TANZIA Grivas Mwangoka afariki dunia kwa ajali ya Gari

Hili jambo waweza kudhani ni jambo dogo lakini hapana aise...usingizi ni hatari na hauna hodi.
 
Hyo nadharia tu,lakini product Ni ile Ile.... sababu kampuni Ni hyo hyo,teknolojia Ni hyo hyo,sema location ndo tofauti ..Sasa hv Kuna scania G series special edition for Africa,inatengenezwa south Africa,watumiaji wanasema hzo Ni nzuri kuliko za uingereza

Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
 
Hii ni kweli kabisa..... Kuna siku nilikua naendesha gari usiku wa manane kumbe nimesinzia nikajikuta niko upande wa pili wa barabara niliogopa sn nikapaki gari nikalala (HIKI NI KISA CHANGU CHA KWELI KABISA=
Na kulala si mpaka uwepo eneo rafiki?.

Nimewahi kukutana na hiyo situation na ilikuwa mchana maana nilidamka saa 9 alfajiri by saa kumi nikang'oa.

Mida ya nane hivi mchana kumbe kausingizi kalininyemelea...ghafla nilikurupuka nikahisi nimeshakula mzinga, kutoka hapo mikono na miguu ilipoteza nguvu, roho inadunda....nikaanza kuutafuta mji, maana ni highway na ni pori sidhani kama ingekuwa busara kupaki popote na kulala....nikafika kwenye Mji nikaingia Motel moja, nikavunga kama nimefata msosi nikarudi garini nikaupiga kama saa nzima hivi.
 
Sina hakika na hili mkuu ila MWANGOKA ni ukoo mkubwa sn.....
Okay sawa, hata hivyo wakina Mwangoka wa Majengo wameonesha kutomfahamu...

Itakuwa huyu ni wa ukoo mwingine tu
 
Death comes to us all. You can't escape it. Inaweza isiwe leo au kesho au keshokutwa ila kifo kipo tu. It's part of life.
 
ujue kuna wakati unashangaa na kujiuliza inakuaje watu wanapata ajali, ila yakikukuta ndio utajua, Ajali inakuwa sekunde chache na kukuacha mzima, mahututi, au maiti... Tuendesheni tu magari ila likiamua kukufanyia maajabu, utafurahi mwenyewe...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…