Guinea: Kigogo Baltasar Ebang Engonga anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

Status
Not open for further replies.
Teknolojia ni kitu ya kuogopa sana, Na kuwa nayo makini sana.

Ila Wanawake ni viumbe vya hovyo sanaa.

Natafuta Ajira na mockers njoo muone viumbe wenu huku.
Kwanini? Huyo jamaa sio shoga, angekuwa shoga angetongoza mashoga wenzie na angewarecord hivyo hivyo!

Fortunately/unfotunately anatongoza wanawake na wanawake wanamkubalia, Hii lawama ya upande mmoja inatoka wapi?

Huyo jamaa hajabakwa, mtu wa hovyo nambari one ni yeye, namba zinazofuata ni hao wa hovyo wenzie.
 
Ukidate na usalama na wew si unakuwa usalama etiii!!
Ama ulijuaje km ni usalama usije kuwa ulidate na yahaya
 
Wanawake wengi ni watu wa kujirahisisha sana ni viumbe ambao maneno yao huwa hayamaanishi wanachosema, maneno wanayoongea/wanachoandika mtandaoni unaweza kudhani wanajitambua na wenye misimamo sana lakini sivyo hivyo usishangae ukamshawishi mwanamke ukafanye nae mapenzi hadharani mchana kweupe katikati ya soko awali atakataa ila ukisimamia msimamo wako usishangae ukaona kakubali na akakwambia kakubali kwasababu anakupenda.

Kwasababu hiyo basi unaweza kuwafanya chochote unachotaka, wala si ajabu hapo jamaa ataomba msamaha na mke atasamehe.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…