Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa makazini/ofisini na vyuoni hakuna makubaliano bali kwa asilimia kubwa ni shinikizo 1. Cheo 2. Safari 3. Nafasi nzuri 4. Uhamisho 5. Uhakika wa Kufaulu Chuoni. Na hii ya chuoni imewagharimu mabinti wengi wazuri ambao walikuwa na misimamo. Na wa makazini tumeshuhudia wenye sifa na uwezo wakiwekwa pembeni na wasiokuwa na sifa wakipewa nafasi sababu ya papuchi.Ya nini waanikwe wakati ni makubaliano ya watu wazima kabisa?
🥴Kwani wanabakwa au wanakubali wenyewe?
Wali MaharageBichwa leo ulikula nini antiel wangu
Baba naogopa kinomaKama hili ndio unalitambua leo natayari kama unamke basi umesha chelewa sana.
MAPENZINI; wakati mwingine wanawake huwa wa ajabu sana, utakuta msela hunyandua demu wake pisi kali, basi nao hutaka kuonja mnyanduo anaonyanduliwa mwenzao kwa huyo msela kwa dhana kwamba hata wao wana utamu kama mwenzao. utakuta wanamuacha jamaa asiye na demu wanamuendea msela mnyanduaji wakanyanduliwe wote bila kuoneana wivuMatukio Kazaa ambayo yanatokea siku hizi kuhusu wanawake
Hakika yananipa hofu ya kuishi na mke wangu
Yananifanya niamini kila mwanamke sio mwaminifu hakuna kitu ninachoogopa katika maisha yangu kama ku share kile kindizi
Kwa matukio haya nimeanza kupata picha kwanini Mungu alisema tuishi nao kwa akili
Na ubaya hawa wenzetu wakianza tabia hiyo utajua
Jeuri inapanda anakuwa anakuona kama mtoto wake tu inawezekana mke wangu utakuwa naniona kama last born wake na mimi sijui
MAPENZINI; wakati mwingine wanawake huwa wa ajabu sana, utakuta msela hunyandua demu wake pisi kali, basi nao hutaka kuonja mnyanduo anaonyanduliwa mwenzao kwa huyo msela kwa dhana kwamba hata wao wana utamu kama mwenzao. utakuta wanamuacha jamaa asiye na demu wanamuendea msela mnyanduaji wakanyanduliwe wote bila kuoneana wivuMatukio Kazaa ambayo yanatokea siku hizi kuhusu wanawake
Hakika yananipa hofu ya kuishi na mke wangu
Yananifanya niamini kila mwanamke sio mwaminifu hakuna kitu ninachoogopa katika maisha yangu kama ku share kile kindizi
Kwa matukio haya nimeanza kupata picha kwanini Mungu alisema tuishi nao kwa akili
Na ubaya hawa wenzetu wakianza tabia hiyo utajua
Jeuri inapanda anakuwa anakuona kama mtoto wake tu inawezekana mke wangu utakuwa naniona kama last born wake na mimi sijui