Makirita Amani
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 1,915
- 3,422
- Thread starter
-
- #141
Mkijibiwa sawasawa yenu mnasema jazba.mhaririri wa hicho kitabu ni tajiri kwa sasa kwani natumaini kakisoma pia.
alafu kua kama msomi usilete jazba za vijiweni
Tume hiyo source yako inayosema utajiri ni inborn.hujanielewa bado
sijasema vitabu havisaidi lahasha bali si kusoma kitabu ndio kua tajiri.tajiri anazaliwa na anakua na moyo wa utajiri toka utotoni yani ni natural inborn
Mkuu,Kwahiyo saiv kuwa mtumishi wa uma, hasa kutoka kwenye sekta nyeti ya serikali ni utajiri?! Mh! Hii nchi hii 🙌
Ila hongera! Connection zenu zimewasaidia
😀😀Ana jazba....watu aina hii
Kuna mahala ukigusa
Lazima wapandwe na jazba
Ova
Umesema vyema mkuu,Watanzania wengi ni wajinga ni watu wa juu juu na ni wapuuzi kifupi huwaga hawajielewi. Stamina ya uwekezaji hawaiwezi. Wengi wamezoea njia za mkato kama wizi na utapeli na majungu pia ni wavivu kusoma na kutafuta maarifa wavumilie ndio jamii uliyonayo
Sehemu pekee wanayoweza kupoteza muda wao kujisomea ni kama kuna mtihani mbele yao baas
Mkuu,Mimi yangu ina milioni 700 na zaidi kidogo.., we sema tu yako hapa ili nione kama una credibility ya kunifundisha kuhusu biashara au pesa..
Karibu Mkuu,instagram account yako ni ipi na yotube channel yako ni ipi maana wengine tunapenda kujifunza kwa njia ya video zaidi kuliko kwenye webisite na kama huna tafadhali fungua nimejaribu kutafta insta account yako kupitia jina lako sjafanikiwa kuipata
Asante sana mkuu.Umestahili kwa kazi uliyoweka, kitabu chako Elimu ya Msingi wa fedha hakina Mpinzani.
Asante sana mkuu.Hongera Kwa kupewa cheti Cha kufundisha watu Elimu ya fedha kutoka benki kuu ( BoT).
Kila mtu ni mjinga kwenye kitu fulani mkuu.Sawa mimi ni maskini. Ila siyo mjinga.
Mkuu,Id nyingi zimekuja kumsapoti mleta uzi. Ni kitu kimoja kua na nadharia na ni kitu kingine nadharia kua practically doable.
Ila huruhusiwi kuchukua hadi miaka 25?Hapana 😂, ni kila mwaka inaongezeka 15% na kuna zaidi ya hapo ndio maana nilimwambia jamaa atoe somo la bond specific za BOT maana ndio zinawahusu
Bosi unamiini Forbes? Hujui kuwa iko manipulated kuwezesha watu am nchi kupata loans au financial status for lobbing?Mkuu,
Orodha ya forbes ya matajiri inakataliana na hizi takwimu zako.
Unaweza kutusaidia chanzo cha hizi asilimia ulizoshirikisha hapa?
Unalipwa twice a year, you can cash out or reinvest by buying more bonds , mwisho wa miaka 25 unarudishiwa your principal money, na unaweza kuuza bonds zako anytime sio lazima umalize 25 years, ila kuna zaidi ya kujua in bonds markets try to educate yourselfIla huruhusiwi kuchukua hadi miaka 25?
Unajua kwa nini madaktari hawatakiwi kujisifia?Kwa sababu nimekiwekea juhudi, nimelipa ada, nimesoma na kufaulu mtihani.
Kuna ubaya gani mtu kufurahia kitu alichofanyia kazi?
Personal loans.Hili ni eneo pana,
Inategemea na aina ya mikopo pia.
Ila kwa kufuatilia utaweza kuona wenye riba nafuu zaidi.
Rectify your self. No need ya kuwa arrogant.Siwezi kucoach ugoro mkuu,
Nacoach mtu anayejielewa.
Majibu yenu mnajaa kejeli halafu mkijibiwa sawa mnakuja kutafuta sympathy.
Sina hiyo mkuu, unataka matokeo njoo tufanye kazi, unataka kejeli kaa mbali.
Huwezi kuleta kejeli kwenye kitu sahihi halafu nikuchekee ili unione mnyenyekevu.
Hayo ndiyo yamefanya hili taifa kuwa masikini.
Tunapaswa kuwa straight, bullshit you name it bullshit and I don't entertain bullshiters.
Hahaha, tit for tat sio! Sasa utapata wateja vinchwa ngumu kweliMkuu,
Nakujibu kama unavyokuja, hivyo ukihukumu nilo ni juu yako.
Njoo sawa, nitakujibu sawa. Njoo kwa majibu ya kejeli nakujibu kwa majibu ya kejeli.
Hiyo ndiyo maana halisi ya UKIJA BILA GADI, NAGAWA WASTANI KWA IDADI.
Karibu sana mkuu.