Kijana hili jambo naona limeshakushinda, swali langu mpaka muda huu hujajibu, nimekuuliza hivi onyesha uhusiano wa Mola kujua na wewe kufanya jambo au kutofanya jambo ?
Uchaguzi wa kufanya unachotaka ni huo ambao umechagua kwenda kushoto na hujaenda muda ambao ungetaka kwenda kulia pia ungeenda.
Allah anajua ya kesho, yaliyopo na ambayo hayapo. Anajua kesho yako sababu kujua kwake hakujatanguliwa na kutokujua na wala hakujafungamana na wewe na kuchagua kwako. Mfano wewe leo hii kuna mtu wako unae mjua sanaa, yaani mtu huyo unajua kabisa huyu kwa jinsi anavyo penda pombe, nikimpa tu hela lazima ataenda kunywa pombe na kweli anaenda. Swali, kujua kwako hilo kumetokana na nini ? Jibu ni kwa sababu unamjua vizuri sana, je kujua kwako kumemzuia huyo mtu asifanye anachokitaka ? Saza tofauti yetu na Allah ni kuwa yeye anajua mambo "in general" na "in details".
Huna hiyo options kivipi ?