Uzee sio miaka! Kikwete ana uzee gani bado analipa kabisaSi kila siku mnatunanga humu majukwaani kwamba na 45 zetu tayar sisi ni wazee???
Iweke tutanunua magoal ya Pacome keshoNjoo inbox nikuuzie yangu
Nyumba kuna mwikoAkina nani hao?
Ahahahah..katika vitu sina na sijawah kuwa navyo na as long as nitaendelea kuishi hapa mjini sitakuwa nacho ni kitambi 😂😂. Huo uzito tu sijawah fikisha 75kg, kitambi kitatoka wapi?.Uzee sio miaka! Kikwete ana uzee gani bado analipa kabisa
Ukiacha mwili uwe na likitambi lazima uwahi kuzeeka
Sasa wewe na kitambi chako hiko soon utazeeka😄
Nini tena?Tuombe Mungu
Mmhh hapa nafikiri hawa vijana wataalam akina mshamba_hachekwi ndio maeneo yao haya ephen_ , lazima atakuja na suluhisho
ephen_ rudia swali lako, mtaalam huyu hapaNini tena?
Image inayokujaga kichwani kwangu ni mtu mmoja mnene kiasi mrefu😂 kilogram za kutoshaaaaaaa....... kitambi kama choteAhahahah..katika vitu sina na sijawah kuwa navyo na as long as nitaendelea kuishi hapa mjini sitakuwa nacho ni kitambi 😂😂. Huo uzito tu sijawah fikisha 75kg, kitambi kitatoka wapi?.
Najali sana afya, maana nikiumwa kila kitu kitaumwa 😂
Ahahaha. Hapana hapana kabisa 😂.Image inayokujaga kichwani kwangu ni mtu mmoja mnene kiasi mrefu😂 kilogram za kutoshaaaaaaa....... kitambi kama chote
Kila la kheri..Huyu naenda nae chemba😂
Twenzetu!🚶♀️
Bora usipate! Mimi nina changu nikitembea kinatangulia mbele sijui cha kufanya😔Ahahaha. Hapana hapana kabisa 😂.
Sijakonda wala sio mnene. Moderate tu. Si mrefu wala si mfupi. Kitambi sijawah miliki, labda nikishapata pesa mbele ya safar huko
Nafikiri hapo sasa ule ushauri wa wataalam huwa nasikia wanasema kuhudhuria gym na kupunguza chips nyama chips yai na kitimoto inabidnuanze kuuzingatiaBora usipate! Mimi nina changu nikitembea kinatangulia mbele sijui cha kufanya😔
Nitafanya hivyo.Nafikiri hapo sasa ule ushauri wa wataalam huwa nasikia wanasema kuhudhuria gym na kupunguza chips nyama chips yai na kitimoto inabidnuanze kuuzingatia
Ahadi ya Simba haitekelezeki ni danganya totoAahaaaaa
Utawaona hapa nao watakuja kumlalamikia MO kwa kutoa ahadi kama ya Yanga
Nawapangia mank Waislamu wengi hawajui nin Cha kufanya pesa mazezetaUsimpangie mtu jinsi ya kutumia hela yake
Dah..ramadhani hii watu wanatoa swadaka wengine wanafanya haya.Akiwa na uhakika wa Yanga kukunja 2.3b kwa kuingia robo fainali tu,tajiri asiye na choyo wala kashfa amemwaga noti zaidi
Ametoa ahadi hiyo kwa kikosi kikali cha wananchi
Mwenye nacho ataongezewa
Nimeongea na kapteni wa timu ya Yanga na amenihakikishia kuwa magoli ya kutosha yapo hiyo kesho na ya kutosha
Na amesema kuwa watakula zaidi ya 300M ya tajiri na 15M ya goli la Mama
Yanga hatunaga dogo
Tunaenda kumtwanga mtu kwake kwa wakeze na watoto zake
GGyangaView attachment 2953576