Habari Njema Kutoka Barrick Gold kwa Watanzania, Tunaanza Kufaidi Rasilimali Zetu, Donge Nono la Dola Milioni 100 zalipwa

Hiyo ni typo tu mistake. Wenye kuona ukweli ni watu wa Benki pesa hiyo inapoingia, vile vile kumbukeni exchange rate inabadilika, hadi unapokwenda kuweka kwa hiyo wala sio tatizo.
 
Fedha huwa hazichotwi Hazina mbwiga Wewe? Unafikiria hii Serikali ni kama hiyo Saccos yenu hapo ufipa. Fedha za matibabu zinalipwa na NHIF kupitia bima ya mbunge kwenda kwenye hospitali aliyotibiwa kiongozi husika. Na hapo lazima iwe amepata kibali cha kutibiwa nje kabla hajaenda kutibiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ni typo tu mistake. Wenye kuona ukweli ni watu wa Benki pesa hiyo inapoingia, vile vile kumbukeni exchange rate inabadilika, hadi unapokwenda kuweka kwa hiyo wala sio tatizo.

Acha kufanya watu hawana akili bhana! Rates hazibadiliki kwa viwango vya maelfu baali n some cents na decimal points!
 
Acha kufanya watu hawana akili bhana! Rates hazibadiliki kwa viwango vya maelfu baali nhhhi some cents na decimal points!

Unaota wewe, wakati huu wa Covid-19 rates zinatofautiana sana. BTW you are talking about USD100 million. Unafikiri ni kama change unazozipata wewe? Mzaledo2015 matope! Haya hebu weka closing rates za Tshs Vs USD za leo kwenye DST?
 
Unaota wewe, wakati huu wa Covid-19 rates zinatofautiana sana. BTW you are talking about USD100 million. Unafikiri ni kama change unazozipata wewe? Mzaledo2015 matope! Haya hebu weka closing rates za Tshs Vs USD za leo kwenye DST?

Ole wako......!!!Hujitambui na hujielewi....! Just bring your data here to justfy your Non-sense argument!
 
Ole wako......!!!Hujitambui na hujielewi....! Just bring your data here to justfy your Non-sense argument!

What type of an argument is this? You can't prove your own narrative, poor Mzalendo2015. Unfortunately I don't waste my time with losers.
 
What type of an argument is this? You can't prove your own narrative, poor Mzalendo2015. Unfortunately I don't waste my time with losers.

You must be sick in thy tiny and small brain. Number speaks my dear! Just bring your data here! Looks like you're nut!
 


Mama yangu, hapa Zitto amekwisha.....yaani namuona kabisa anajipiga vidole huku akijilamba. Dogo vitu kama hivi hapendi kabisa kusikia.
 
Mabeberu bargaining power yao ni yakipekee,
Kutoka USD 190 BILLION, hadi USD 300 MILLIONI.

Hii ni saww na machinga akwambie tochi anauza lakimoja,ukamshusha hadi jiti...100.

Nimemkumbuka Mr. Yebo...ongea nae mpaka mwisho...
 
 
Sisi upinzania kama upinzani hatufurahii habari hii, tulitaka Barrick wagome kulipa tuanze kuponda kama kawida yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…