Uhakika Bro
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 3,644
- 4,315
Labda tunatofautiana baba,Baba anakosea, sio mara zote anaweza kuwa sahihi
Baba ni kiumbe duni, hana upendo wote kwani ni mara ngapi katika jamii tumeshuhudia ukatiri wa wazazi kwa watoto?
Mfano wako wa baba hauna nguvu katika kutetea hoja kuhusu Mungu muweza wa yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote
Binafsi nililelewa na baba aliyekuwa na upendo wote [kulingana na mimi], alikuwa na ujuzi wote [ukilinganisha na utoto na ujinga wangu] na uwezo wote. So nimekua nikiwa na mfano bora. Hata kama angeweza kuninunulia pipi kila siku hakufanya hivyo na nilimuamini kwamba anajua chema zaidi kwangu.
Kama wewe unayo mifano ya ukatili tu wa wazazi basi usihangaike kubisha hapa watafute wanasaikolojia wakusaidie.