Ishu kubwa sio kuvaa nembo, hiyo hata mimi naona ni kawaida tu, ikitokea GSM akaidhamini Simba wala isikatae kuvaa nembo. Ishu kubwa ni mgongano wa maslahi, yaani kudhamini timu chache halafu hapo hapo kudhamini ligi yenye inashindanisha timu hizo ulizozidhamini na nyingine usizozidhaminiMimi ni simba Ila ni fresh tu hata kama tukivaa jezi yenye nembo ya GSM
Elezea namna mgongano wa kimaslahi ulivyo ktk udhamini huuIshu kubwa sio kuvaa nembo, hiyo hata mimi naona ni kawaida tu, ikitokea GSM akaidhamini Simba wala isikatae kuvaa nembo. Ishu kubwa ni mgongano wa maslahi, yaani kudhamini timu chache halafu hapo hapo kudhamini ligi yenye inashindanisha timu hizo ulizozidhamini na nyingine usizozidhamini
Kwa msisitizo kabisa ungemwambia aliposhika JKAliposhika GSM hata MO afurukute vipi hana cha kufanya. Jiandaeni kuvaa jezi zenye nembo ya GSM.
Sportpesa walikuwa wanatoa zawadi kwa timu walizizidhamini (Simba, Yanga, kipindi fulani Namungo na Singida United), iwapo zingechukua ubingwa, au kushika nafasi ya pili, na bonus nyingine. Kama Sportpesa wangekuwa wanaidhamini ligi yote pia, kwa lugha nyingine ni sawa na kusema inawapa hela hao wanne wafanye vizuri katika ligi wanayodhamini timu zoteElezea namna mgongano wa kimaslahi ulivyo ktk udhamini huu
Hapo umehama kwenye point yako ya conflict of interest Na umehamia Kwenye League fairnessSportpesa walikuwa wanatoa zawadi kwa timu walizizidhamini (Simba, Yanga, kipindi fulani Namungo na Singida United), iwapo zingechukua ubingwa, au kushika nafasi ya pili, na bonus nyingine. Kama Sportpesa wangekuwa wanaidhamini ligi yote pia, kwa lugha nyingine ni sawa na kusema inawapa hela hao wanne wafanye vizuri katika ligi wanayodhamini timu zote
GSM sio tajiri, ni mpambanajiNchi hii hakuna tajiri mbumbumbu kama gsm.
Tulia wewe, mwambie tajiri wenu Mo naye aweke mzigo Kama Ana ubavu huo.Wakuu wapenzi wa michezo na burudani na wasalimu kwa jina la kanuni na sheria za mpira.
Leo tarehe 07/12/2021 nimeona mijadala mingi mitandaoni inayohusu udhamini wa GSM na TFF ambao bado kisheria ni mkataba usio fuata taratibu za michezo kama zinavyooainishwa kuanzia FIFA na CAF na hata sheria za ndani za hao TFF na bodi ya ligi haziruhusu hu ujinga unaondelea.
Kingine mechi ya derby inakaribia afu TFF inakuja na ujinga ili kuivuruga timu moja (simba sc), hili halikubaliki na simba ina watu makini poleni. Narudia tena poleni (utopolo)
GSM ni mdhamini wa yanga na ndiye anasambaza jezj za utopwinyo, hivi hawa TFF na bodi ya ligi wanatumia sheria zipi ikiwa hizo walizo nazo wanashindwa kuzitambua? Yaani uweke ADIDAS na NIKE/PUMA/UMBRO kwenye jezi moja. Ni aibu gani hii kama taifa?
Ujumbe kwa TFF. jueni sisi ndio simba wakali wa kanuni na sheria tulimpiga utopwinyo huko CAS kwa Morrison sasa round hii itakua kubwa kuliko maana naona GSM anahangaika kutafuta tiketi ya kumrudisha utopwinyo ligi daraja la 2.
Nawasisitizia, simba ina watu makini.
Mwisho nawakumbusha utopwinyo time will tell.
Kumbe wewe na Kabwili basha wenu mmojaKabwili bwana!
Hawa ndio wale malay.a wa mtandaoni.Mimi ni Yanga ila kwa hili Gsm wamefanya mambo kishenzi kabisa yani kiutopwinyo kama jina letu pendwa.
Wewe ni zwazwa hujielewi hata akili ya kufikiria kama nimesema kinyume huna. Yani sentensi yenyewe inajieleza. Akili zako ndogo sana hufai kuwa GT. Malaya mke wako kwanza nakupa cheo huna hadhi ya kuwa na mke, malaya demu wako.
Umefungua uzi kuponda matajiri wenye pesa ni nini kama sio umaskini?Acha makasiriko mm.sijasema uwe na stress zako ππππ
Tajiri hakosei..?Umefungua uzi kuponda matajiri wenye pesa ni nini kama sio umaskini?
Ungekuwa na hela usingeniomba kura pm,
Sasa nani ana stress Kati yangu na wewe ulielilia kura pm kwangu nikakupa kwa kukuonea huruma?
ππππππΎππΎππΎππΎ