Ungekuwa walau umesoma na kupitia Shule usingeuliza swali la kijinga Kama Hilo.Mbona ni vitu viwili tofauti mtu anasoma pure sciences cource sasa atajuaje kuandika barua ya kazi au CV mpaka ajifunze mkuu
Kwenye hivyo vyuo vya hovyo tu. Niliwahi ona tangazo la kazi likisema wote wenye sifa wanaweza kuomba kazi hiyo isipokuwa wahitimu wa UDOM!GPA hazicount marks, bali grades, ie "A" inaanzia 70 and above.
Safi Sana, we Kama Mimi ila tofauti ni kwamba niliomaliza nao chuo na kutangulia kupata ajira hawakuwahi kunidharau Ila wale wa mtaani ndio walikuwa wanadharu Sana, lkn nilikuja kupata kazi nzuri Sana mpaka Sasa Wana heshima[emoji23][emoji23][emoji23]umenikumbusha mbali kipindi na mimi nimemaliza chuo nahustle hakuna aliekua na time na mimi,wote wenye uwezo wananicheki tu waone nitaishia wapi,wengine wananisikitikia eti kasoma lakini hana kazi,anadhurura mtaani,elimu haijamsaidia
Nimekuja kulamba shavu kwa juhudi zangu,mambo safi sasa naanza ona simu simu,mara naitwa kijana wetu,mara kaka.
Walikua na vijigari vyao,wamejenga vijumba wanajidai dai,nimewalipa mara mbili.
Binadamu ni wanafiki,nimechinjia wote baharini,wanabaki wanasema tu.ooh eti ninadharau [emoji23]
Ulikua huna time na mimi,na mimi sina time na wewe
Sitakagi ujinga
Wajiajiri.Kwa mtazamo wangu tumechelewa kujua umuhimu wa pass za juu katika kupaisha Taifa kiuchumi nk
Hivi inakuwaje mwanafunzi amemaliza Chuo amepata GPA ya 4.8 au kwa wenzetu wa Arts wanapata hadi GPA 5 naye yupo mtaani hana ajira?
Chuo gani?Mzee hii nchi kuna vichwa aisee labda kama hujakutana navyo tu, mimi sikuamini mpaka nilivyokutana na mwanafunzi ana A zote mwaka wa kwanza na wa pili!, (sasa hivi yupo mwaka wa tatu kozi ngumu tena sayansi!) asipoyumba mwaka huu wa mwisho lazima awe overall
Sasa kama degree inakuwa unclassified, wataangalia merits zipi mtu akitaka kwenda elimu ya juu?Mkuu SUA grades hutumika programs zote. Na gpa pia hutumika programs zote isipokuwa BVM ambayo ni unclassified degree.
Kwanini ameshindwa kujiajiri na akili yote hiyo? That means kamezaga vitini, kichwani hamna kitu.Kwa mtazamo wangu tumechelewa kujua umuhimu wa pass za juu katika kupaisha Taifa kiuchumi nk
Hivi inakuwaje mwanafunzi amemaliza Chuo amepata GPA ya 4.8 au kwa wenzetu wa Arts wanapata hadi GPA 5 naye yupo mtaani hana ajira?
Hahahahahah........hatari sanaHiyo GPA ya 5 kwa vyuo vya dunia nzima inaweza patikana chuo cha UDOM tuu, na huyo mhitim asikubalike kwenye soko la ajira!
Mkuu unaweza kuona ni marks chache, lakini kuzifikia hizo jasho likutoke. Halafu, inategemea na chuo unachosoma, ndio maana watu wanauliza hizo GPA za 5.0 au 4.8 zimepatikana kutoka chuo gani? Kupata 5.0 is not an issue, but which university? Unakumbuka miaka michache iliyopita, TCU walivifungia baadhi ya vyuo kuendesha programs, unafikiri tatizo lilikuwa nini?Chuo gani icho [emoji23][emoji23] ndo hizi 5 za kuokota
Unaweza kum classify daktari aliyehitimu mafunzo? degree za udaktari wa binadamu na mifugo huwezi kuzi classify kwa sababu ukishafuzu kuwa daktari wewe ni dakatari tu..........kwenye elimu ya juu utafanya yale masomo uliyofaulu zaidi.Sasa kama degree inakuwa unclassified, wataangalia merits zipi mtu akitaka kwenda elimu ya juu?
Maisha ni kupwa na kujaa mzee. Usitambe sana. OhhooWalikua na vijigari vyao,wamejenga vijumba wanajidai dai,nimewalipa mara mbili.
Wa mtaani ndio hua na makelele,ambao hawajaenda shuleSafi Sana, we Kama Mimi ila tofauti ni kwamba niliomaliza nao chuo na kutangulia kupata ajira hawakuwahi kunidharau Ila wale wa mtaani ndio walikuwa wanadharu Sana, lkn nilikuja kupata kazi nzuri Sana mpaka Sasa Wana heshima
Utakuta Performing arts na African history University of Kaole!Hizo GPA ya 5 mnapataje Nyie vitoto vya sasa? Unajua maana ya GPA 5 Points.
Maskini Tanzania! Ni ya chuo gani hiyo GPA?
Nani ambae hayuko serious Kati ya aliyepata hiyo gpa na wewe?Kwa mtazamo wangu tumechelewa kujua umuhimu wa pass za juu katika kupaisha Taifa kiuchumi nk
Hivi inakuwaje mwanafunzi amemaliza Chuo amepata GPA ya 4.8 au kwa wenzetu wa Arts wanapata hadi GPA 5 naye yupo mtaani hana ajira?
Bila kusahau connection na kujifunza Kazi ya familia hususani kama ni biashara au fani fulani.Leo nilikua namwambia kijana wangu kwamba....
Shule itampa maarifa, lakini kusoma hakumpi guarantee ya kufanikiwa.
Lakini nilimwambia kwamba.....
Akishaipata elimu, atakua namaarifa. Ili afanikiwe anapaswa kuwa mwenye bidii na nidhamu
Nenda likizo uone kama halitazibika,sub hazijawahi kosekana.Mtoa mada buana!mtaani na maofisin hatuishi kwa GPA,Mimi Nina GPA ya 2.1 lakini pengo langu hakuna wa kuliziba ofisini kwetu ingawa wapo wenye hizo GPA za 4s.
Viwango vibovu vya elimuMkuu unaweza kuona ni marks chache, lakini kuzifikia hizo jasho likutoke. Halafu, inategemea na chuo unachosoma, ndio maana watu wanauliza hizo GPA za 5.0 au 4.8 zimepatikana kutoka chuo gani? Kupata 5.0 is not an issue, but which university? Unakumbuka miaka michache iliyopita, TCU walivifungia baadhi ya vyuo kuendesha programs, unafikiri tatizo lilikuwa nini?
ππππ kumekuchaUngekuwa walau umesoma na kupitia Shule usingeuliza swali la kijinga Kama Hilo.
Safi mkuu umempa facts sanaLeo nilikua namwambia kijana wangu kwamba....
Shule itampa maarifa, lakini kusoma hakumpi guarantee ya kufanikiwa.
Lakini nilimwambia kwamba.....
Akishaipata elimu, atakua namaarifa. Ili afanikiwe anapaswa kuwa mwenye bidii na nidhamu