Ndiyo kombe hilohilo lililotoa goli bora la Caf, na ni kombe hilohilo lililosababisha dunia nzima ifahamu uchawi wenu kwa kuwanga hadharani kwenye nchi za watuKi ukweli hilo kombe halina mvuto sababu lina timu dhaifu ambazo ukiwauliza hata wao hizo timu ni za wapi hawazijui. Ndiyo Maana hata Mashabiki wa hizo timu hawalifatilii wako busy na klabu bingwa kuandika HabarI za simba vs Wydad , Ahyl vs Raja n.k.
Amefunga na kuomba mpaka imerudiWhy ID imerudi kwako tena?????? Mbona sielewi? Nyie hee, wee mwenye Avatar ya Mo imekuaje tena?
Akikujibu niite mbwa nimekaa paleNdiyo kombe hilohilo lililotoa goli bora la Caf, na ni kombe hilohilo lililosababisha dunia nzima ifahamu uchawi wenu kwa kuwanga hadharani kwenye nchi za watu
Ilo kombe la shirikisho sindo mlifanya huu umbumbumbu mkapigwa faini na CAF
Hapo kwenye wapambe hapo tutake radhiIjumaa ndio mwisho wa kelele zenu.
Mtajiunga na ihefu, gwambina
Mwakani sisi tutaenda CAFCL kama mabingwa nyinyi kama wapambe tu
Rage[emoji3581]
Kijana wa Rage
Jopo limekaa,likapitia ushauri wa wakuu, likaona Mnyama arudishiwe vitu vyake. Nami nikaona ni sahihiWhy ID imerudi kwako tena?????? Mbona sielewi? Nyie hee, wee mwenye Avatar ya Mo imekuaje tena?
UtopoloππππππVipi kuhusu off-target ya shirikisho ni sawa na nini Championship?