Habari nyeti na nasaha zangu kuhusu vijana watakaofanya kazi na DP World

Habari nyeti na nasaha zangu kuhusu vijana watakaofanya kazi na DP World

SSH angeanza kwanza na kwao Zanzibar ambako mara nyingi watawala wa huko wamewahi kujitapa kutaka kuwa kama Dubai. Na sasa wana uchumi wa bluu unaotegemea bahari na bandari pia ziko nyingi.

Sisi Tanganyika tutajifunza na kufaidika na uzoefu wao ikiwa kweli watakuwa kama Dubai. Aidha, sisi tuna uchumi wa kijani unaotegemea ardhi yenye rutuba kwa ajili ya kilimo, ufugaji na inatema madini.
Zanzibar walianza kabla yetu. Hujasikia falsafa yao ya Blue Economy? Mama kajifunza kutoka kwa Hussein Mwinyi.

Soma hapa kuhusu sera ya Zanzibar ya Blue Economy 👇🏾 ilivyosifiwa na Umoja wa Mataifa👇🏾


Mama anaupiga Kimataifa.
 
Tunapelekwa utumwani Dubai bila kujulikana ukomo, ajabu anajitokeza kibaraka wa shetani asiyechoka kumtumikia shetani, muda wote ni kumpamba shetani.. hakika ushindwe na ulegee ewe bibi ulielaaniwa.
Mama Samia anaileta Dubai hapa hapa, kasnza DUBUY. Kaa kwa utuvu, ujifaraguwe. Bofya ujionee 👇🏾



Mama anaupiga Kimataifa.
 
Vijana wa Kitanzania,

Msione tabu au uvivu kukisoma kilichopo chini, ni kwa manufaa yenu na ya Tanzania kwa ujumla.

Jana kuamkia leo ilibidi nifanye mawasiliano na Diaspora wa Tanzania waliopo Dubai. Nia na dhumuni ilikuwa ni kutafuta connection ya kuwatafutia vijana fursa za kazi ndani ya DP World.

Kwa bahati niliyeongea nae kwanza, kijana mwenzangu wa zamani, maarufu sana Dar au niseme Tanzania nzima, kwani alikuwa ni mcheza mpira wa kusifika enzi hizo.

Baada ya salaam na kuulizana ya hapa na pale nikamuuliza kuhusu DP World kama ana connection yoyote, kwanza kacheka akanambia wewe mtu zaidi ya wa kumi kuniuliza. Kwa ufupi, alikuwa na mtu tena mwema sana. Akanambia atanipigia baadae kidogo nimpe muda kidogo amtafute. Baada ya kama nusu saa akanistukiza kwa video conference call, akiwemo na huyo kijana ambae yupo jikoni, ndani ya Dubai World, hawa Dubai World ndiyo "mama" wa DP World. Tukaongea mengi sana.

Vijana wa Kitanzania watakao bahatika kupata kazi na DP World watafaidika na mengi. Kwa uchache:

1) Kutakuwa na kila aina ya ajira, wenye ujuzi na wasio na ujuzi watachukuliwa.

2) Mafunzo ya kazi ya mara kwa mara, ndani na nje ya nchi, yatatolewa kwa watakao pata kazi.

3) Uhamisho wa kituo cha kazi wa mara kwa mara kwa watakao ajiriwa.

4) Hatastahimiliwi mfanya kazi ambae hafati muda wa kazi na deadlines za assgnments.

5) Wenye kujua Kingereza kwa kusoma, kuandika na kuzungumza ndiyo watakuwa na chance kubwa.

6) Wenye kujua kutumia kompyuta kiwepesi chance zitakuwa kubwa.

7) Ukiwa mwongo kwenye cv au vyeti au kazini, hata ukishaajiriwa utaikosa kazi.

8) Wana policies and procedures kwa kila hatua ya kazi, ukikiuka hata kidogo ujue hauna kazi.

9) Visingizio (excuses) havina nafasi kabisa.

10) Rushwa aina yoyote kwa anaetoa au kupokea, ni "mmediate termination" hata kwa anaejaribu kugusia au kuzungumzia tu, haina mjadala.

Nimechoka kuandika kwa sasa, kuna mengi sana ntakuwa nayajazilia kidogo kidogo.

Mbele huko ntajulisha mpaka namna ya kupata kazi. Wapi pa kuanzia.

Nayafanya haya kwa nia njema kabisa, sitaki malipo, wala sitafuti kiki, hakuna tunaejuana humu isipokuwa wachache sana, tena wa karibu sana kwangu.

Uliza chochote hapa hapa jukwaa la wazi, sijibu PM.

Mwenyezi Mungu awe nasi. Nita update baadae lakini napokea maswali muda wote.


Update: podt #86 ina. Maelezo kamilibya namna ya ku apply.
FF
Nime like sababu unawarusha roho WADANGANYIKA!😅😂🤣. Wameingia KINGI basi imekuwa furaha yako! 🤣😂😅. Janja sana weye mdau.
Nacheka wanavyolipuka kwa matusi na kejeli bila kujuwa unawachokonoa bila ya wao kujuwa!😅😂🤣
 
SSH angeanza kwanza na kwao Zanzibar ambako mara nyingi watawala wa huko wamewahi kujitapa kutaka kuwa kama Dubai. Na sasa wana uchumi wa bluu unaotegemea bahari na bandari pia ziko nyingi.

Sisi Tanganyika tutajifunza na kufaidika na uzoefu wao ikiwa kweli watakuwa kama Dubai. Aidha, sisi tuna uchumi wa kijani unaotegemea ardhi yenye rutuba kwa ajili ya kilimo, ufugaji na inatema madini.
Mishahara yenyewe inatoka bara, hawana lolote
 
Tangu DP w waanze kutajwa humu, FaizaFoxy na GENTAMYCIME wamekua very vocal.
Huu uchawa kwa Hawa waarabu unamaanisha nini? Msidhani DP inaendeshwa na wajukuu wa wafanya biashara ya watumwa, mtajua hamjui mtakapoona mijibeberu ndio inaendesha mradi.
ndio ilivyo, beberu ni mjanja sana, atamtumia mwarabu sana tu. Huyu mwarabu akitaka kuleta wataalam wa kibeberu hakuna wa kumzuia maana ana mkataba wa kimataifa. Ataleta mpaka wachina na wahindi.
 
Okay, kwanza hawa DP World wana mfumo ambao wao wanaita mnyororo "chain", huu mnyororo wsmejikitsnkutiwa huduma zisizoachsna kutoka unaponunuwa mzigo mpaka wanaufikisha kwako (door to door) bilankutoka nje ya chain yao. Full responsibility ni yao.

Hiyo inahakikisha unaupata mzigo wako kwa haraka zaidi kuliko kutumia huduma za kuunga unga.

Tafadhali oitia hapa👇🏾 ujionee huduma zao zilivyolenga kumuokolea gharama nfanya biashara 👇🏾

Nini kifanyike ili nasi tuwe na kampuni kubwa ya namna hiyo, nasi tuweze kuwekeza kwenye bandari za nje?
 
ndio ilivyo, beberu ni mjanja sana, atamtumia mwarabu sana tu. Huyu mwarabu akitaka kuleta wataalam wa kibeberu hakuna wa kumzuia maana ana mkataba wa kimataifa. Ataleta mpaka wachina na wahindi.
Hakuna beberu mbaya Tanzania kama CCM
 
Nini kifanyike ili nasi tuwe na kampuni kubwa ya namna hiyo, nasi tuweze kuwekeza kwenye bandari za nje?
Tujijengee uwezo kwa kutafuta maarifa na teknlojia ya kujenga, kuendesha, kusimamia na kudhibiti bandari zetu wenyewe. Tusitafute wa kutujengea na kutuendeshea rasimali zetu.
 
Vijana wa Kitanzania,

Msione tabu au uvivu kukisoma kilichopo chini, ni kwa manufaa yenu na ya Tanzania kwa ujumla.

Jana kuamkia leo ilibidi nifanye mawasiliano na Diaspora wa Tanzania waliopo Dubai. Nia na dhumuni ilikuwa ni kutafuta connection ya kuwatafutia vijana fursa za kazi ndani ya DP World.

Kwa bahati niliyeongea nae kwanza, kijana mwenzangu wa zamani, maarufu sana Dar au niseme Tanzania nzima, kwani alikuwa ni mcheza mpira wa kusifika enzi hizo.

Baada ya salaam na kuulizana ya hapa na pale nikamuuliza kuhusu DP World kama ana connection yoyote, kwanza kacheka akanambia wewe mtu zaidi ya wa kumi kuniuliza. Kwa ufupi, alikuwa na mtu tena mwema sana. Akanambia atanipigia baadae kidogo nimpe muda kidogo amtafute. Baada ya kama nusu saa akanistukiza kwa video conference call, akiwemo na huyo kijana ambae yupo jikoni, ndani ya Dubai World, hawa Dubai World ndiyo "mama" wa DP World. Tukaongea mengi sana.

Vijana wa Kitanzania watakao bahatika kupata kazi na DP World watafaidika na mengi. Kwa uchache:

1) Kutakuwa na kila aina ya ajira, wenye ujuzi na wasio na ujuzi watachukuliwa.

2) Mafunzo ya kazi ya mara kwa mara, ndani na nje ya nchi, yatatolewa kwa watakao pata kazi.

3) Uhamisho wa kituo cha kazi wa mara kwa mara kwa watakao ajiriwa.

4) Hatastahimiliwi mfanya kazi ambae hafati muda wa kazi na deadlines za assgnments.

5) Wenye kujua Kingereza kwa kusoma, kuandika na kuzungumza ndiyo watakuwa na chance kubwa.

6) Wenye kujua kutumia kompyuta kiwepesi chance zitakuwa kubwa.

7) Ukiwa mwongo kwenye cv au vyeti au kazini, hata ukishaajiriwa utaikosa kazi.

8) Wana policies and procedures kwa kila hatua ya kazi, ukikiuka hata kidogo ujue hauna kazi.

9) Visingizio (excuses) havina nafasi kabisa.

10) Rushwa aina yoyote kwa anaetoa au kupokea, ni "mmediate termination" hata kwa anaejaribu kugusia au kuzungumzia tu, haina mjadala.

Nimechoka kuandika kwa sasa, kuna mengi sana ntakuwa nayajazilia kidogo kidogo.

Mbele huko ntajulisha mpaka namna ya kupata kazi. Wapi pa kuanzia.

Nayafanya haya kwa nia njema kabisa, sitaki malipo, wala sitafuti kiki, hakuna tunaejuana humu isipokuwa wachache sana, tena wa karibu sana kwangu.

Uliza chochote hapa hapa jukwaa la wazi, sijibu PM.

Mwenyezi Mungu awe nasi. Nita update baadae lakini napokea maswali muda wote.


Update: podt #86 ina. Maelezo kamilibya namna ya ku apply.
FF
Wakati Watanzania wanatatafuta njia za kuwafurusha DP World, wewe unatuletea udalali wako.

Ajira hizo peleka Zanzibar, ibinafsishwe bandari ya Zanzibar Kwa DP World ndipo ulete huu udalali wako.
 
Ni nani sasa wa kufanya hayo maamuzi?
Ni sisi wenyewe kwa kuendelea kupaza sauti zetu katika majukwaa mbalimbali kama tufanyavyo hapa. Mwishowe tutapata wenye uzalendo na kuwapa dhamana ya kutuongoza tutakavyo sisi. Tujiulize: kwani wanaoweza kufanikiwa wamepata wapi maarifa, mbinu na ujuzi?

Tusitafute kupewa samaki bali tutafute maarifa na vifaa vya kuvulia samaki. La sivyo tutabakia ombaomba daima milele!
 
SSH angeanza kwanza na kwao Zanzibar ambako mara nyingi watawala wa huko wamewahi kujitapa kutaka kuwa kama Dubai. Na sasa wana uchumi wa bluu unaotegemea bahari na bandari pia ziko nyingi.

Sisi Tanganyika tutajifunza na kufaidika na uzoefu wao ikiwa kweli watakuwa kama Dubai. Aidha, sisi tuna uchumi wa kijani unaotegemea ardhi yenye rutuba kwa ajili ya kilimo, ufugaji na inatema madini.
we vipi? Yaani unataka usultani urudi tena zanziba kwa mlango wa uwekezaji mkubwa kama huo wa bandari? Sasa si mwarabu atafurahi kupata koloni lake ambalo babu yao sultan seyyid said alitawala akitokea oman? Waarabu bara kuna sehemu walizitawala ila kwingine nyikani hawakugusa. Hata wakitawala pwani yote ya bahari ya hindi kamwe bara hawataweza kutawala kama mwanzo. Wanaitaka pwani kwa kuwa wana historia nayo kuwa mababu zao walitawala. Sasa vilembwekwezi na vitukuu vya sultan wanarudi upya kwa gia ya uwekezaji
 
Ni sisi wenyewe kwa kuendelea kupaza sauti zetu katika majukwaa mbalimbali kama tufanyavyo hapa. Mwishowe tutapata wenye uzalendo na kuwapa dhamana ya kutuongoza tutakavyo sisi. Tujiulize: kwani wanaoweza kufanikiwa wamepata wapi maarifa, mbinu na ujuzi?

Tusitafute kupewa samaki bali tutafute maarifa na vifaa vya kuvulia samaki. La sivyo tutabakia ombaomba daima milele!
Nchi nyingi za kiafrika haziendelei kutokana na mifumo iliyo wekwa; mifumo mingi inawalinda wenye maamuzi, na ni vigumu pia hao waamuzi kuibadilisha.
 
we vipi? Yaani unataka usultani urudi tena zanziba kwa mlango wa uwekezaji mkubwa kama huo wa bandari? Sasa si mwarabu atafurahi kupata koloni lake ambalo babu yao sultan seyyid said alitawala akitokea oman? Waarabu bara kuna sehemu walizitawala ila kwingine nyikani hawakugusa. Hata wakitawala pwani yote ya bahari ya hindi kamwe bara hawataweza kutawala kama mwanzo. Wanaitaka pwani kwa kuwa wana historia nayo kuwa mababu zao walitawala. Sasa vilembwekwezi na vitukuu vya sultan wanarudi upya kwa gia ya uwekezaji
Tuwakatae na kuwazuia kabisa huku tukijikita kujipa uwezo wa kujisimamia. Huo ndio uhuru halisi na kamili.
 
Hata mkataba wa gas ya mtwara sifa za fursa tuliambiwa zitakuwa kama hizi hizi. Leo hii tunaambiwa gas sio yetu! Tuliambiwa bomba la gas likifika Dar, mgao wa umeme utakuwa ni historia. Hivi leo tunalia kilio cha mbwa mdomo juu. Ogopa matapeli.
umenikumbusha maombi yangu kwenye kampuni ya uchimbaji gesi asilia ya mtwara (maurel & PROM) niliyoyafanya 2021...
 
Naona unapigia chepuo mpango wa kiranja Mkuu. Nataman huu uwekezaji ungeanzia Zanzibar halafu bara/Tanganyika kusingekuwa na shida kabisa.
 
Back
Top Bottom