Habari za Kiuchunguzi kuhusu Maelfu ya Askari wa Rwanda waliouawa katika mapigano ya DRC

Habari za Kiuchunguzi kuhusu Maelfu ya Askari wa Rwanda waliouawa katika mapigano ya DRC

Nenda katika Kijiji Cha Gbadolite nyumbani kwake Marehemu Rais Mobutu Sese Seko ili ukahesabie mafuvu ya mifupa ya Watu aliowaua na kuzikwa huko ili ujue idadi ya Watu aliowaua.
Aidha, pia nenda kawaone wale waliokuwa Wanajeshi wa Kikosi Maalumu Cha Kumlinda Rais Mobutu Sese Seko ili ukachukue takwimu sahihi za idadi ya Watu waliouawa na Mobutu na kisha maiti zao ziliunguzwa au kuyeyushwa kwenye Chemikali (tindikali). Nafikiri mwishowe utaweza kupata idadi kamili ya Watu waliouawa na Mobutu Sese Seko.

..Kagame ameuwa Wacongo wengi kuliko waliouwawa wakati wa Mobutu.

..genocide dhidi ya Watutsi ndio inawafanya watu waone haya, au wapate kigugumizi, kumuweka Kagame ktk nafasi sahihi miongoni mwa wauwaji.
 
huu uongo umeutoa wap , Rais Habyamara aliuliwa na Kagame akiwa katokea Tanzania Arusha na alikubali matakwa yote ya waasi ikiwemo kushare madarakab na kuwaunganisha watutsi jeshini ila watutsi hawakutaka kushare madaraka wao walitaka kuchukua madaraka wao na wengine wawe chini yao , na ndo hv hv wamefanya DRC , mwaka 2009 serikali ya DRC ilikubali matakwa yote ya watutsi ila watutsi walipoona amani itapatikana wao wakiwa kama raia wa kawaida bas watutsi wachache wakarud msituni kuendeleza mapambano , watutsi hawatak amani , wala hawajanyimwa fursa maana kila nyadhfa ndan ya DRC wamepewa ila waoa wanataka watawale nchi wao tu , kama hujaish na watutsi huez elewa , ni jamii moja ina ish kikabila sana kweny kila nyanja iwe kisiasa , kiuchumi au kijamii
Wewe umekunywa pombe gani leo?
 
..Kagame ameuwa Wacongo wengi kuliko waliouwawa wakati wa Mobutu.

..genocide dhidi ya Watutsi ndio inawafanya watu waone haya, au wapate kigugumizi, kumuweka Kagame ktk nafasi sahihi miongoni mwa wauwaji.
Mobutu inaonekana ndio role model wako and that explains everything about you, pole sana
 
Mobutu inaonekana ndio role model wako and that explains everything about you, pole sana

..Mobutu sio role model wangu.

..ukweli uko wazi kwamba Kagame ameuwa Wacongo wengi kuliko alivyofanya Mobutu.

..binafsi napenda Wacongo na Wanyarwanda waishi kwa ujirani mwema.
 
Wewe unaweza kufafanua tofauti yako na mwarabu au msomali?
Mwarabu ana lugha yake na utamaduni wake hata kimaisha, vivyo hivyo na Msomali. Ila kama umechukulia kwa muktadha wa kuishi hapa muda mrefu na amepoteza hivyo vyote anabaki anajinasibu tu na nasaba kama Watutsi wanavyofanya
 
Mwarabu ana lugha yake na utamaduni wake hata kimaisha, vivyo hivyo na Msomali. Ila kama umechukulia kwa muktadha wa kuishi hapa muda mrefu na amepoteza hivyo vyote anabaki anajinasibu tu na nasaba kama Watutsi wanavyofanya
Wakongo , warundi na wanyarwanda wanaongea kifaransa pia. Je nao ni wafaransa?
 
Back
Top Bottom