Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Wangepewa kadi mazee huyu refa mara nyingi anasafiri na Al Ahly mechi anachezesha hovyo sana kuwapendelea Al Ahly..Walichokosea yanga ni kukubali maamuzi ya refa kwa haraka. Wangegomea hata dakika kadhaa wakishinikiza refa akacheki var angefanya hivyo.
Kesi kwenda CAF ni sawa na kumpelekea nyani kesi ya tumbili. Tukubali tu tumetoka
Sio Karia tena?Motsepe ni muhuni sana
Ilipangwa hivo
Tusipoondoa huu unyonge, tutaburuzwa kila mara. Mkiriot, mnaset precedence, next time hamtaletewa ujinga.Umeshasema Al Ahly jaribu wewe mmatumbi uone
Ndio mpira wa Afrika ulivyo....unakumbuka Simba na Orlando...lile goli la offside?Gumzo linaloendelea hapa South Africa kwenye mitandao ni kwamba Yanga ndio wameshinda mechi lakini Mamelodi ndio walionufaika.
Nikiweka ushabiki wangu pembeni Mimi huwa napenda Sana kujifunza Vitu nisivyovijuwa.
South Africa wapinzani ni Chiefs na Orlando, lakini ukiwafuatilia vizuri unakuta wote wameungana kumshutumu Motsepe na kuilaani Mamelodi.
Inshort Ile Support ambayo kocha wa Mamelodi amelalamika haipati sasa ndio hatoipata kabisa hasa Kwa Wazulu wa Johannesburg, mechi za nusu fainali good option wakacheze Cape town watapata full support Kwa sababu Cape town hizi mechi za Champions league timu za Cape town hazina ubavu wa kutobowa.
Mashabiki wengi wa South Africa wanauliza, kama refa alikwenda kuangalia VAR ili ampe Kadi nyekundu Lomalisa, ni Kwa nini hakwenda kuangalia VAR kuhusu goli?
Ushauri wangu Yanga watume malalamiko rasmi CAF, refa aadhibiwe hizo pesa za Motsepe ndio ajikimu nazo, ila matokeo ya uwanjani huwa hayabadirishwi na Mimi si muumini wa ushindi wa mezani.
Yanga ndio Washindi ila Mamelodi wamenufaika.
Sisi siyo milimani, Al Kisasi hakhi.
Wenyewe wana goal line technology ndio maana hawafanyi hivyo tofauti na Africa bado haijafikaMechi ipi labda refa alienda kuangalia kama goli limevuka mstari, tutajie hapa tuangalie
Mm staki kusikia chochoteGumzo linaloendelea hapa South Africa kwenye mitandao ni kwamba Yanga ndio wameshinda mechi lakini Mamelodi ndio walionufaika.
Nikiweka ushabiki wangu pembeni Mimi huwa napenda Sana kujifunza Vitu nisivyovijuwa.
South Africa wapinzani ni Chiefs na Orlando, lakini ukiwafuatilia vizuri unakuta wote wameungana kumshutumu Motsepe na kuilaani Mamelodi.
Inshort Ile Support ambayo kocha wa Mamelodi amelalamika haipati sasa ndio hatoipata kabisa hasa Kwa Wazulu wa Johannesburg, mechi za nusu fainali good option wakacheze Cape town watapata full support Kwa sababu Cape town hizi mechi za Champions league timu za Cape town hazina ubavu wa kutobowa.
Mashabiki wengi wa South Africa wanauliza, kama refa alikwenda kuangalia VAR ili ampe Kadi nyekundu Lomalisa, ni Kwa nini hakwenda kuangalia VAR kuhusu goli?
Ushauri wangu Yanga watume malalamiko rasmi CAF, refa aadhibiwe hizo pesa za Motsepe ndio ajikimu nazo, ila matokeo ya uwanjani huwa hayabadirishwi na Mimi si muumini wa ushindi wa mezani.
Yanga ndio Washindi ila Mamelodi wamenufaika.
Sisi siyo milimani, Al Kisasi hakhi.
Mm sitaki kusikia loloteGumzo linaloendelea hapa South Africa kwenye mitandao ni kwamba Yanga ndio wameshinda mechi lakini Mamelodi ndio walionufaika.
Nikiweka ushabiki wangu pembeni Mimi huwa napenda Sana kujifunza Vitu nisivyovijuwa.
South Africa wapinzani ni Chiefs na Orlando, lakini ukiwafuatilia vizuri unakuta wote wameungana kumshutumu Motsepe na kuilaani Mamelodi.
Inshort Ile Support ambayo kocha wa Mamelodi amelalamika haipati sasa ndio hatoipata kabisa hasa Kwa Wazulu wa Johannesburg, mechi za nusu fainali good option wakacheze Cape town watapata full support Kwa sababu Cape town hizi mechi za Champions league timu za Cape town hazina ubavu wa kutobowa.
Mashabiki wengi wa South Africa wanauliza, kama refa alikwenda kuangalia VAR ili ampe Kadi nyekundu Lomalisa, ni Kwa nini hakwenda kuangalia VAR kuhusu goli?
Ushauri wangu Yanga watume malalamiko rasmi CAF, refa aadhibiwe hizo pesa za Motsepe ndio ajikimu nazo, ila matokeo ya uwanjani huwa hayabadirishwi na Mimi si muumini wa ushindi wa mezani.
Yanga ndio Washindi ila Mamelodi wamenufaika.
Sisi siyo milimani, Al Kisasi hakhi.
Kwa sababu hawajitambuiNa ni Kwa nini wachezaji hawakumfosi refa aende kuangalia VAR?
Proffesionalism hakuna kwa wachezaji wetu yamezubaa tu pembeni ya refa hata kulalamika hayajuiHivi kwanini wachezaji wa Yanga hawakumzonga refa kwenda kwenye VAR?
Hiki kikao cha wanaume.Yanga ikifika saa sita mchana mtaenda nusu fainali msijari
Na nyie msiache kumkumbuka Tatu Malogo kwenye ufalme wenu!Ukimaliza kuwabwaja Tafuta magoli ya Kagera na Namungo dhidi ya Yanga kwenye Ligi pia uwashauri wahanga. Kila mbambe ana mbabe wake na Karma is real.
Case iishie hapa Africa hatuna goal technology sioni refa akiadhibiwa hapaRefa haendi VAR kuangalia offside na goli kuvuka mstari
Anachoenda kuangalia ni penaty na potential red card
Hivo vingine anapewa taarifa tuu na VAR ama wenzetu ulaya mpira ukivuka tuu saa inavibrate
Na saa itavibrate endapo mpira utavuka wote bila kubaki hata punje.
Na ange inayoamua ni angle ya juu
Anaadhibiwa vizuri tu kama hakuna hiyo technology ndo inatakiwa atumie var sasa,achana na hao wanaosema goal haliangaliwi kwenye var wakati kazi ya var ni kutoa utata unaopatikna ndani ya uwanjaCase iishie hapa Africa hatuna goal technology sioni refa akiadhibiwa hapa
uzuri ni kwamba na wewe mwenyewe umekiri yanga imedhurumiwa...Gumzo linaloendelea hapa South Africa kwenye mitandao ni kwamba Yanga ndio wameshinda mechi lakini Mamelodi ndio walionufaika.
Nikiweka ushabiki wangu pembeni Mimi huwa napenda Sana kujifunza Vitu nisivyovijuwa.
South Africa wapinzani ni Chiefs na Orlando, lakini ukiwafuatilia vizuri unakuta wote wameungana kumshutumu Motsepe na kuilaani Mamelodi.
Inshort Ile Support ambayo kocha wa Mamelodi amelalamika haipati sasa ndio hatoipata kabisa hasa Kwa Wazulu wa Johannesburg, mechi za nusu fainali good option wakacheze Cape town watapata full support Kwa sababu Cape town hizi mechi za Champions league timu za Cape town hazina ubavu wa kutobowa.
Mashabiki wengi wa South Africa wanauliza, kama refa alikwenda kuangalia VAR ili ampe Kadi nyekundu Lomalisa, ni Kwa nini hakwenda kuangalia VAR kuhusu goli?
Ushauri wangu Yanga watume malalamiko rasmi CAF, refa aadhibiwe hizo pesa za Motsepe ndio ajikimu nazo, ila matokeo ya uwanjani huwa hayabadirishwi na Mimi si muumini wa ushindi wa mezani.
Yanga ndio Washindi ila Mamelodi wamenufaika.
Sisi siyo milimani, Al Kisasi hakhi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndyoo mtani tukutane huku tulipo pazoea.[emoji119][emoji119][emoji119] Sawaaa tukutane NBC
Sasa Al ahly ndo mlicheza nao jana pale South Africa?Wangepewa kadi mazee huyu refa mara nyingi anasafiri na Al Ahly mechi anachezesha hovyo sana kuwapendelea Al Ahly..
Tukaone ufundi wa Jobe 😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndyoo mtani tukutane huku tulipo pazoea.
Songa mbele wee kwa manunuzi nunuzi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na nyie msiache kumkumbuka Tatu Malogo kwenye ufalme wenu!
Uzuri hawa Mamelod mliwapa sifa zote walipopangwa na Yanga! Leo wanasonga mbele kwa mauza uza!!!!
Au Mzinzee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tukaone ufundi wa Jobe [emoji28]