Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 3,000
- 5,606
Bahati mbaya hawatasoma post hii lkn umenenaMtu asie na utaalam wa mambo ya afya na utabibu(Bishop Gwajima) anauliza maswali kuhusu chanjo, mtaalam wa afya na utabibu MD na waziri wa afya badala ajibu maswali kitaalam ana amua kumshambulia personally muuliza maswali.
Hapa weledi wa waziri uko wapi? Kuna majibu mawili tu unapata ukifikiria majibu ya waziri kwa bishop. Haijui corona wala chanjo zake na anachokifanya ni kwenda tu na script.
Hamna wakati Antony Fauci alipitia wakati mgumu kama kipindi maambukizi yako kwenye peak USA ila hamna wakati huyu mtaalam aliwashambulia personally wauliza maswali.
Waziri wetu uswahili unamzidi hadi anapitiliza miiko na maadili ya kazi yake.
Mi nimuulize maswali mtaalam mmoja JF kuhusu mambo nisiyoyaelewa hapa jukwaani halafu badala anijibu kitaalam aanze kunishambulia kuhusu user name yangu, avatar, muda niliojiunga JF, aina ya mada nazovutiwa kuchangia nk! Si utoto kabisa?
Biblia hairuhusu kulipiza kisasi
Admission by passive conductWhat is a tacit admission?
Hivi waluwalu maana yake nini mkuu....!!?Si umeambiwa binti ni waluwalu?[emoji1787][emoji1787]
Mapepe hajatuliaW
Hivi waluwalu maana yake nini mkuu....!!?
mimi ningekuwa waziri ningesema ukweli huu.. kiukweli hatujui kilichomo kwenye hizo chanjo na sisi tumeletewa tu tuwakomalie raia wachanjwe na wenye dunia yaoNamshauri Rais asimtoe Waziri maana gwajima boy mpotoshaji wewe ungekuwa Waziri umgefanyaje kwa upotoshaji wake
Kweli watanzania tuna akili mbovu kupitiliza. Video ya ngono, inaonyesha kwamba siyo mtu mkweli na hawezi kuaminika. Ni tapeli na mpotoshaji. Watanzania wengi ni wajinga ndiyo maana. Akiweza kumsaliti Mungu anayemuamini kwa kumdanganya Mungu mwenyewe ndo itakuwa binadamu wenye akili za nyumbu?Tunahitaji hoja za kitabibu...MD mzima kutoa mipasho badala ya hoja za kitabibu ni wendawazimu.,yaani badala ya kujibu hoja zake yeye anamshmbulia na kumuelezea yeye.
Huwezi kuthibitisha ama kutoa majibu ya chanjo kwa hoja za video za ngono...ni upumbavu.
Gwajima ana hoja gani? Unaweza kuweka hapa hizo hoja zake? Pamoja na kwamba hana credibility? Hizi akili nyingine wacha ninyamaze tu maana nitaishia kupigwa ban kila siku.Waziri ajibu hoja ya gwajima, ajibu kitaaluma zaidi.
Mambo ya mrembo hayatuhusu kwa sasa yalishapita.
Wanaume mmeumbwa kwa tamaa kilichomtokea gwajima hata wewe waweza kikakutokea.
Huyu mnyiramba alipaswa awe bar anahudumia wateja, uongozi una wenyeweI hope Dorothy hatajibu
Otherwise Mama SSH tunaomba umtoe hapo.,
Ila watoto wanaona vitu vya ajabu jamani yani hawaelewiNa chura pia.🐸🐸
View attachment 1903638
High drama in the Gwajima clan!
So is this a tacit admission that it indeed was him in that homemade sextape?
Yule Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alikuwa akipigwa mashambulizi alikuwa hajibu mpaka upepo ukatulia(Kila jumapili mchungaji alikuwa analeta habari mpya kwa waumini),tuliyajua mengi hadi kijiji cha Kolomije!!!Waziri ameyataka mwenyewe kwa kumu-attack personally Rev.Gwajima kwa kumkejeli na kumdhihaki!
Huenda hamjui vizuri.
Katika jukwaa la kanisa llakeIla huyu askofu anapenda sana drama!
Global ajenda ikawaathiri mpaka wao wenyewe?
Hamjafanya utafiti, huo uwezo wa kufanya hizo tafiti mnao? kama upo fanyeni mnasubiri nini?
Anataka mdahalo na wanasayansi, akiambiwa tafiti inapingwa kwa tafiti atajibu nini? au ataleta ngonjera zake za kuwafurahisha mashabiki wake.
Alisema Corona haitakuja nchini, ikawaje? now anajidai hataki kuchanjwa ili kuwazubaisha msio na kumbukumbu ya uongo wake.
Mchungaji Leo kaamua akili kuwa alikuwa Ni yeye.View attachment 1903638
High drama in the Gwajima clan!
So is this a tacit admission that it indeed was him in that homemade sextape?
Hana mke? Atahubiri Nini Sasa Kama yeye mwenyewe ndo mharibifu.Mtumishi hapaswi kula raha?