Habari nyeti na nasaha zangu kuhusu vijana watakaofanya kazi na DP World


Upuuzi mtupu, wachukue mali yetu halafu unakuja kujisifia kuwa tutapewa ajira. Kwa akili hizi maendeleo tutaishia kuyaona kwenye Tv.
 
Umegeuka kuwa wakala!??
 
Upuuzi mtupu, wachukue mali yetu halafu unakuja kujisifia kuwa tutapewa ajira. Kwa akili hizi maendeleo tutaishia kuyaona kwenye Tv.
Amelaaniwa huyu ajuza.
 
Umesahau kimoja, wavivu wavivu hawatakua na chance kabisaa!maana watz wengu wavivu,hawafanyi, wamekalia majungu majungu tu!vivid examples - wafanyakazi wa serikali
Jinga kabisa, unajitolea kufanya kazi utumwani kwa nguvu zako zote, nawe umelaaniwa tu kwa kukosa akili.
 
Upuuzi mtupu, wachukue mali yetu halafu unakuja kujisifia kuwa tutapewa ajira. Kwa akili hizi maendeleo tutaishia kuyaona kwenye Tv.
Upo huru na fikra zako za wajinga ndiyo waliwao.

Kws kukujuza tu. Hutopata watu waaminifu na wakweli kwenye biashara kama hawa Waarabu wa Dubai.

Uchumi wao umekuwa kwa biashara tu, Dubai ni kitovu cha biashara za Dunia nzima. Wangekuwa siyo aaaminifu na wakweli wasingetoboa.

Waulize wanaokwenda kufanya biashara au matembezi Dubai wakueleze.

Nafahamu hasira za kukosa vigezo hizo.
 
Jinga kabisa, unajitolea kufanya kazi utumwani kwa nguvu zako zote, nawe umelaaniwa tu kwa kukosa akili.
Utumwani wapi???we pumbafu kabisaa!fanya kazi acha uvivuuvivu!nimewasema watu wavivuwavivu kama nyie!acheni uvivu fanyeni kazi!mmekalia majungumajungu tuu!PUMBAF kabisaa!mjaa laana wewe
 
Tumezoea vijan wakiajiriwa bandar ndan ya mwaka wana majumba na magari, je vp hao dp world itakuwa hivo hvo au watabana
 
Kama kwa Bakhresa tu
 
Cha msingi mkataba urekebishwe. Ile ya kusema uwe mkataba wa milele au kuwapa bure bandari zote za Tanganyika haifai.
Hujakosea kutowa maoni yako.

Naamini huelewi ukisemacho, umejazwa ujinga ukakujaa.
 

Hapa ndio unaharibu sana, sababu unaongea vitu vya uongo uongo, naomba usiwe msemaji wa DP World, wewe sio, acha serikali isemee na waziri husika yupo, wewe acha mambo haya ya taarabu, business sio taarab.

Logically, what you post here, kampuni yoyote ile ya uwekezaji inaweza fanya kwa maneno tu, but once utekelezaji ukianza ndio utajua, so acha kuwa msemaji feki wa DPW.
 
Uchumi wao umekuwa wapi hao maharamia wana kesi kila walipokwenda kuwekeza?

Wewe ni wakala wa shetani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…