Guinea: Kigogo Baltasar Ebang Engonga anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

Status
Not open for further replies.
Viongozi wa wafrika ndio maana hawaleti maendeleo wako bize kudinyana tu kwa kutumia fedha za umma kusafiri Nchi za ughaibuni na kulala Hotel za kifahari kafri wawezavyo.
 
Nawaza huko kwenye familia za “wahusika” wanazungumza lugha gani?

Ama kweli shetani ataanguka na wengi 😂😂

Kwanini wameinvade privacy yake kiasi hiko? Was he looking forward kugombea urais? Wamemzima.

Why naye atunze skeletons za aina hii? Ni Fantasy yake au alitaka ku-blackmail?
 
Mimi sidhani rekodi nyingi zinazovuja mitandaoni ni za wahusika kujirekodi, bali ni za kurekodiwa kwa siri ama kwa masharti ya kikombozi.

Mfn kama ile ya Gwajiboy alivyokuwa akisakata gozi hadi kufunga goli la mkono wakati kipa katulia kwa kusinzia, wadhani alijirekodi na kuirusha video yenye madhaifu ya namna hiyo, jibu ni hapana.
 
Mambo ya P didiy labda alikuwa anawapa mpunga mrefu
 
Alikuwa amemwandama sana Makonda😅😅
 
Si ajabu hakutunza ila alikua anatafuatiliwa kama jinsi ambavyo ndgu yangu wa damu Poor Brain ambavyo anajirekodi akila mishangazi akidhani haonekani, kumbe mimi nimehack simu yake namuona vizuri kabisa.
Weee jamaaa wewe 😂😂😂😂😂😂
Tabia zako unanisingizia mimi..

Vishu mi nataka siku ivuje aiseee ntakucheka wewe maana unajua kufanya hvo ni deal mjini hapa sio
 
Wewe Ni Me au Ke
 
Itakuwa kuna Mwanameke kamfuma kati yao. Akaamua kuvujisha kama mbwai iwe mbwai.

Si unajia akili za wanawake.

Jamaa ameonekana ana dharau anakula watu wa familia moja tena familia Bora?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…