lengo la kumwonyesha ukweli wa mambo ulivyo au utakavyokuwa katika hayo mambo anayochagua au atakayochagua.
Uchaguzi wetu ndio hatima yetu. Kama tunachagua ubaya kwa mfano, hivyo ndivyo hatima yetu inakuwa. Lakini Mungu anaweza kuingilia.
Kila kitu, chochote chanzo chao ni Mungu; hivyo kila kitu ni kitakatifu. Katika ukweli huu ndio pia ukweli wa free will kwa binadamu.
Tuna hatua kadhaa za hisia zinazotawala katika kumjua Mungu;Kama upendo huja kwa hiari na sio sheria kali kwanini kuna adhabu ya moto?
Watu wanafanya mema sio kwa kupenda ni kwasababu ya kuogopa moto, sasa hiyo hiari hapo iko wapi?
Mungu hajampangia yeyote kitu chochote.Hili sio jambo la kuongezwa, ni jambo ambalo lipo na linafungama na sifa za Mungu wako otherwise umpunguze sifa Mungu ili tui exclude hiyo hoja hapa
Kwa sifa za Mungu ni kwamba kila kitu kilishakuwa calculated na hapa tunapita njia aliyotuwekea sisi japo katika fikra zetu tunaweza hisi tunafanya mambo kwa utashi wetu Refer katika ile verse ya ephisians.
Sasa kama kila kitu kinachotokea hakitokei kwa bahati mbaya, ipi nafasi ya mtu kuwa responsible kwa matendo ayafanyayo wakati tayari alikwisha umbwa aje afanye hayo aliyofanya?
Ungepangiwa usingekuwa na mamlaka ya kufanya uchaguzi. The very moment unakuwa na uwezo wa kufanya uamuzi, hapohapo dhana ya kupangiwa inaondoka.Mfano wako hauko relevant
Kwasababu ujuzi wangu sio wa uhakika, pili swala la juma kutosoma sio uamuzi wake maana alikwisha pangiwa asije kusoma tangu hata hajazaliwa na hakuweza kuepuka hilo
Niambie kwa namna gani Juma angeweza kutumia freewill ya kusoma na kufaulu ikiwa Mungu alikwisha mpangia tangu hajazaliwa?
Ubaya na wema ni matokeo ya freewill
Sasa mama mjamzito anayetoa mimba kwa kukiua kichanga tumboni halafu Mungu alikwisha kujua hilo na alikuwa na uwezo wa kulizuia lakini akaruhusu litokee kwasababu ya freewill
Kama Mungu anajali freewill, ni ipi nafasi ya hicho kichanga kutumia freewill kati ya kuchagua kuuliwa au kutouliwa?
Unakuwaje na uhuru wa kuchagua kama tayari umeshapangiwa?Unatumia ubaya kufanya mazuri yaonekane mazuri
Kwani haiwezekani kuwa na freewill yenye kuchagua mazuri pekee?
Rudia kuisoma, nimekuwekea na kwa Kiswahili.Verse haizungumzii uhuru wa Mungu kwenye mambo yake, imnazungumzia nafasi ya Mungu katika kuwapangia watu mambo yote kwa mapenzi yake
Mungu anayewachagulia watu kwa kusudi lake, hao watu waliochaguliwa kwenye mambo fulani utasemaje wametumia freewill kuchagua hayo waliyo chaguliwa?
Alimtaja Yuda?Last Super wakati anasema mmoja wenu humu atanisaliti
Hakuna chochote kilipangwa. Maamuzi yako ndiyo yanakuletea mpango mzima wa hatma yako.Unashindwa kuelewa jambo
Ni kwamba katika concept ya freewill na dhana ya Mungu mjuzi wa yote, muweza wa yote na mwenye upendo wote.
Tunasema freewill ni illusion kwasababu kila kitu kilipangwa though the choice may seem very free for you but in reality you're choice cannot be otherwise