Uhakika Bro
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 3,644
- 4,315
Kumbe na we unajidanganya pia kuwa dunia haiwezekani ikiwa hakuna mabaya?Nakukumbusha kuwa Freewill ni uchaguzi wa mema na mabaya
Freewill ipo hata kama hakuna kibaya kinachofanyika mfano: mimi kuamua kuishi Dar, au Arusha au Mwanza.....hakuna kibaya hapo na bado freewill ipo nachagua pa kwenda kuishi.
Kwa hiyo hata huko hatua za juu za kimbingu watu watatumia freewill zao kubishana kwamba je? Haya masaa mawili tuyatumie kuabudu? au kusifu?...... watatokea na vichwa ngumu kama kina sisi tutaanza kutoa logic kuwa hapa leo hakuna cha kusifu wala kuabudu! bali tujigawe twende tukawahubirie walio duniani huko ndio la msingi. Nadhani wapo watu watakaotuchukulia sisi kama version ya 'viatheist' fulani huko mbinguni. Ubishi utaendelea maana watu watakuwa wapo huru kuamua mambo yao. Mind you ubishi na sio necessarilly uovu.