Net ya kitanda in zamabarau, mapazia ni ya cream, ila yule sio Gwajima, nimepima size ya pua zinatofautiana sana, sio mwenyewe Duniani wawili wawili mwacheni Baba askofu apige Injili.Mbona kwenye ile clip alokuwa kifua wazi moja ya rangi za mapazia ni zambarau na kwenye ile anayomtia mapazia yake hayana hiyo rangi kabisa? Itakuwa ni ya uongo hii
Mkuu umepima kutumia Nini kwenye video?Net ya kitanda in zamabarau, mapazia ni ya cream, ila yule sio Gwajima, nimepima size ya pua zinatofautiana sana, sio mwenyewe Duniani wawili wawili mwacheni Baba askofu apige Injili.
Yani uyu mzee katufedhehesha sana uyu
Bint kama uyo unamtekenya tenya mwishowe anakuja kututukana wanaume wote
Hayo sio mapenzi bali ni MAHABA kwa Gwajima.Net ya kitanda in zamabarau, mapazia ni ya cream, ila yule sio Gwajima, nimepima size ya pua zinatofautiana sana, sio mwenyewe Duniani wawili wawili mwacheni Baba askofu apige Injili.
Too hot! Binti mzuri aiseeHawafanani? au nikupe na jina la Binti? kadanganye waumini wakoView attachment 1091119View attachment 1091120
Too hot! Binti mzuri aiseeHawafanani? au nikupe na jina la Binti? kadanganye waumini wakoView attachment 1091119View attachment 1091120
Hebu njoo pm kwanza maana ww nae au ndio ile kauli mbiu mvumilivu hula mbivu
Wewe yule ni gwajimaaaa
Kweli kabisaBefore make up & After Make up / Kwenye Ulimwengu wa Giza & Kwenye ulimwengu wa MwangaView attachment 1090845
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dadeki mchungaji anakata mauno kama paka chongo
Kwa haraka ukiangalia ile picha inayosambazwa utadhani ni Gwajima, lakini kumbukeni watu huwa wanafanana. Gwajima hana shingo pana kama ile, pua kubwa kama ile, kidevu kipana na hata macho yake siyo makubwa kama yale... MUDA UTASEMA.
Peleka ujinga wako hukoKwa haraka ukiangalia ile picha inayosambazwa utadhani ni Gwajima, lakini kumbukeni watu huwa wanafanana. Gwajima hana shingo pana kama ile, pua kubwa kama ile, kidevu kipana na hata macho yake siyo makubwa kama yale... MUDA UTASEMA.
Wajinga ndio waliwaoUkiwa na maadui wa aina alionao Gwajima haiwezekani ukose kashfa. Watazitengeneza hata kwa ghrama ya uhai wa binadamu mpaka wafikie lengo lao. Nitakuwa wa mwisho kuamini ujinga huu!!!!!
Ilitakiwa kuwepo na vishindo vya maana pale kitandan sababu zote za mchezo Baba askofu kushinda zilikuwepo[emoji1787][emoji1787]
Mi mwenyewe mwanzoni nilijua yeye 100% but meiangalia video vizuri nimeanza kuhisi sio yeye...ukiangalia tumboni gwajima ana kakitambi flani but kwenye iyo video jamaa hana kitambi kabisaNet ya kitanda in zamabarau, mapazia ni ya cream, ila yule sio Gwajima, nimepima size ya pua zinatofautiana sana, sio mwenyewe Duniani wawili wawili mwacheni Baba askofu apige Injili.
HahaaaaaaaNakumbuka wakati kaitwa sentro mlienda kuimba kwaya pale nje ya sentro!