GPA ya 5 - Anazurura mtaani; we are not serious!

GPA ya 5 - Anazurura mtaani; we are not serious!

[emoji23][emoji23][emoji23]umenikumbusha mbali kipindi na mimi nimemaliza chuo nahustle hakuna aliekua na time na mimi,wote wenye uwezo wananicheki tu waone nitaishia wapi,wengine wananisikitikia eti kasoma lakini hana kazi,anadhurura mtaani,elimu haijamsaidia

Nimekuja kulamba shavu kwa juhudi zangu,mambo safi sasa naanza ona simu simu,mara naitwa kijana wetu,mara kaka.

Walikua na vijigari vyao,wamejenga vijumba wanajidai dai,nimewalipa mara mbili.

Binadamu ni wanafiki,nimechinjia wote baharini,wanabaki wanasema tu.ooh eti ninadharau [emoji23]

Ulikua huna time na mimi,na mimi sina time na wewe

Sitakagi ujinga
Safi Sana, we Kama Mimi ila tofauti ni kwamba niliomaliza nao chuo na kutangulia kupata ajira hawakuwahi kunidharau Ila wale wa mtaani ndio walikuwa wanadharu Sana, lkn nilikuja kupata kazi nzuri Sana mpaka Sasa Wana heshima
 
Kwa mtazamo wangu tumechelewa kujua umuhimu wa pass za juu katika kupaisha Taifa kiuchumi nk
Hivi inakuwaje mwanafunzi amemaliza Chuo amepata GPA ya 4.8 au kwa wenzetu wa Arts wanapata hadi GPA 5 naye yupo mtaani hana ajira?
Wajiajiri.
 
Mzee hii nchi kuna vichwa aisee labda kama hujakutana navyo tu, mimi sikuamini mpaka nilivyokutana na mwanafunzi ana A zote mwaka wa kwanza na wa pili!, (sasa hivi yupo mwaka wa tatu kozi ngumu tena sayansi!) asipoyumba mwaka huu wa mwisho lazima awe overall
Chuo gani?
 
Mkuu SUA grades hutumika programs zote. Na gpa pia hutumika programs zote isipokuwa BVM ambayo ni unclassified degree.
Sasa kama degree inakuwa unclassified, wataangalia merits zipi mtu akitaka kwenda elimu ya juu?
 
Kwa mtazamo wangu tumechelewa kujua umuhimu wa pass za juu katika kupaisha Taifa kiuchumi nk
Hivi inakuwaje mwanafunzi amemaliza Chuo amepata GPA ya 4.8 au kwa wenzetu wa Arts wanapata hadi GPA 5 naye yupo mtaani hana ajira?
Kwanini ameshindwa kujiajiri na akili yote hiyo? That means kamezaga vitini, kichwani hamna kitu.
 
Chuo gani icho [emoji23][emoji23] ndo hizi 5 za kuokota
Mkuu unaweza kuona ni marks chache, lakini kuzifikia hizo jasho likutoke. Halafu, inategemea na chuo unachosoma, ndio maana watu wanauliza hizo GPA za 5.0 au 4.8 zimepatikana kutoka chuo gani? Kupata 5.0 is not an issue, but which university? Unakumbuka miaka michache iliyopita, TCU walivifungia baadhi ya vyuo kuendesha programs, unafikiri tatizo lilikuwa nini?
 
Sasa kama degree inakuwa unclassified, wataangalia merits zipi mtu akitaka kwenda elimu ya juu?
Unaweza kum classify daktari aliyehitimu mafunzo? degree za udaktari wa binadamu na mifugo huwezi kuzi classify kwa sababu ukishafuzu kuwa daktari wewe ni dakatari tu..........kwenye elimu ya juu utafanya yale masomo uliyofaulu zaidi.
 
Safi Sana, we Kama Mimi ila tofauti ni kwamba niliomaliza nao chuo na kutangulia kupata ajira hawakuwahi kunidharau Ila wale wa mtaani ndio walikuwa wanadharu Sana, lkn nilikuja kupata kazi nzuri Sana mpaka Sasa Wana heshima
Wa mtaani ndio hua na makelele,ambao hawajaenda shule
 
Hizo GPA ya 5 mnapataje Nyie vitoto vya sasa? Unajua maana ya GPA 5 Points.

Maskini Tanzania! Ni ya chuo gani hiyo GPA?
Utakuta Performing arts na African history University of Kaole!
Engineering, Science Business au hata Education hawezi kuachwa kwenye vyuo vinavyoeleweka,
 
Kwa mtazamo wangu tumechelewa kujua umuhimu wa pass za juu katika kupaisha Taifa kiuchumi nk
Hivi inakuwaje mwanafunzi amemaliza Chuo amepata GPA ya 4.8 au kwa wenzetu wa Arts wanapata hadi GPA 5 naye yupo mtaani hana ajira?
Nani ambae hayuko serious Kati ya aliyepata hiyo gpa na wewe?
 
Leo nilikua namwambia kijana wangu kwamba....
Shule itampa maarifa, lakini kusoma hakumpi guarantee ya kufanikiwa.
Lakini nilimwambia kwamba.....
Akishaipata elimu, atakua namaarifa. Ili afanikiwe anapaswa kuwa mwenye bidii na nidhamu
Bila kusahau connection na kujifunza Kazi ya familia hususani kama ni biashara au fani fulani.
 
Mkuu unaweza kuona ni marks chache, lakini kuzifikia hizo jasho likutoke. Halafu, inategemea na chuo unachosoma, ndio maana watu wanauliza hizo GPA za 5.0 au 4.8 zimepatikana kutoka chuo gani? Kupata 5.0 is not an issue, but which university? Unakumbuka miaka michache iliyopita, TCU walivifungia baadhi ya vyuo kuendesha programs, unafikiri tatizo lilikuwa nini?
Viwango vibovu vya elimu
 
Leo nilikua namwambia kijana wangu kwamba....
Shule itampa maarifa, lakini kusoma hakumpi guarantee ya kufanikiwa.
Lakini nilimwambia kwamba.....
Akishaipata elimu, atakua namaarifa. Ili afanikiwe anapaswa kuwa mwenye bidii na nidhamu
Safi mkuu umempa facts sana
 
Back
Top Bottom