Uhakika Bro
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 3,644
- 4,315
Ukweli ni kwamba will, ipo, limited will ipo na free will pia ipo.Mpaka hapo tu huna freewill. Una limited will.
Ni kama vile unaangalia Netfix, unajiona unachagua movie kwa freewill.
Wakati hizo movies za kuchagua kuna watu wamekuchagulia, nyingine wamekubania huwezi kuziona ili uzichague.
Mwenyewe unajiona una freewill, kumbe watu wamekuwekea mipaka ya kuchagua.
Uko dukani unachagua bidhaa, unajiona una freewill, wakati kuna watu wamekuchagulia cha kuchagua wakakupangia.
Unajiona una uhuru wa kwenda kulia au kushoto kwenye njiapanda, lakini hujui kwamba huna uhuru wa kuruka juu bila usaidizi wa chombo cha kuruka, hapo hujaamua kwa freewill kwenda kulia, umeamua kwa options finyu ulizo nazo.
Hiyo si freewill, hiyo ni limited.
Kwa kutumia kanuni za uhusiano/uwiano/relativity hii ambayo tunaiona freewill kwetu bado ni limited will ukipanda katika nyanda za juu yake zaidi halafu ukaitazama.
Lakini for all intents and purpose in this existance, this reality ambayo wengine wanaita illusion hiyo limited will ni free kabisa! Kulingana na mambo tunayopaswa kuchagua huku duniani.
Kwa waliokubali kuwa watoto wa Mungu in fact hicho kitu hata hakiumi yaani kwanza ni raha iliyoje kuwekewa mipaka na unayemuamini[trust] kwamba yote anayofanya ni kwa ajili ya wema kwetu sote. Freedom yetu itazidi kuongezeka kadri tunavyokuwa karibu na Mungu. Sema kufikia freedom aliyonayo yeye[infinity freewill] itachukua umilele [takes eternity to achieve] and that is a good thing! it means we will remain His children all the way for eternity😊
Kukataa kwako Mungu asikupangie mipaka ni dalili tu ya kuwa hujamuamini. Rudisha uaminifu kama yeye alivyokuamini kuwa unaweza kufanya maamuzi sahihi katika mipaka alokuwekea kwa sasa. Muamini sasa na kadri unavyokua mnazidi kuaminiana na kupeana uhuru zaidi.
Hili jambo sio geni, waangalie wanandoa wachanga na kadri wanavyoishi wanazidi kupanua mipaka. Huo mfano[wa wanandoa] sio mtamu sana ukilinganisha na wa baba na watoto wake ambao upo more closer to perfection in representantion of Gods love to man.