Ktk Video zote Bwana Balthazar ajambaka mwanamke yeyote.
Wanafanya yao kwa Ushirikiano Mzuri tu.
Kwa Mtazamo wangu Viongozi walichapiwa ndo wameamua kumuandama au kumtendea hivyo, Hata hizo Video ziinaonekana wao vidongoz wamechangia kuzisambaza
Kama mtu alikua na kumbukumbu ya Mambo yake kimya kimya
Sasa Hao walichapiwa ndo wamekua wakali.
Kweli kuchapiwa inauma ila ikishatokea hata ufanye nini, swala lishatendeka, Bwana Balthazar kawasha Moto... Wake Za Watu kwa hiyali yao Wala ajawaka. Video zile ajasambaza yeye, ila waliosambaza ndo wapumbavu, wamejianika wao kwa kuchapiwa.
Walio sambaza Video Ndo Wanahatia Kwa kua yeye ajazisambaza