Guinea: Kigogo Baltasar Ebang Engonga anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

Status
Not open for further replies.
Sasa alikuwa akigonga wake za watu pamoja na ndugu zake huku akijirekodi, hii ni kuonesha jeuri ya madaraka ama nini sijui?
Hapana, huenda labda ilikua kwa faida za mbeleni.

Mfano kuzitumia kuwa Black mail pindi akiwa na changamoto katika biashara zake.

Mfano;imagine upo kwenye sex tape na mke wa waziri fulani wa wizara ambayo inahusika moja kwa moja na biashara yako,

Na kwa kuwa wanaume wengi wameshikwa na wake zao majumbani hata mawaziri ni vivyo hivyo(ndio maana kuna maamuzi mengi ya kipuuzi huwa yanafanywa na wana siasa mpaka unajiuliza huyu aliwaza nini kumbe ni mkewe ndio katoa maamuzi wtf)

Sasa kama upo kwenye sex tape na mke wa mpuuzi kama huyo

unashindwa vipi ku ask demands za maana?

unamtumia kipande kidooogo tu cha video, kisha unamwambia jitahidi kwa namna utakavyoweza umshawishi mumeo, mpango wa usambazaji wa mbolea na pembejeo za kilimo uanzie mkoa wangu(hapo vipi hujawin)
 
Labda ni AI Generated, you never know
 
Ataadhibiwa kwa sheria za maadili kazini lakini siyo kufungwa jela
 
Kiukweli alivyoumbwa huyo kaka anaonekana mtamu sana
 
Hao waume zao hawajaaibika hata kidogo

Wake zao unafikiri sasa hivi wanazifcha wapi sura zao? Wengine wana watoto imagine

Usishangae huko mbeleni tukasikia wengine hat
a wamejiua
Kuna mmoja tayari kashajiua.
 
Kama hujaona sio rahisi kukubali.

Mm nimeziona ndo nikaamini
 
Kiukweli alivyoumbwa huyo kaka anaonekana mtamu sana
Huyo mwanaume ni Ultra masculine Man, kisaikolojia wanasema mwanamke hawezi kukataa chochote anachoagizwa na aina hii ya mwanaume.

Kuna mdada mmoja ambaye kaliwa na huyo jamaa amesema anymously jamaa alikuja straight na kumwambia with high confidence kuwa anataka kumla k ofisini juu ya meza na hela akampa, yule dada anasema alimpea k, anasema utamu alioupata hajawahi kuupata anasema alienjoy mno, anahisi huyo mwanaume anatumia uchawi.


Huyo jamaa ni mpelelezi mkuu wa masuala ya kifedha wa hiyo nchi ni kama usalama wa taifa wa nchi. Kwa hiyo wanawake wanaona wapo salama.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…