Simba SC ni Klabu Kubwa na Bora Afrika.Unaonesha ulivyo na utindio wa ubongo! nut case.!
Ni team gani iliyogomea udhamini zaidi ya simba ya mudi?
Mkataba wenye kuridhisha kivipi ikiwa team zingine zote zilikubali kasoro simba au mpaka mudi aridhike?
Swala la kusema GSM alikuwa wapi kwani NBC pia alikuwa wapi?
Unaonesha wazi roho ya kwanini ya kitanzania wengine wakose kisa wewe hutaki, punda kabisa.
Sio kwamba FCC wamesema cheche, maana swala lao lilifika mpaka FCCKampuni Ya GSM, Leo Tarehe 07/02/2022 imetangaza kujiondoa Kwenye Udhamini Mwenza Wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Ikimbukwe kuwa Kampuni Ya GSM iliingia Makubaliano Ya Kuidhamini Ligi Kuu Tanzania Bara Na Kuweka Dau la Bilioni 2.5.
Lakini Udhamini Huo Ulipingwa Vikali na Simba Sc huku Vilabu vingine 16 vyote vya Ligii kuu Tanzania Bara Vikiridhia Udhamini Huo, Lakini Kwa Sasa GSM wamejiondoa Na Si wadhamini Tena.
Leo Kampuni Ya GSM imeeleza Ya Sababu Ya Kujitoa kuwa ni Kwasababu, TFF na Bodi La Ligi Kushindwa Kutimiza Matwaka ya Kimkataba.
Bado Haijaelezwa Wazi Matakwa Hayo ya Kimkataba ni Yapi Ambayo TFF na Bodi Ya Ligi Hawajatimiza hadi kupelekea Mkataba kuvunjwa. Lakini moja Ya Matakwa ya Kimkataba ilikuwa ni Vilabu Vyote kuvaa Nembo ya Mdhamini Upande Mmoja Wa Bega katika Jezi na Simba Sc Ndio Club Pekee iliyokuwa haijafanya Hayo.
Takwa jingine ilikuwa ni Mabango ya Mdhamini mwenza kuwepo Uwanjani lakini Simba Sc Ilipinga vikali na kutokuweka mabango hayo katika Mechi Zake.
Kwenu Studio
Unanikoti mara mbili mbili huna uhakika na unachojibu.Simba SC ni Klabu Kubwa na Bora Afrika.
Hizo Klabu zote role model ni Simba SC.
NBC wamefuata taratibu nimeshakujibu ila kwa kuwa wewe ni Kinega ndo hivyo tenda.. Period
Vyuma vimeanza kuumanaKampuni Ya GSM, Leo Tarehe 07/02/2022 imetangaza kujiondoa Kwenye Udhamini Mwenza Wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Ikimbukwe kuwa Kampuni Ya GSM iliingia Makubaliano Ya Kuidhamini Ligi Kuu Tanzania Bara Na Kuweka Dau la Bilioni 2.5.
Lakini Udhamini Huo Ulipingwa Vikali na Simba Sc huku Vilabu vingine 16 vyote vya Ligii kuu Tanzania Bara Vikiridhia Udhamini Huo, Lakini Kwa Sasa GSM wamejiondoa Na Si wadhamini Tena.
Leo Kampuni Ya GSM imeeleza Ya Sababu Ya Kujitoa kuwa ni Kwasababu, TFF na Bodi La Ligi Kushindwa Kutimiza Matwaka ya Kimkataba.
Bado Haijaelezwa Wazi Matakwa Hayo ya Kimkataba ni Yapi Ambayo TFF na Bodi Ya Ligi Hawajatimiza hadi kupelekea Mkataba kuvunjwa. Lakini moja Ya Matakwa ya Kimkataba ilikuwa ni Vilabu Vyote kuvaa Nembo ya Mdhamini Upande Mmoja Wa Bega katika Jezi na Simba Sc Ndio Club Pekee iliyokuwa haijafanya Hayo.
Takwa jingine ilikuwa ni Mabango ya Mdhamini mwenza kuwepo Uwanjani lakini Simba Sc Ilipinga vikali na kutokuweka mabango hayo katika Mechi Zake.
Kwenu Studio
Kaeni kwa kutilia GSM na mo wemetengeneza combinenga badala ya udhamini . Ndio mtajua maisha ni kutafuta na sii kitafutanaπ€.Kudadadakiiii kwa hiyo simba baba lao sio?
Hivi ni kweli huyu jamaa anatoa kiboga
Home Shopping Centre ChaliSimba Hoyee
Mkataba wa gsm na nbc una tofauti ya kiasi gani mbumbumbuKwa hizo milioni 3.5 kwa mwezi? Wacha uzwazwa
Haa Mdhamini Feki KakimbiaTakwa moja wapo lilikua kuuziwa kombe la NBC, lakini baada ya kuanza kushona sare, huku mnyama akija kwa kasi wakaona isiwe tabu ngoja waombe hela zao
Hujajibu maswali yangu
Unazidi kuonyesha umaskini na chuki isiyo na sababu,
Haya wewe pia ulichangia nini hizo Team kupanda daraja mpka ligi kuu?
walikosea wao siku ya kusaini mkataba wakaambatana na Misukule ikaleta tafsiri kuwa ule mkataba ulikuwa una msukumo wa Yanga kama Club ndani yake...ila kilichowaondoa ni zaidi ya hapo..baada ya ile janja janja ya kutaka"kuikamata/kuihodhi lingi na TFF ili timu yao ichukue ubingwa kukwama....ahaaa poleni saana "wapigaji" wa GSMKampuni Ya GSM, Leo Tarehe 07/02/2022 imetangaza kujiondoa Kwenye Udhamini Mwenza Wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Ikimbukwe kuwa Kampuni Ya GSM iliingia Makubaliano Ya Kuidhamini Ligi Kuu Tanzania Bara Na Kuweka Dau la Bilioni 2.5.
Lakini Udhamini Huo Ulipingwa Vikali na Simba Sc huku Vilabu vingine 16 vyote vya Ligii kuu Tanzania Bara Vikiridhia Udhamini Huo, Lakini Kwa Sasa GSM wamejiondoa Na Si wadhamini Tena.
Leo Kampuni Ya GSM imeeleza Ya Sababu Ya Kujitoa kuwa ni Kwasababu, TFF na Bodi La Ligi Kushindwa Kutimiza Matwaka ya Kimkataba.
Bado Haijaelezwa Wazi Matakwa Hayo ya Kimkataba ni Yapi Ambayo TFF na Bodi Ya Ligi Hawajatimiza hadi kupelekea Mkataba kuvunjwa. Lakini moja Ya Matakwa ya Kimkataba ilikuwa ni Vilabu Vyote kuvaa Nembo ya Mdhamini Upande Mmoja Wa Bega katika Jezi na Simba Sc Ndio Club Pekee iliyokuwa haijafanya Hayo.
Takwa jingine ilikuwa ni Mabango ya Mdhamini mwenza kuwepo Uwanjani lakini Simba Sc Ilipinga vikali na kutokuweka mabango hayo katika Mechi Zake.
Kwenu Studio
Akili ndogo mno huyo mwambaHuna akili mbwa wewe team ndogo ndio zinaumia.
Mikia fc mnafikiri kufanya hivyo ndio mtachukua ubingwaπ€Έππππππ π€£πππππππππππ Nacheka Kiingereza
Gharibu Huyu Mdhamini Wa Ujanjaujanja Amenyoosha Mikono
Hivi Anafikiri Logo Zinavaliwa Kienyeji Tu
Aache Ubabaishaji Afuate Taratibu Zote
Gharibu Hajajipanga Anakurupuka TuGSM wanatishia kujamba wkt wanaharisha.
Walikuwa wanajiendesha ama Wana endeshwa unasahau kuna timu zilikuwa zinapewa nauli na timu nyingine na wanakuja pigwa goli 8Nilishakujibu kuwa Azam TV, NBC, na waliotangulia kabla yao walifuata taratibu za kimkataba.
Nimekuuliza kuwa hizo Klabu ndogo kabla yao GSM walikuwa wakijiendeshaje? Halafu ulivyo mpumbavu unaniuliza Mimi tena nilichangia nini team kupanda Ligi Kuu.
Kweli Nyani kwake porini yaani..CC' Kocha Luc.
πππππ Mtani Tulia KwanzaMikia fc mnafikiri kufanya hivyo ndio mtachukua ubingwaπ€Έ
Kwahiyo kafanya biashara miezi michache ameona haina Faida kaamua kufunga (Hajapata hasara)Kwaiyo wewe mbulula unafikiri nani anaumia? Gsm hana cha kupoteza ela yake ataielekeza kwingine, tff,bodi ya ligi na vilabu vingine ambavyo avikuwa na uwezo kujiendesha ndo wahanga wakubwa wa hili jambo, unapokenua kwamba mmeshinda ni ujinga wa kiwango cha lami