Habari nyeti na nasaha zangu kuhusu vijana watakaofanya kazi na DP World

Habari nyeti na nasaha zangu kuhusu vijana watakaofanya kazi na DP World

Samahani sana, mimi siyo mama Samia pia mimi siyobwakala wakala wa DP World kwa kazi au ajira, nipo hapa kuwsongiza vijana kadrinya uwezo wangu vijana fursa zisiwspite.

Bofya chini hapo utafika Unapo apply[emoji1484]



[emoji1484]

Careers​


Banner Image

JOIN OUR WORLD​

Championing talent and technology to drive the future of world trade.

Why Work With Us​

We are the leading provider of data-driven logistics, deploying industry-leading technology to further broaden our digital vision to disrupt world trade, while ensuring a positive and sustainable impact on economies, societies and our planet.
Read More

Career Development​

We are committed to investing in our people. By shaping employees' career progression so they benefit personally and professionally, DP World benefits too.
Learn More

Diversity and Inclusion​

We draw on experiences and ideas of our diverse global workforce, developing them to reach their full potential which shape our efforts to be a good employer for everyone.
Learn More
Join our team to help reshape the global trade landscape.
Current Vacancies

Our Recruitment Process​

icon

Stage 1: Online Application​

All applicants are encouraged to apply online for vacancies listed on the website. If you do not see any current vacancies of interest, please join our Talent Community to register for alerts.
icon

Stage 2: Shortlist​

We will review all applications and draw up a shortlist based on skills and experience. We strive to keep applicants updated and will let you know if your application is progressing to the next stage as soon as possible.
icon

Stage 3: Interview and Assessment​

Shortlisted applicants will be invited to an interview. The interview may be conducted by telephone, video conference or in person. You may also be asked to complete an online or written assessment.
icon

Stage 4: Offer of Employment​

The successful applicant will be given a conditional offer of employment, pending completion of background and reference checks. Please note that we will never request you to pay a fee at any stage of our recruitment process.

Disclaimer​

×

DP World would like our prospective candidates to be aware of fraudulent recruitment scams.
DP World, and any recruitment agencies authorised to represent us, will not charge or collect any fee, nor require any money deposits from jobseekers at any stage of the recruitment process.
In addition, we would not send you an employment contract without engaging with you first, nor communicate with you from a publicly available email service such as Google, Hotmail etc.
Anyone dealing with unauthorized parties to seek job opportunities with us in exchange for money is doing so at their own risk and responsibility. DP World will not have any obligation to honour terms of any fraudulent offer letter issued or provide employment to anyone who has been issued a fraudulent offer letter, and are not responsible for any losses (monetary or otherwise).

Close

shukrani
 
Vijana wa Kitanzania,

Msione tabu au uvivu kukisoma kilichopo chini, ni kwa manufaa yenu na ya Tanzania kwa ujumla.

Jana kuamkia leo ilibidi nifanye mawasiliano na Diaspora wa Tanzania waliopo Dubai. Nia na dhumuni ilikuwa ni kutafuta connection ya kuwatafutia vijana fursa za kazi ndani ya DP World.

Kwa bahati niliyeongea nae kwanza, kijana mwenzangu wa zamani, maarufu sana Dar au niseme Tanzania nzima, kwani alikuwa ni mcheza mpira wa kusifika enzi hizo.

Baada ya salaam na kuulizana ya hapa na pale nikamuuliza kuhusu DP World kama ana connection yoyote, kwanza kacheka akanambia wewe mtu zaidi ya wa kumi kuniuliza. Kwa ufupi, alikuwa na mtu tena mwema sana. Akanambia atanipigia baadae kidogo nimpe muda kidogo amtafute. Baada ya kama nusu saa akanistukiza kwa video conference call, akiwemo na huyo kijana ambae yupo jikoni, ndani ya Dubai World, hawa Dubai World ndiyo "mama" wa DP World. Tukaongea mengi sana.

Vijana wa Kitanzania watakao bahatika kupata kazi na DP World watafaidika na mengi. Kwa uchache:

1) Kutakuwa na kila aina ya ajira, wenye ujuzi na wasio na ujuzi watachukuliwa.

2) Mafunzo ya kazi ya mara kwa mara, ndani na nje ya nchi, yatatolewa kwa watakao pata kazi.

3) Uhamisho wa kituo cha kazi wa mara kwa mara kwa watakao ajiriwa.

4) Hatastahimiliwi mfanya kazi ambae hafati muda wa kazi na deadlines za assgnments.

5) Wenye kujua Kingereza kwa kusoma, kuandika na kuzungumza ndiyo watakuwa na chance kubwa.

6) Wenye kujua kutumia kompyuta kiwepesi chance zitakuwa kubwa.

7) Ukiwa mwongo kwenye cv au vyeti au kazini, hata ukishaajiriwa utaikosa kazi.

8) Wana policies and procedures kwa kila hatua ya kazi, ukikiuka hata kidogo ujue hauna kazi.

9) Visingizio (excuses) havina nafasi kabisa.

10) Rushwa aina yoyote kwa anaetoa au kupokea, ni "mmediate termination" hata kwa anaejaribu kugusia au kuzungumzia tu, haina mjadala.

Nimechoka kuandika kwa sasa, kuna mengi sana ntakuwa nayajazilia kidogo kidogo.

Mbele huko ntajulisha mpaka namna ya kupata kazi. Wapi pa kuanzia.

Nayafanya haya kwa nia njema kabisa, sitaki malipo, wala sitafuti kiki, hakuna tunaejuana humu isipokuwa wachache sana, tena wa karibu sana kwangu.

Uliza chochote hapa hapa jukwaa la wazi, sijibu PM.

Mwenyezi Mungu awe nasi. Nita update baadae lakini napokea maswali muda wote.


Update: podt #86 ina. Maelezo kamilibya namna ya ku apply.
FF
Kungekuwa na maelezo yanayokinzana na DP World [emoji289] ningejua akaunti yako imeibwa.
 
Kungekuwa na maelezo yanayokinzana na DP World [emoji289] ningejua akaunti yako imeibwa.
Hahahahah.

AlhamduliLlah, naupenda Uislam wangu, siwezi kudanganya halaiki ya watu wanaopita JF.

Mwenyezi Mungu aninusuru na roho hiyo.

Hawa DP World ujio wao Tanzania, tumshukuru sana Mwenyezi Mungu.

Uwepo wao hawa, wawekezaji wakubwa wa dunia nzima sasa hivi wanaikodolea Tanzania. Ni fursa kubwa ya ajabu.

Tutaendelea kuwafunguwa macho na masikio vijana kwa wazee wsnaopita JF kwa kuwaonesha fursa zilizo funguka.


Mwenyezi Mungu azidi kumpa hekima mama Samia. Anaupiga mwingi kweli kweli, siyo masihara.
 
Hizo ulizoanisha ni sifa kwa mwajiliwa wa kampuni yoyote yenye kulenga tija kwenye biashara zake. Si Jambo maalumu au la kipekee kwa DP World..
Baada ya hayo nifafanue haya... DP world akipewa mkataba, ataondoa kazi nyingi za kampuni za clearing and forwarding.. Kazi ya kuondoa mizigo ataifanya yeye, ili kupunguza msururu wa kampuni bandarini...Kama ulikuwa kampuni 1000 za clearing, zitakazo survive itakuwa ladda maximum theluthi..... Kampuni za kubeba mankotena zitakuwa zake au atakaowachagua ..... ICD vile vile wajiangalie , katika mkataba amepewa kuendeleza Kwala ICD.


Ajira za ndani ya terminal , zitapungua kwa vile atafanya automation zaidi na mifumo..... Ukisikia watu wanasema eti ajira zitalindwa , zitalindwa vipi wakati , ili alete ufanisi lazima apunguze man power ?? Serikali inaweza pata mapato zaidi, lakini ajira za watanzania walio wengi itapungua na ndiyo ukweli mchungu, ambao hauwezi semwa kwa sasa
Ni kweli mkuu kampuni za kigeni zinafanya shughuli zake kifaida sana kwa upande wao, Siyo rahisi ajira kuongezeka ila ajira zitapungua kwa %40 kwasababu wataleta mifumo yao ya kisasa kazi ya kufanywa na watu sita atafanya mtu mmoja, na hakuta kuwa na wafanyakazi wanaofanya kazi kizembe kwa kutegea na kuzurura hovyo, kwa kifupi wafanyakazi wengi watapunguzwa kwa kosa sifa, utakuta mfanyakazi anaingia kazini lakini aeleweki anafanya kazi zipi yupo yupo.
 
Wavivu hawana chao hapo dp

Wale wa kutoka kwenda kula lunch na kurudi saa tisa alafu saa kumi anaondoka kurudi nyumbani kazi wanayo
[emoji1]

Ova
Kweli kabisa, haya makampuni ys5 nje. Ni kazi tu.

Utawaona wasiokidhi vigezo wanavyoongea hovyo humu.


Mama anauoigs mwingi.
 
Vijana wa Kitanzania,

Msione tabu au uvivu kukisoma kilichopo chini, ni kwa manufaa yenu na ya Tanzania kwa ujumla.

Jana kuamkia leo ilibidi nifanye mawasiliano na Diaspora wa Tanzania waliopo Dubai. Nia na dhumuni ilikuwa ni kutafuta connection ya kuwatafutia vijana fursa za kazi ndani ya DP World.

Kwa bahati niliyeongea nae kwanza, kijana mwenzangu wa zamani, maarufu sana Dar au niseme Tanzania nzima, kwani alikuwa ni mcheza mpira wa kusifika enzi hizo.

Baada ya salaam na kuulizana ya hapa na pale nikamuuliza kuhusu DP World kama ana connection yoyote, kwanza kacheka akanambia wewe mtu zaidi ya wa kumi kuniuliza. Kwa ufupi, alikuwa na mtu tena mwema sana. Akanambia atanipigia baadae kidogo nimpe muda kidogo amtafute. Baada ya kama nusu saa akanistukiza kwa video conference call, akiwemo na huyo kijana ambae yupo jikoni, ndani ya Dubai World, hawa Dubai World ndiyo "mama" wa DP World. Tukaongea mengi sana.

Vijana wa Kitanzania watakao bahatika kupata kazi na DP World watafaidika na mengi. Kwa uchache:

1) Kutakuwa na kila aina ya ajira, wenye ujuzi na wasio na ujuzi watachukuliwa.

2) Mafunzo ya kazi ya mara kwa mara, ndani na nje ya nchi, yatatolewa kwa watakao pata kazi.

3) Uhamisho wa kituo cha kazi wa mara kwa mara kwa watakao ajiriwa.

4) Hatastahimiliwi mfanya kazi ambae hafati muda wa kazi na deadlines za assgnments.

5) Wenye kujua Kingereza kwa kusoma, kuandika na kuzungumza ndiyo watakuwa na chance kubwa.

6) Wenye kujua kutumia kompyuta kiwepesi chance zitakuwa kubwa.

7) Ukiwa mwongo kwenye cv au vyeti au kazini, hata ukishaajiriwa utaikosa kazi.

8) Wana policies and procedures kwa kila hatua ya kazi, ukikiuka hata kidogo ujue hauna kazi.

9) Visingizio (excuses) havina nafasi kabisa.

10) Rushwa aina yoyote kwa anaetoa au kupokea, ni "mmediate termination" hata kwa anaejaribu kugusia au kuzungumzia tu, haina mjadala.

Nimechoka kuandika kwa sasa, kuna mengi sana ntakuwa nayajazilia kidogo kidogo.

Mbele huko ntajulisha mpaka namna ya kupata kazi. Wapi pa kuanzia.

Nayafanya haya kwa nia njema kabisa, sitaki malipo, wala sitafuti kiki, hakuna tunaejuana humu isipokuwa wachache sana, tena wa karibu sana kwangu.

Uliza chochote hapa hapa jukwaa la wazi, sijibu PM.

Mwenyezi Mungu awe nasi. Nita update baadae lakini napokea maswali muda wote.


Update: podt #86 ina. Maelezo kamilibya namna ya ku apply.
FF
Tatizo ndugu waislamu, Udini wenu ni mkali sana tunauona. Yani nyie kila kitu lazima muhisishe na imani, tunajua mnachowaza hapo ni style ya kubeba tu.
 
Kwaiyo ma operator wetu wameshakosa ajira sasa.
Wote waliopo hawakosi kazi na hawatoshi. Tena watapigwa na elimu mpya, watafurahia sana.

Sema ile mambo yao ya kuharibu mashine akitaka off, waelewe ndiyo hakuna, mashine za DP World, ukisogea ksribu yake tu ishakupiga mapicha na ishapeleka habari security na kama siyo mhusika wa pale, utaipata.

Wana security system za RFID system. Zinajuwa kila mfanyakazi yuko wapi na anafanya nini kwa wakati huo. Zinaacha kusoma unapoingia chooni tu. ☠️

Tutakoma ubishi.
 
Kwa wafanyabiashara, watanufaikaje na uwepo wao? Na watakuwa na utofauti gani ukiringanisha na mazingira ya sasa?
 
Na sisi wagalatia tufanye nini..?
Ushawahi hata kufungua Management ya Dp world ukaangaliA? Ukitoa mmiliki ambaye ni Dubai wafanyakazi wengi wa Dp world ni Wazungu, Wahindi na wa Latino. Kama unafikiri watakuja masheikh na vilemba vyao kufanya kazi hapo Dar unajidanganya.

Pia huwezi kuwa Na kampuni Kubwa hivyo kwa kuendekeza Udini, biashara si rahisi Kama mnavyofikiria.
 
Tatizo ndugu waislamu, Udini wenu ni mkali sana tunauona. Yani nyie kila kitu lazima muhisishe na imani, tunajua mnachowaza hapo ni style ya kubeba tu.
Ndugu yangu, Waislam tuna imani ya hali ya juu, hatukubali Mitume au viashiria vyetu vya dini vichezewe.


Siyo kama imani zingine, wanafanya utani na upumbavu eti kwenye "dini". Nimeweka makusudi neno dininkwenye mabsno kwa sababu hizo nyingibe ni imani tu, siyo dini. Vipinkasisi au kiongozi wa dininliwe shoga la kuokewa kabisa, halafu uiite hiyo ni dini kweli?


Uislam umetukuka. Ni mwema sana, tunaupenda na tunajivunia sana Uislam wetu.
 
Kwa wafanyabiashara, watanufaikaje na uwepo wao? Na watakuwa na utofauti gani ukiringanisha na mazingira ya sasa?
Wafanyabiashara Kuna faida na hasara
-Faida ni kwamba mizigo Itatoka kwa haraka, likely siku 2 tu, hii itasaidia mzunguko.

-Hasara ni Gharama zitaongezeka, hawaji kutoa sadaka, likely Hela ya Handling na fees nyengine za Bandari zitaongezeka.
 
Wote waliopo hawakosi kazi na hawatoshi. Tena watapigwa na elimu mpya, watafurahia sana sema ike mambo yao yankuharibu masgine akitaka off, waelewe ndiyo hakuna, mashine za DP World, ukisogea ksribu tu ishakuoigs mapicha na ishapeleka habari security na kama siyo muhusija wa pake utaipata.

Wana security system za RFID system. Zinajuwankila. Mfanyakazi yuko wapi na anafanya nini kwa wakati huo. Zinaacba kusoma unapoingia chooni tu. ☠️

Tutakoma ubishi.
Andika vizuri basi wewe kilaza mfia dini
 
Kwa wafanyabiashara, watanufaikaje na uwepo wao? Na watakuwa na utofauti gani ukiringanisha na mazingira ya sasa?
Okay, kwanza hawa DP World wana mfumo ambao wao wanaita mnyororo "chain", huu mnyororo wsmejikitsnkutiwa huduma zisizoachsna kutoka unaponunuwa mzigo mpaka wanaufikisha kwako (door to door) bilankutoka nje ya chain yao. Full responsibility ni yao.

Hiyo inahakikisha unaupata mzigo wako kwa haraka zaidi kuliko kutumia huduma za kuunga unga.

Tafadhali oitia hapa👇🏾 ujionee huduma zao zilivyolenga kumuokolea gharama nfanya biashara 👇🏾

 
Ndugu yangu, Waislam tuna imani ya hali ya juu, hatukubali Mitume au viashiria vyetu vya dini vichezewe.


Siyo kama imani zingine, wanafanya utani na upumbavu eti kwenye "dini". Nimeweka makusudi neno dininkwenye mabsno kwa sababu hizo nyingibe ni imani tu, siyo dini. Vipinkasisi au kiongozi wa dininliwe shoga la kuokewa kabisa, halafu uiite hiyo ni dini kweli?


Uislam umetukuka. Ni mwema sana, tunaupenda na tunajivunia sana Uislam wetu.
Umeona ulivotoka pangoni waziwazi!🤣 Mnajiona bora eti dini ni hiyo tu, ndio shida hiyo. Nyie mmeizikuta dini na mtaziacha. Uislamu ni dini ya uongo mtume fake, inadili na nafsi ndio maana sheitwan anaitumia sana.
 
Okay, kwanza hawa DP World wana mfumo ambao wao wanaita mnyororo "chain", huu mnyororo wsmejikitsnkutiwa huduma zisizoachsna kutoka unaponunuwa mzigo mpaka wanaufikisha kwako (door to door) bilankutoka nje ya chain yao. Full responsibility ni yao.

Hiyo inahakikisha unaupata mzigo wako kwa haraka zaidi kuliko kutumia huduma za kuunga unga.

Tafadhali oitia hapa👇🏾 ujionee huduma zao zilivyolenga kumuokolea gharama nfanya biashara 👇🏾

Wewe pimbi una haraka gani mbona huu ni muda wa kuswali wewe unaendelea kuandika humu full in spelling errors
 
Ushawahi hata kufungua Management ya Dp world ukaangaliA? Ukitoa mmiliki ambaye ni Dubai wafanyakazi wengi wa Dp world ni Wazungu, Wahindi na wa Latino. Kama unafikiri watakuja masheikh na vilemba vyao kufanya kazi hapo Dar unajidanganya.

Pia huwezi kuwa Na kampuni Kubwa hivyo kwa kuendekeza Udini, biashara si rahisi Kama mnavyofikiria.
Kwa kuongezea tu, DP world wanatamba kuwa wana wafanyakazi kutoka mataifa 160 duniani.
 
Back
Top Bottom