Goli 2 za Shirikisho ni sawa na offtarget 1 ya Championship

Ki ukweli hilo kombe halina mvuto sababu lina timu dhaifu ambazo ukiwauliza hata wao hizo timu ni za wapi hawazijui. Ndiyo Maana hata Mashabiki wa hizo timu hawalifatilii wako busy na klabu bingwa kuandika HabarI za simba vs Wydad , Ahyl vs Raja n.k.
Ndiyo kombe hilohilo lililotoa goli bora la Caf, na ni kombe hilohilo lililosababisha dunia nzima ifahamu uchawi wenu kwa kuwanga hadharani kwenye nchi za watu
 
Ndiyo kombe hilohilo lililotoa goli bora la Caf, na ni kombe hilohilo lililosababisha dunia nzima ifahamu uchawi wenu kwa kuwanga hadharani kwenye nchi za watu
Akikujibu niite mbwa nimekaa pale
 
Ijumaa ndio mwisho wa kelele zenu.

Mtajiunga na ihefu, gwambina

Mwakani sisi tutaenda CAFCL kama mabingwa nyinyi kama wapambe tu
 
Hivi na nyie huwa mnamchukulia siriaz huyo ndumilakuwili
 
Ijumaa ndio mwisho wa kelele zenu.

Mtajiunga na ihefu, gwambina

Mwakani sisi tutaenda CAFCL kama mabingwa nyinyi kama wapambe tu
Hapo kwenye wapambe hapo tutake radhi
 
SIMBA ANALIPWA BILIONI 1 NA MILIONI MIA TANO.

YANGA ANALIPWA MILIONI MIA NANE.

Aafu Hawa vichaa akina komwe wanalinganisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…