Habari nyeti na nasaha zangu kuhusu vijana watakaofanya kazi na DP World

Habari nyeti na nasaha zangu kuhusu vijana watakaofanya kazi na DP World

kwa hiyo kupata kazi kwa mwarabu lazima usilimu ili kutimiza terms zao? Duh, mbona tanzania yote itasilimishwa kwa mtindo huu wa kupata ajira kwa waarabu
Sio kwa mwarabu tu...angalia mikeka ya teuzi utaona kabisa "kuna haja ya kusilimu"
 
Vijana wa Kitanzania,

Msione tabu au uvivu kukisoma kilichopo chini, ni kwa manufaa yenu na ya Tanzania kwa ujumla.

Jana kuamkia leo ilibidi nifanye mawasiliano na Diaspora wa Tanzania waliopo Dubai. Nia na dhumuni ilikuwa ni kutafuta connection ya kuwatafutia vijana fursa za kazi ndani ya DP World.

Kwa bahati niliyeongea nae kwanza, kijana mwenzangu wa zamani, maarufu sana Dar au niseme Tanzania nzima, kwani alikuwa ni mcheza mpira wa kusifika enzi hizo.

Baada ya salaam na kuulizana ya hapa na pale nikamuuliza kuhusu DP World kama ana connection yoyote, kwanza kacheka akanambia wewe mtu zaidi ya wa kumi kuniuliza. Kwa ufupi, alikuwa na mtu tena mwema sana. Akanambia atanipigia baadae kidogo nimpe muda kidogo amtafute. Baada ya kama nusu saa akanistukiza kwa video conference call, akiwemo na huyo kijana ambae yupo jikoni, ndani ya Dubai World, hawa Dubai World ndiyo "mama" wa DP World. Tukaongea mengi sana.

Vijana wa Kitanzania watakao bahatika kupata kazi na DP World watafaidika na mengi. Kwa uchache:

1) Kutakuwa na kila aina ya ajira, wenye ujuzi na wasio na ujuzi watachukuliwa.

2) Mafunzo ya kazi ya mara kwa mara, ndani na nje ya nchi, yatatolewa kwa watakao pata kazi.

3) Uhamisho wa kituo cha kazi wa mara kwa mara kwa watakao ajiriwa.

4) Hatastahimiliwi mfanya kazi ambae hafati muda wa kazi na deadlines za assgnments.

5) Wenye kujua Kingereza kwa kusoma, kuandika na kuzungumza ndiyo watakuwa na chance kubwa.

6) Wenye kujua kutumia kompyuta kiwepesi chance zitakuwa kubwa.

7) Ukiwa mwongo kwenye cv au vyeti au kazini, hata ukishaajiriwa utaikosa kazi.

8) Wana policies and procedures kwa kila hatua ya kazi, ukikiuka hata kidogo ujue hauna kazi.

9) Visingizio (excuses) havina nafasi kabisa.

10) Rushwa aina yoyote kwa anaetoa au kupokea, ni "mmediate termination" hata kwa anaejaribu kugusia au kuzungumzia tu, haina mjadala.

Nimechoka kuandika kwa sasa, kuna mengi sana ntakuwa nayajazilia kidogo kidogo.

Mbele huko ntajulisha mpaka namna ya kupata kazi. Wapi pa kuanzia.

Nayafanya haya kwa nia njema kabisa, sitaki malipo, wala sitafuti kiki, hakuna tunaejuana humu isipokuwa wachache sana, tena wa karibu sana kwangu.

Uliza chochote hapa hapa jukwaa la wazi, sijibu PM.

Mwenyezi Mungu awe nasi. Nita update baadae lakini napokea maswali muda wote.


Update: podt #86 ina. Maelezo kamilibya namna ya ku apply.
FF
kwahiyo pamoja na kelele zote bado waarabu wanaendelea na bandari yetu milele
 
Wavivu hawana chao hapo dp

Wale wa kutoka kwenda kula lunch na kurudi saa tisa alafu saa kumi anaondoka kurudi nyumbani kazi wanayo
[emoji1]

Ova
isiwe kero, kama vipi dp aje na maroboti ya kumfanyia kazi
 
Hahahah

Anakuambia alienda mahali hajaona watu ni machine tu [emoji1]

Ova
Tz naamin tulikua bado hatujafikia stage ya kujitawala wenyewe! Kulikuwa na miaka 250 ya zaidi ya kutawaliwa
 
Naona bado rupia ya mwarabu inaendelea kutembea ili kutwaminisha juu mkataba huu mbovu
waarabu wana historia kuwa waliwahi kutawala, hivyo wanaamini watatawala tena ndio maana wanarudi upya kidogokidogo mwisho wanakamata kila kitu ila wakumbuke mzungu naye atarudi kwa staili nyingine kutawala. Ni historia inajirudia
 
Tunapelekwa utumwani Dubai bila kujulikana ukomo, ajabu anajitokeza kibaraka wa shetani asiyechoka kumtumikia shetani, muda wote ni kumpamba shetani.. hakika ushindwe na ulegee ewe bibi ulielaaniwa.
wana kumbukumbu kuwa waliwahi kutawala na ushahidi upo, waliacha nasaba na alama za majengo na dini yao. Sasa wanarudi kiulaini kutawala kiuchumi, soon kisiasa na mchezo utakuwa umeisha. Mikataba si kitu kizuri daima
 
Wapuuzi kweli, hawajui nao ni miongoni mwa watumwa wanaopelekwa Dubai, yanashangilia tu kama mazuzu.
wanashangilia kwa kuwa ni dini moja na wana unasaba nao, wale ni ndugu zao. Sultan alifanya yake vitukuu vinarudi kutawala tena. Mzungu naye anawacheki tu naye atakuja kama huko nyuma alivyokuja kukomesha mambo yao ikiwemo biashara ya utumwa
 
Hili siyobtsngazo la kazi, tangazo la fursa zilizopo.
Tulia ww wakala wa matapeli. Hata wakati wa gas ya Mtwara mlikuwa mnatangazw fursa zitakazopatikana. Mkatuingiza mjini tukanunua hadi ardhi huko tukitaka kuwekeza, sasa hivi mmbeki mnazungusha maneno tu. Watanzania ogopeni haya matapeli.
 
Kibibi naona upo busy kupandisha nyuzi mpya, siyo bure umelamba japo kidogo asali ya mwarabu. Hilo la ajira kwa tunavyowajua wagalatia watazisikia kwenye bomba, kifupi bandari imesilimishwa.
 
Vijana wa Kitanzania,

Msione tabu au uvivu kukisoma kilichopo chini, ni kwa manufaa yenu na ya Tanzania kwa ujumla.

Jana kuamkia leo ilibidi nifanye mawasiliano na Diaspora wa Tanzania waliopo Dubai. Nia na dhumuni ilikuwa ni kutafuta connection ya kuwatafutia vijana fursa za kazi ndani ya DP World.

Kwa bahati niliyeongea nae kwanza, kijana mwenzangu wa zamani, maarufu sana Dar au niseme Tanzania nzima, kwani alikuwa ni mcheza mpira wa kusifika enzi hizo.

Baada ya salaam na kuulizana ya hapa na pale nikamuuliza kuhusu DP World kama ana connection yoyote, kwanza kacheka akanambia wewe mtu zaidi ya wa kumi kuniuliza. Kwa ufupi, alikuwa na mtu tena mwema sana. Akanambia atanipigia baadae kidogo nimpe muda kidogo amtafute. Baada ya kama nusu saa akanistukiza kwa video conference call, akiwemo na huyo kijana ambae yupo jikoni, ndani ya Dubai World, hawa Dubai World ndiyo "mama" wa DP World. Tukaongea mengi sana.

Vijana wa Kitanzania watakao bahatika kupata kazi na DP World watafaidika na mengi. Kwa uchache:

1) Kutakuwa na kila aina ya ajira, wenye ujuzi na wasio na ujuzi watachukuliwa.

2) Mafunzo ya kazi ya mara kwa mara, ndani na nje ya nchi, yatatolewa kwa watakao pata kazi.

3) Uhamisho wa kituo cha kazi wa mara kwa mara kwa watakao ajiriwa.

4) Hatastahimiliwi mfanya kazi ambae hafati muda wa kazi na deadlines za assgnments.

5) Wenye kujua Kingereza kwa kusoma, kuandika na kuzungumza ndiyo watakuwa na chance kubwa.

6) Wenye kujua kutumia kompyuta kiwepesi chance zitakuwa kubwa.

7) Ukiwa mwongo kwenye cv au vyeti au kazini, hata ukishaajiriwa utaikosa kazi.

8) Wana policies and procedures kwa kila hatua ya kazi, ukikiuka hata kidogo ujue hauna kazi.

9) Visingizio (excuses) havina nafasi kabisa.

10) Rushwa aina yoyote kwa anaetoa au kupokea, ni "mmediate termination" hata kwa anaejaribu kugusia au kuzungumzia tu, haina mjadala.

Nimechoka kuandika kwa sasa, kuna mengi sana ntakuwa nayajazilia kidogo kidogo.

Mbele huko ntajulisha mpaka namna ya kupata kazi. Wapi pa kuanzia.

Nayafanya haya kwa nia njema kabisa, sitaki malipo, wala sitafuti kiki, hakuna tunaejuana humu isipokuwa wachache sana, tena wa karibu sana kwangu.

Uliza chochote hapa hapa jukwaa la wazi, sijibu PM.

Mwenyezi Mungu awe nasi. Nita update baadae lakini napokea maswali muda wote.


Update: podt #86 ina. Maelezo kamilibya namna ya ku apply.
FF

Sasa hiyo usd 500m itafanya kitu gani mpaka uweke mipango kibao au na wewe umepewa V8 kama Dr wa Heshima?
 
Tangu DP w waanze kutajwa humu, FaizaFoxy na GENTAMYCIME wamekua very vocal.
Huu uchawa kwa Hawa waarabu unamaanisha nini? Msidhani DP inaendeshwa na wajukuu wa wafanya biashara ya watumwa, mtajua hamjui mtakapoona mijibeberu ndio inaendesha mradi.
 
.
 

Attachments

  • dp-world-vector-logo-2021 (1).png
    dp-world-vector-logo-2021 (1).png
    5.3 KB · Views: 3
Vijana wa Kitanzania,

Msione tabu au uvivu kukisoma kilichopo chini, ni kwa manufaa yenu na ya Tanzania kwa ujumla.

Jana kuamkia leo ilibidi nifanye mawasiliano na Diaspora wa Tanzania waliopo Dubai. Nia na dhumuni ilikuwa ni kutafuta connection ya kuwatafutia vijana fursa za kazi ndani ya DP World.

Kwa bahati niliyeongea nae kwanza, kijana mwenzangu wa zamani, maarufu sana Dar au niseme Tanzania nzima, kwani alikuwa ni mcheza mpira wa kusifika enzi hizo.

Baada ya salaam na kuulizana ya hapa na pale nikamuuliza kuhusu DP World kama ana connection yoyote, kwanza kacheka akanambia wewe mtu zaidi ya wa kumi kuniuliza. Kwa ufupi, alikuwa na mtu tena mwema sana. Akanambia atanipigia baadae kidogo nimpe muda kidogo amtafute. Baada ya kama nusu saa akanistukiza kwa video conference call, akiwemo na huyo kijana ambae yupo jikoni, ndani ya Dubai World, hawa Dubai World ndiyo "mama" wa DP World. Tukaongea mengi sana.

Vijana wa Kitanzania watakao bahatika kupata kazi na DP World watafaidika na mengi. Kwa uchache:

1) Kutakuwa na kila aina ya ajira, wenye ujuzi na wasio na ujuzi watachukuliwa.

2) Mafunzo ya kazi ya mara kwa mara, ndani na nje ya nchi, yatatolewa kwa watakao pata kazi.

3) Uhamisho wa kituo cha kazi wa mara kwa mara kwa watakao ajiriwa.

4) Hatastahimiliwi mfanya kazi ambae hafati muda wa kazi na deadlines za assgnments.

5) Wenye kujua Kingereza kwa kusoma, kuandika na kuzungumza ndiyo watakuwa na chance kubwa.

6) Wenye kujua kutumia kompyuta kiwepesi chance zitakuwa kubwa.

7) Ukiwa mwongo kwenye cv au vyeti au kazini, hata ukishaajiriwa utaikosa kazi.

8) Wana policies and procedures kwa kila hatua ya kazi, ukikiuka hata kidogo ujue hauna kazi.

9) Visingizio (excuses) havina nafasi kabisa.

10) Rushwa aina yoyote kwa anaetoa au kupokea, ni "mmediate termination" hata kwa anaejaribu kugusia au kuzungumzia tu, haina mjadala.

Nimechoka kuandika kwa sasa, kuna mengi sana ntakuwa nayajazilia kidogo kidogo.

Mbele huko ntajulisha mpaka namna ya kupata kazi. Wapi pa kuanzia.

Nayafanya haya kwa nia njema kabisa, sitaki malipo, wala sitafuti kiki, hakuna tunaejuana humu isipokuwa wachache sana, tena wa karibu sana kwangu.

Uliza chochote hapa hapa jukwaa la wazi, sijibu PM.

Mwenyezi Mungu awe nasi. Nita update baadae lakini napokea maswali muda wote.


Update: podt #86 ina. Maelezo kamilibya namna ya ku apply.
FF
Maadam FaizaFoxy!

Nakusalimia kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,

Nakushukuru kwa haya maelezo uliyotupatia ila sijaona kipya au cha tofauti kwani hayo yote yapo kwenye policies za kampuni zote hapa nnchini na hata nje ya nchi pia.

Ila kitu nilichofurahi ni kuwa hawa jamaa wa DP World wako vyema mno. Sasa mimi pia nimefanikiwa kufanya mahojiano na Mkuu wa Idara ya Personel & Sustainability Bi.
Vijana wa Kitanzania,

Msione tabu au uvivu kukisoma kilichopo chini, ni kwa manufaa yenu na ya Tanzania kwa ujumla.

Jana kuamkia leo ilibidi nifanye mawasiliano na Diaspora wa Tanzania waliopo Dubai. Nia na dhumuni ilikuwa ni kutafuta connection ya kuwatafutia vijana fursa za kazi ndani ya DP World.

Kwa bahati niliyeongea nae kwanza, kijana mwenzangu wa zamani, maarufu sana Dar au niseme Tanzania nzima, kwani alikuwa ni mcheza mpira wa kusifika enzi hizo.

Baada ya salaam na kuulizana ya hapa na pale nikamuuliza kuhusu DP World kama ana connection yoyote, kwanza kacheka akanambia wewe mtu zaidi ya wa kumi kuniuliza. Kwa ufupi, alikuwa na mtu tena mwema sana. Akanambia atanipigia baadae kidogo nimpe muda kidogo amtafute. Baada ya kama nusu saa akanistukiza kwa video conference call, akiwemo na huyo kijana ambae yupo jikoni, ndani ya Dubai World, hawa Dubai World ndiyo "mama" wa DP World. Tukaongea mengi sana.

Vijana wa Kitanzania watakao bahatika kupata kazi na DP World watafaidika na mengi. Kwa uchache:

1) Kutakuwa na kila aina ya ajira, wenye ujuzi na wasio na ujuzi watachukuliwa.

2) Mafunzo ya kazi ya mara kwa mara, ndani na nje ya nchi, yatatolewa kwa watakao pata kazi.

3) Uhamisho wa kituo cha kazi wa mara kwa mara kwa watakao ajiriwa.

4) Hatastahimiliwi mfanya kazi ambae hafati muda wa kazi na deadlines za assgnments.

5) Wenye kujua Kingereza kwa kusoma, kuandika na kuzungumza ndiyo watakuwa na chance kubwa.

6) Wenye kujua kutumia kompyuta kiwepesi chance zitakuwa kubwa.

7) Ukiwa mwongo kwenye cv au vyeti au kazini, hata ukishaajiriwa utaikosa kazi.

8) Wana policies and procedures kwa kila hatua ya kazi, ukikiuka hata kidogo ujue hauna kazi.

9) Visingizio (excuses) havina nafasi kabisa.

10) Rushwa aina yoyote kwa anaetoa au kupokea, ni "mmediate termination" hata kwa anaejaribu kugusia au kuzungumzia tu, haina mjadala.

Nimechoka kuandika kwa sasa, kuna mengi sana ntakuwa nayajazilia kidogo kidogo.

Mbele huko ntajulisha mpaka namna ya kupata kazi. Wapi pa kuanzia.

Nayafanya haya kwa nia njema kabisa, sitaki malipo, wala sitafuti kiki, hakuna tunaejuana humu isipokuwa wachache sana, tena wa karibu sana kwangu.

Uliza chochote hapa hapa jukwaa la wazi, sijibu PM.

Mwenyezi Mungu awe nasi. Nita update baadae lakini napokea maswali muda wote.


Update: podt #86 ina. Maelezo kamilibya namna ya ku apply.
FF
Thanks Maadam FaizaFoxy!

Baada ya kuona uzi wako katika harakati za kuwasaidia vijana, leo personally nimeongea na Bi. Maha Alqattan ambaye ni Group Chief People & Sustainability Officer wa DP world makao makuu na kunieleza kuwa wao wanaoperate according to International Labour Standard.

Kwa hiyo basi pia amenieleza kuwa wao kitu kikubwa ni kuzingatia sheria na kanuni za nchi husika pia. Pia wana mishahara mizuri kulingana na majukumu na utendaji wa mtu.

Hivyo basi watanzania wategemee kupata ajira kwa wale watakaofanikiwa.

Sio wewe ulioongea na huyu mchezaji mpira na kuunganisha na huyu mpishi na kuja kutuhadaa kuwa utatuletea umbea wako.

Kwa yoyote inayetaka kuijua vizuri DP World ingia kwenye website yao kuna kila kitu achaneni na porojo za huyu mwanamama # FaizaFoxy.
 
Back
Top Bottom