Goli la Yanga dhidi ya Mamelodi mzozo ni mkubwa South Africa kuliko Tanzania, CAF inapoteza credibility

Usiseme matokeo hayawezi kubadilika, Yanga wanapeleka malalamiko ya match fixing Mamelody anaondolewa Yanga wanapewa ushindi. Inawezekana kabisa without a doubt
Achana na motivational speakers je kitu kama hiki kilitokea lini ?
Unaikumbuka fainali iliyoleta vurugu ya Esperance Vs Wydad Casablanca ? Kama ile fainali haikurudiwa ndio irudiwe mechi ya Yanga ?
 
Huyo mpira una uangaliaga peke yako? Wacha urongo wewe. Ni mara ngapi tunashuhudia marefa wanaenda kuhakikisha kama it was a clear goal or not
Mechi ipi labda refa alienda kuangalia kama goli limevuka mstari, tutajie hapa tuangalie
 
Iwe upande wako saafi, siku ikigeuka inaumiza Roho. Basi ndio walimwengu.
 
Achana na motivational speakers je kitu kama hiki kilitokea lini ?
Unaikumbuka fainali iliyoleta vurugu ya Esperance Vs Wydad Casablanca ? Kama ile fainali haikurudiwa ndio irudiwe mechi ya Yanga ?
Sijasema mechi irudiwe nimesema Mamelody washitakiwe for match fixing then waondolewe mashindanoni Yanga wapite
 
Na ni vema zaidi Yanga wahamie SA ili wakutane na waungane na wanaoipinga Masandawana ili kuongeza nguvu.
 
Hata mimi nilishangaa kapteni kutomzonga refa kidogo kumlazimisha aende kutama yeye mwenyewe...
Kapteni wa Yanga anazifahamu fika sheria za matumizi ya VAR ndio maana hakumzonga refa
 
Yanga wakate rufaa haraka sana CAF, refa kanunuliwa wazi wazi, lile ni goli la wazi
 
Nyerere aliona mbali kukemea rushwa

Rushwa ni adui wa haki rushwa inaumiza sana moyo

Moyo wangu umeumia sana tukio la jana
 
Kama ambavyo timu flani hapa nyumbani zinanunua wachezaji kwa gharama kubwa halafu zinatoa rushwa kwa waamuzi.
 
Sijasema mechi irudiwe nimesema Mamelody washitakiwe for match fixing then waondolewe mashindanoni Yanga wapite
Okay hapo ushahidi wa match fixing umeutoa wapi ?
Kama ile mechi tena fainali VAR ilizimwa watu wakanyimwa goli, ikatokea vurugu mpaka mechi ikaishia pale pale hawakusema match fixing ndio iwe hii ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…