Guinea: Kigogo Baltasar Ebang Engonga anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

Guinea: Kigogo Baltasar Ebang Engonga anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

Status
Not open for further replies.
hii kamba mzee mwenzangu eti alikua anakagua chumba chote kwanza
Hahaha..........sikuwa na haja ya kudanganya Mzee mwenzangu, nadhani lengo lilikuwa zuri kuhakikisha hatuwapi Vijana connection.

Imagine upo zako shambani huko unapigiwa simu na Wajukuu zako wa Mjini kusema wameona connection yako ukimpelekea moto mtoto wa elfu 2 🙌
 
Huyo mwanaume ni Ultra masculine Man, kisaikolojia wanasema mwanamke hawezi kukataa chochote anachoagizwa na aina hii ya mwanaume.

Kuna mdada mmoja ambaye kaliwa na huyo jamaa amesema anymously jamaa alikuja straight na kumwambia with high confidence kuwa anataka kumla k ofisini juu ya meza na hela akampa, yule dada anasema alimpea k, anasema utamu alioupata hajawahi kuupata anasema alienjoy mno, anahisi huyo mwanaume anatumia uchawi.


Huyo jamaa ni mpelelezi mkuu wa masuala ya kifedha wa hiyo nchi ni kama usalama wa taifa wa nchi. Kwa hiyo wanawake wanaona wapo salama.
Jamaa anzia sura ni mtamu.alafu anaonekana mstaarabu sana.anajua kufariji waliopondeka mioyo
 
Huyu
 

Attachments

  • IMG-20241105-WA0003.jpg
    IMG-20241105-WA0003.jpg
    42.3 KB · Views: 4
Inaonekana alikuwa na mpunga mrefu, maana Kwa status ya hao Wanawake alioruka nao, kama hauna mpunga sio rahisi kuwapata
Huyo kazaliwa mwaka 1970.
Ni mkuu wa masuala ya upelelezi wa kifedha. Ni kama boss wa takukuru ya huko kwao. Ni tajiri sana wanasema ana majumba mengi sana. Na ana pesa nyingi mno. Kuna blog moja (sina uhakika) wamemhoji mdada mmoja aliyeliwa ofisini juu ya meza anasema alipewa usd10,000 ili kuliwa ofisini juu ya meza.
 
Huyo kazaliwa mwaka 1970.
Ni mkuu wa masuala ya upelelezi wa kifedha. Ni kama boss wa takukuru ya huko kwao. Ni tajiri sana wanasema ana majumba mengi sana. Na ana pesa nyingi mno. Kuna blog moja (sina uhakika) wamemhoji mdada mmoja aliyeliwa ofisini juu ya meza anasema alipewa usd10,000 ili kuliwa ofisini juu ya meza.
Kama ni hivyo jamaa yupo vizuri.

Unajua Kwa Dunia tuliyonayo, kama hauna hela sio rahisi kung'oa PisiKali kama wasemavyo Vijana.
 
Jamaa anzia sura ni mtamu.alafu anaonekana mstaarabu sana.anajua kufariji waliopondeka mioyo
Ni mpelelezi mkuu wa masuala ya kifedha wa hiyo nchi, kazaliwa mwaka 1970, nitajiri sana. Kuna mdada kasema ilipewa USD 10,000 cash ili aliwe ofisini juu ya meza.



.je wewe ukipewa USD 10,000 cash ili uliwe utakataa? 🤣
 
Huyo mwanaume ni Ultra masculine Man, kisaikolojia wanasema mwanamke hawezi kukataa chochote anachoagizwa na aina hii ya mwanaume.

Kuna mdada mmoja ambaye kaliwa na huyo jamaa amesema anymously jamaa alikuja straight na kumwambia with high confidence kuwa anataka kumla k ofisini juu ya meza na hela akampa, yule dada anasema alimpea k, anasema utamu alioupata hajawahi kuupata anasema alienjoy mno, anahisi huyo mwanaume anatumia uchawi.


Huyo jamaa ni mpelelezi mkuu wa masuala ya kifedha wa hiyo nchi ni kama usalama wa taifa wa nchi. Kwa hiyo wanawake wanaona wapo salama.
Umesema kweli kabisa
 
Jamaa kule twitter kwenye account yake anakanusha eti sio yeye, ni AI (akini mnemba). Kwamba maadui zake ndo wametengeneza izo video. Jamaa fala sana
 
Jamaa kule twitter kwenye account yake anakanusha eti sio yeye, ni AI (akili mnemba). Kwamba maadui zake ndo wametengeneza izo video. Jamaa fala sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom