Time keeper [emoji6]Ngoja tukuchokoze; a debate has three or four members/participants..... proposers, opposers and members of the floor plus mwenyekiti na katibu na mgeni rasmi na jaji. Even members of the floor are participants in some parts, so: they are debators in more than one way[emoji57][emoji57]
kwa nn nilimsahau huyu, muhimu sana.Time keeper [emoji6]
[emoji23]Siju
kwa nn nilimsahau huyu, muhimu sana.
Kuna time keeper mmoja alikuwa wa mchongo, upande asokubaliana nao wakianza tu kuongea muda umeisha, af upande mwingine anawaongezea muda
Yikes! I'll take it as a compliment, but may be i am notMwandiki wako kama wa mdada fulani hivi. Maybe ndio wewe
Umeandika Nini wewe mtumwa wa waarabu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]'Alima ma-kana wa'alima ma-yakunu-wa'alima makana lawkana kaifa kana yakunu ...
Al Imaam Abu Dawood katika shairi lake Al-Haiyyah aliandika katika moja ya beti 'Wabil-qadaril-maqduri a'iqin fainahu ..."
[emoji4]
[emoji23]Umeandika Nini wewe mtumwa wa waarabu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe mtumwa wa nani?Umeandika Nini wewe mtumwa wa waarabu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bado swali liko palepale.kabla Mungu haja waumba hao malaika alijua Kama wata asi au hakujua? Kama hakujua Basi anakosa sifa ya kua muweza wa yote na mjuzi wa yote na Kama alijua na bado akawaumba wakiwa tiyari niwasaliti Basi Mungu pia anamapungufuUamuzi huu wa malaika unathibitisha dhana ya freewill.
Kwamba; malaika wote walikuwa na uhuru wa ama kuchagua kuwa wema kama Mungu alivyo ama kuchagua kuwa waovu.
Theluthi mbili walichagua kwa uhuru na utashi wao kuwa wema kama alivyo Mungu, na theluthi moja iliyobaki nao kwa uhuru na utashi wao wakachagua kuwa waovu.
Hakuna aliyewapangia wawe waovu, ila wao ndio walichagua kuwa waovu na Mungu akaheshimu uamuzi wao.
Hiyo ndio freewill yenyewe sasa.
Hapo ndipo swali lilipo je Mungu kabla hajamuumba Lucifer je hakujua Kama ata hasi na Kama hujua Basi si mjuzi wa vyote nakama alijua na bado akamuumba na mapungufu ya kiasi kosa la Lucifer na lipi? Hapa mkosaji Ni munguMungu hakumuumba shetani, alimuumba malaika mwema anayeitwa Lucifer. In fact Mungu hajawahi kuumba uovu wala waovu. Alichokiumba Mungu na aliowaumba Mungu wote ni wema (Mwanzo 1:31). Shetani ni matokeo ya Lucifer kuchagua uovu.
Kichwa chako wewe.# Ila nikushauri tu kama wewe ni Mkatoliki basi piga hatua nyingine ya kuzaliwa mara ya pili ili uweze kufika mbinguni maana hatutaenda mbinguni kwa dini zetu bali kwa njia ya Yesu kristo sawasawa na neno la Mungu katika Yohana 14: 6. Simaanishi uhame dini yako bali umpokee Yesu Kristo katika maisha yako
Umelewa nilichokiandika? Mimi mwenyewe ninayeandika ni muumini wa dhehebu hilohilo lakini nimeongeza hatua moja uliyoiandika ya kumpokea Kristo. Na hicho ndicho nilichokiandika pale juu.Kichwa chako wewe.
Unataka kusema siwezi kuingia mbinguni kwakua ni mkatoliki??
Kwamba wakatoliki hatujampokea kristo?
Kwanini unaona nahitaji/tunahutaji kumpokea kristoUmelewa nilichokiandika? Mimi mwenyewe ninayeandika ni muumini wa dhehebu hilohilo lakini nimeongeza hatua moja uliyoiandika ya kumpokea Kristo. Na hicho ndicho nilichokiandika pale juu.
Kama sababu naamini neno lake katika biblia takatifu. Na kama wewe unaamini neno la Mungu tafuta kujua hilo kwa Roho mtakatifu. Usitafute ili ukabishane na watu maana hutapata. Ila kama ukitaka kufika mbinguni kweli muombe Roho mtakatifu akufundishe taelewa neno lake.Kwanini unaona nahitaji/tunahutaji kumpokea kristo
Niliwahi kusema hili katika uzi wangu fulani hivi, na leo nakazia, ni hivi: fikra zangu zinanituma kuwa dhana ya free will na Mungu muweza wa yote ni kama pande mbili za sarafu moja. Ili upande mmoja uonekane ni lazima upande mwingine usionekane.
Ili binadamu awe na free will basi inabidi Mungu asiwe muwezz wa yote, kwa maana ya kwamba kuna vitu ambavyo vipo nje ya uwezo wa Mungu.
Na kama Mungu ni muweza wa yote basi binadamu hawezi kuwa na free will.
Hii ya kusema kwamba Mungu ni muweza wa yote lakini pia ametupa free will kuchagua mema na mabaya ni haiwezekani. Huwezi kuweka sarafu ya shilingi 100 mezani na ukaona Nyerere na swala kwa wakati mmoja. Hell no.
Did you use your freewill to write this comment, or you were programmed to write it?