Alonso14
JF-Expert Member
- Aug 6, 2017
- 1,785
- 1,817
Tulia dawa ikuingie vizuri mkuuSi kweli kama ameiumbua EPL, isipokuwa timu zote zinazoshindana na City haziko consistent enough. Ni kama vile mwaka jana wakati Chelsea walivyoshinda ubingwa, kila timu ilionekana vibonde hata City yenyewe ilikuwa haieleweki kipindi hicho.