GSM umekuja kuwaliza Yanga na sio kuwainua. Time will tell

Status
Not open for further replies.
Wewe ni.mwehu kiwango cha juu kabsa ambae hutambui hata unaandika nn hapa. Kama huna hoja kalale na njaa zako.🐒🐒🐒. Kwendraaaahh
Wamepata hasara kubwa sana waliokulea; ni bora hiyo nguvu wangeelekeza kufuga mbuzi.

..........!!!!
 
Iweke kwenye bikini yako

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 

Kichwa cha habari na utumbo ulioandika aviendani ata kidogo, unasema gsm amekuja kuwapoteza yanga sijui anawapotezaje kwa akili zako fupi, yanga ndo kasaini mkataba wa kudhamini ligi? Huo ni mkataba baina ya kampuni ya gsm na tff, kwaiyo usiitaje kabisa yanga apo maana kwenye mkataba. huo ujamuona mshindo msola wala mwakalebela wala mwanasheria yyeyote. wa yanga, ivyo nendeni popote mnapopataka kwanza gsm wala hana muda mchafu wa kuwajibu mtajibiwa na tff uko
 
Akili yako kijiko itaelewaje kilicho andikwa. Ndio kaja kuwapoteza yanga tena nimekuambia time will tell huna akili kaa kimya
 
Wamepata hasara kubwa sana waliokulea; ni bora hiyo nguvu wangeelekeza kufuga mbuzi.

..........!!!!
Huku hatuongei na vi junior sawa toka lini watu wanoitwa junior wakawa na akili za watu wazima ww ni mtoto kalale mbwa
 
Nchi hii hakuna tajiri mbumbumbu kama gsm.
Tajiri bogus kinoma. Afu kwasababu watz wengi mazwazwa wanampamba Hahhaha wakati tajiri hajitambui
 
Wewe ni kitimoto kwa kweli.
 
Akili yako kijiko itaelewaje kilicho andikwa. Ndio kaja kuwapoteza yanga tena nimekuambia time will tell huna akili kaa kimya
Wewe ndo bogus kabisa ngoja tusubili tuone icho unachokisema tusipotezeane muda kwenye mambo ya kipuuzi
 
Karia ni mtu mpuuzi sana...sana...ndio maana mpira wa bongo ni takataka...ona waamuzi wanachofanya very fucken foolish...Kuna siku yatatokea mambo ya hatari sana kwenye mpira wa bongo....viongozi wanaomlinda wanajulikana wala sio siri..
Kila kitu kina mwisho ...
Hili ni angalizo tu...mwenye macho na aone na mwenye masikio na asikie....
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…