Unashangaa chief? Ila kuipata ni possible si ndio maana ikawekwa kuwa ipo!!Hizo GPA ya 5 mnapataje Nyie vitoto vya sasa? Unajua maana ya GPA 5 Points.
Maskini Tanzania! Ni ya chuo gani hiyo GPA?
Hayo yalikuwa mawazo ya kizamani sana hata ulaya kuna GPA 5.0 wapo tu acheni kudanganyana nchi zilizo nying ajira ni chache kuliko wahitaji
GPA kubwa na ujuzi ni vitu tofauti sana Tena kwa tanzania unaweza nunua GPA ya 5.0 na ukawa kilaza wa kuigwa
Kuna bint nakumbuka alikuwa bingwa wa kugawa papuchi kwa ma lecturer na alitunukiwa GPA ya 4.8 lakini hata kuandika report tu hajui hata pa kuanzia
Hivi wewe unadhani hizo nchi umewahi kuishi peke yako ?kwamba wengine hatujui maisha ya huko?hayo sio mawazo ya Kizamani; Usiongee porojo za mitaani. Fanya utafiti usio na longo longo
By the way mtu hawezi kugawa Papuchi akapata GPA 4.8 huo ni uongo wa wazi wazi
Inaonesha jinsi usivyokuwa serious!
Hii ndo point umemaliza kila kitu mwisho wa mjadala.Kwenye hii duania haijalishi unajua nini. Kinacho matter ni unajuana na nani.
Safi sana. Unastahili medali😂😂😂umenikumbusha mbali kipindi na mimi nimemaliza chuo nahustle hakuna aliekua na time na mimi,wote wenye uwezo wananicheki tu waone nitaishia wapi,wengine wananisikitikia eti kasoma lakini hana kazi,anadhurura mtaani,elimu haijamsaidia
Nimekuja kulamba shavu kwa juhudi zangu,mambo safi sasa naanza ona simu simu,mara naitwa kijana wetu,mara kaka.
Walikua na vijigari vyao,wamejenga vijumba wanajidai dai,nimewalipa mara mbili.
Binadamu ni wanafiki,nimechinjia wote baharini,wanabaki wanasema tu.ooh eti ninadharau 😂
Ulikua huna time na mimi,na mimi sina time na wewe
Sitakagi ujinga
SUA ni maksi mkuuGPA hazicount marks, bali grades, ie "A" inaanzia 70 and above.
Course gani?Nafikiri tumechelewa sana kujua umuhimu wa pass za juu katika kupaisha Taifa kiuchumi nk
Hivi inakuwaje mwanafunzi amemaliza Chuo amepata GPA ya 4.8 au kwa wenzetu wa Arts wanapata hadi GPA 5 naye yupo mtaani hana ajira?
Hawa wako na disadvantage moka, wana pay too much attention kwa kitu kimoja wanasahau vitu vingine vya msingi kwenye maisha.kwa Nchi za wenzetu ukisoma Chuo chenje jina ukapata hizo pass, unaombwa ubaki na kutafutiwa kazi na nyingine huenda mbali na hata kupewa Uraia wanajua umuhimu wa mchango wako kwa Taifa lao hata kama hautakuwa direct.
Huku kwetu mtu anapata GPA ya 4.8 anabaki anazurura hadi aonekane achukuliwe kunufaisha huko nje (tunasubiri kazi zitangazwe, Shame!
Ukweli ni kuwa, watu wa hizo pass wapo very serious kwa chochote atakachofanya
[emoji1787][emoji1787]wewe ni mimi kabisa wanakazi ya kuniita digrii kitaa na maskani .utaskia we digrii vipi na hivi ni sahivi ni saidia fundi wananiita fundi digrii ila najua nitatoboa tu .na watanitambua [emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]umenikumbusha mbali kipindi na mimi nimemaliza chuo nahustle hakuna aliekua na time na mimi,wote wenye uwezo wananicheki tu waone nitaishia wapi,wengine wananisikitikia eti kasoma lakini hana kazi,anadhurura mtaani,elimu haijamsaidia
Nimekuja kulamba shavu kwa juhudi zangu,mambo safi sasa naanza ona simu simu,mara naitwa kijana wetu,mara kaka.
Walikua na vijigari vyao,wamejenga vijumba wanajidai dai,nimewalipa mara mbili.
Binadamu ni wanafiki,nimechinjia wote baharini,wanabaki wanasema tu.ooh eti ninadharau [emoji23]
Ulikua huna time na mimi,na mimi sina time na wewe
Sitakagi ujinga
Utatoboa tu one day nigga[emoji1787][emoji1787]wewe ni mimi kabisa wanakazi ya kuniita digrii kitaa na maskani .utaskia we digrii vipi na hivi ni sahivi ni saidia fundi wananiita fundi digrii ila najua nitatoboa tu .na watanitambua [emoji1787]
kuna baadhi ya vyuo wana consider 'raw maksi'GPA hazicount marks, bali grades, ie "A" inaanzia 70 and above.
Inshaalah ameen kabisa man [emoji110]Utatoboa tu one day nigga
Ongeza nyama mkuu hapo kwenye hayakuwa ya kuridhishaRais samia tunaambiwa matokeo yake ya kidato cha nne 'hayakuwa ya kuridhisha' lakin leo yeye ndio Boss wa wale wajuaji wa kila kitu
Ongeza nyama mkuu hapo kwenye hayakuwa ya kuridhisha