Gwajima hana pua kubwa kama ile, hana macho kama yale. Siyo Gwajima yule

Wanaume tuna vichwa viwili unajua vinafanyaje kazi? Kila kimoja kinacontrol mwenzake...

Eat what u see
 
Vipi swala hili kama angefanya Bashite?
 
The only way ya Askofu kujinasua katika hili ni kuleta mtu alievalishwa mask akafanana nae 99% kisha akamsimamisha mbele ya waumini wake na kusema huyu ndie Gwajima wa kwenye video.. hapo nitaelewa na atarudisha credibility yake iliyoporomoka kwa sasa. Otherwise ni ngumu aisee.. najua uwezo huo anao..😁😁😁
 
Kwani angle ya picha ya juu ilivyopigwa ni sawa na angle ya picha ya chini iliyo pigwa ?

Kaka sisi wengine sio wapiga ila kuzitazama picha tunajua.
Hata kama siyo mpiga picha ila kiuhalisia tu hapo hauhitaji utaalam wowote kuoanisha taswira mbili zisizofanana.

Kichwa cha gwajina siyo horizontal ni round na hana paji la uso lenye kibiongo, ila tusubiri soon ukweli utakuja hapa hapa.
 
ndo yeye mkuu mi nilikua nabisha ila nimekubali. pua, ndevu za mdomo, masikio, komwe na kipara ni yeye 99%

 
Video ya kumchafua Askofu Gwajima inayosambaa mitandaoni imeshafahamika ni fake.
Watesi wake jipangeni upya.

Software iitwayo REALITY DEFENDER imewaumbua
Original video ilirekodiwa Alhamisi tarehe 15/11/2018 saa 2:49 usiku.
Ukweli utajulikana tu
hongera kwa kupewa tender ya kuitangaza hiyo software uchwara....ila wananzengo tumegoma...tunasema yule ni yeye mwenyewe gwajima proper.
 
Una vipimo vya mwili wake?
watu wanafanana mzee..... kumbukeni hata Kikwete na Membe..... MEMBE ANGEWEZA KUJIFANYA KIKWETE NA KWA KUFANANA KULE WENGI WANGEAMINI..... muda tu utasema pale Gwajima akimleta muhusika wa ile scandal.
 




Maswali uliyojiuliza ni ya kipumbavu!!

Kwani huyo mwanamke ndio wa kunza kurekodiwa video za hivyo?

Hao ambao wamewagi kupiga picha za hivyo walipiga ili wanuoneshe nani?

Hao ambao wamewahi kuoiga picha za hivyo hawana akili?
 
Mi sijaamin pic, hadi nione video yenyewe
 
Kama sio yeye tunaomba namba ya yule jamaa basi maana anatoomba vizuri sana
 
Hawafanani? au nikupe na jina la Binti? kadanganye waumini wako
 
Ni upuuzi kutetea Uzinzi wa Askofu kwa Mwamvuli wa Ukristo...... Ile Video kajishoot mwenyewe, ww unakuja hapa na porojo.........
Wachungaji ni binadamu pia wakikosea tuwaambie wamekosea sio kutetea ujinga....... .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…