Goli la Yanga dhidi ya Mamelodi mzozo ni mkubwa South Africa kuliko Tanzania, CAF inapoteza credibility

Goli la Yanga dhidi ya Mamelodi mzozo ni mkubwa South Africa kuliko Tanzania, CAF inapoteza credibility

Walichokosea yanga ni kukubali maamuzi ya refa kwa haraka. Wangegomea hata dakika kadhaa wakishinikiza refa akacheki var angefanya hivyo.
Wangepewa kadi mazee huyu refa mara nyingi anasafiri na Al Ahly mechi anachezesha hovyo sana kuwapendelea Al Ahly..
 
Gumzo linaloendelea hapa South Africa kwenye mitandao ni kwamba Yanga ndio wameshinda mechi lakini Mamelodi ndio walionufaika.

Nikiweka ushabiki wangu pembeni Mimi huwa napenda Sana kujifunza Vitu nisivyovijuwa.

South Africa wapinzani ni Chiefs na Orlando, lakini ukiwafuatilia vizuri unakuta wote wameungana kumshutumu Motsepe na kuilaani Mamelodi.

Inshort Ile Support ambayo kocha wa Mamelodi amelalamika haipati sasa ndio hatoipata kabisa hasa Kwa Wazulu wa Johannesburg, mechi za nusu fainali good option wakacheze Cape town watapata full support Kwa sababu Cape town hizi mechi za Champions league timu za Cape town hazina ubavu wa kutobowa.

Mashabiki wengi wa South Africa wanauliza, kama refa alikwenda kuangalia VAR ili ampe Kadi nyekundu Lomalisa, ni Kwa nini hakwenda kuangalia VAR kuhusu goli?

Ushauri wangu Yanga watume malalamiko rasmi CAF, refa aadhibiwe hizo pesa za Motsepe ndio ajikimu nazo, ila matokeo ya uwanjani huwa hayabadirishwi na Mimi si muumini wa ushindi wa mezani.

Yanga ndio Washindi ila Mamelodi wamenufaika.

Sisi siyo milimani, Al Kisasi hakhi.
Ndio mpira wa Afrika ulivyo....unakumbuka Simba na Orlando...lile goli la offside?
 
Kaangalie timu kubwa England kwenye kombe la Dunia Lampard alifunga Goli la hivo na likakataliwa sembuse Yanga ,timu ndogo haina hata mashabiki million 4 Africa
 
Gumzo linaloendelea hapa South Africa kwenye mitandao ni kwamba Yanga ndio wameshinda mechi lakini Mamelodi ndio walionufaika.

Nikiweka ushabiki wangu pembeni Mimi huwa napenda Sana kujifunza Vitu nisivyovijuwa.

South Africa wapinzani ni Chiefs na Orlando, lakini ukiwafuatilia vizuri unakuta wote wameungana kumshutumu Motsepe na kuilaani Mamelodi.

Inshort Ile Support ambayo kocha wa Mamelodi amelalamika haipati sasa ndio hatoipata kabisa hasa Kwa Wazulu wa Johannesburg, mechi za nusu fainali good option wakacheze Cape town watapata full support Kwa sababu Cape town hizi mechi za Champions league timu za Cape town hazina ubavu wa kutobowa.

Mashabiki wengi wa South Africa wanauliza, kama refa alikwenda kuangalia VAR ili ampe Kadi nyekundu Lomalisa, ni Kwa nini hakwenda kuangalia VAR kuhusu goli?

Ushauri wangu Yanga watume malalamiko rasmi CAF, refa aadhibiwe hizo pesa za Motsepe ndio ajikimu nazo, ila matokeo ya uwanjani huwa hayabadirishwi na Mimi si muumini wa ushindi wa mezani.

Yanga ndio Washindi ila Mamelodi wamenufaika.

Sisi siyo milimani, Al Kisasi hakhi.
Mm staki kusikia chochote
Gumzo linaloendelea hapa South Africa kwenye mitandao ni kwamba Yanga ndio wameshinda mechi lakini Mamelodi ndio walionufaika.

Nikiweka ushabiki wangu pembeni Mimi huwa napenda Sana kujifunza Vitu nisivyovijuwa.

South Africa wapinzani ni Chiefs na Orlando, lakini ukiwafuatilia vizuri unakuta wote wameungana kumshutumu Motsepe na kuilaani Mamelodi.

Inshort Ile Support ambayo kocha wa Mamelodi amelalamika haipati sasa ndio hatoipata kabisa hasa Kwa Wazulu wa Johannesburg, mechi za nusu fainali good option wakacheze Cape town watapata full support Kwa sababu Cape town hizi mechi za Champions league timu za Cape town hazina ubavu wa kutobowa.

Mashabiki wengi wa South Africa wanauliza, kama refa alikwenda kuangalia VAR ili ampe Kadi nyekundu Lomalisa, ni Kwa nini hakwenda kuangalia VAR kuhusu goli?

Ushauri wangu Yanga watume malalamiko rasmi CAF, refa aadhibiwe hizo pesa za Motsepe ndio ajikimu nazo, ila matokeo ya uwanjani huwa hayabadirishwi na Mimi si muumini wa ushindi wa mezani.

Yanga ndio Washindi ila Mamelodi wamenufaika.

Sisi siyo milimani, Al Kisasi hakhi.
Mm sitaki kusikia lolote
 
Ukimaliza kuwabwaja Tafuta magoli ya Kagera na Namungo dhidi ya Yanga kwenye Ligi pia uwashauri wahanga. Kila mbambe ana mbabe wake na Karma is real.
Na nyie msiache kumkumbuka Tatu Malogo kwenye ufalme wenu!
Uzuri hawa Mamelod mliwapa sifa zote walipopangwa na Yanga! Leo wanasonga mbele kwa mauza uza!!!!
 
Refa haendi VAR kuangalia offside na goli kuvuka mstari

Anachoenda kuangalia ni penaty na potential red card

Hivo vingine anapewa taarifa tuu na VAR ama wenzetu ulaya mpira ukivuka tuu saa inavibrate

Na saa itavibrate endapo mpira utavuka wote bila kubaki hata punje.

Na ange inayoamua ni angle ya juu
Case iishie hapa Africa hatuna goal technology sioni refa akiadhibiwa hapa
 
Case iishie hapa Africa hatuna goal technology sioni refa akiadhibiwa hapa
Anaadhibiwa vizuri tu kama hakuna hiyo technology ndo inatakiwa atumie var sasa,achana na hao wanaosema goal haliangaliwi kwenye var wakati kazi ya var ni kutoa utata unaopatikna ndani ya uwanja
 
Gumzo linaloendelea hapa South Africa kwenye mitandao ni kwamba Yanga ndio wameshinda mechi lakini Mamelodi ndio walionufaika.

Nikiweka ushabiki wangu pembeni Mimi huwa napenda Sana kujifunza Vitu nisivyovijuwa.

South Africa wapinzani ni Chiefs na Orlando, lakini ukiwafuatilia vizuri unakuta wote wameungana kumshutumu Motsepe na kuilaani Mamelodi.

Inshort Ile Support ambayo kocha wa Mamelodi amelalamika haipati sasa ndio hatoipata kabisa hasa Kwa Wazulu wa Johannesburg, mechi za nusu fainali good option wakacheze Cape town watapata full support Kwa sababu Cape town hizi mechi za Champions league timu za Cape town hazina ubavu wa kutobowa.

Mashabiki wengi wa South Africa wanauliza, kama refa alikwenda kuangalia VAR ili ampe Kadi nyekundu Lomalisa, ni Kwa nini hakwenda kuangalia VAR kuhusu goli?

Ushauri wangu Yanga watume malalamiko rasmi CAF, refa aadhibiwe hizo pesa za Motsepe ndio ajikimu nazo, ila matokeo ya uwanjani huwa hayabadirishwi na Mimi si muumini wa ushindi wa mezani.

Yanga ndio Washindi ila Mamelodi wamenufaika.

Sisi siyo milimani, Al Kisasi hakhi.
uzuri ni kwamba na wewe mwenyewe umekiri yanga imedhurumiwa...
 
Wangepewa kadi mazee huyu refa mara nyingi anasafiri na Al Ahly mechi anachezesha hovyo sana kuwapendelea Al Ahly..
Sasa Al ahly ndo mlicheza nao jana pale South Africa?
Umesha vurugwaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na nyie msiache kumkumbuka Tatu Malogo kwenye ufalme wenu!
Uzuri hawa Mamelod mliwapa sifa zote walipopangwa na Yanga! Leo wanasonga mbele kwa mauza uza!!!!
Songa mbele wee kwa manunuzi nunuzi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom