Habari za Kiuchunguzi kuhusu Maelfu ya Askari wa Rwanda waliouawa katika mapigano ya DRC

Habari za Kiuchunguzi kuhusu Maelfu ya Askari wa Rwanda waliouawa katika mapigano ya DRC

Hapa unacHanganya mambo. Wahutu na Watusi wamekaa pamoja kwa karne siyo siku moja. Zaidi ya hapo nchi zao ni ndogo na jamii zao zinaishi kwa ukaribu sana. Lugha zao zinafanana kwasababu ya mwingiliano. Kule Musoma kuna Waruli, Wakwaya na Wajita. Wanaongelea lugha zinazoingiliana kwa asilimia 90! lakini hawa ni makabila tofauti

Matumizi ya neno Banyarwanda limekuzwa sana baada ya mauaji ya Kimbari. Anayehimiza ni PK kwa kuangalia mfano wa Tanzania. Kwamba ukiwa Tanzania wewe ni Mtanzania lakini haiondoi ukweli kwamba katika Tanzania kuna Wabantu, Nilotics n.k.

Kamusi ya Tanzania ni moja, Kiswahili. Mmakonde, Mngoni, Mkurya, Muha, Mchaga, Msukuma, Mmasai, Mbarabaigi, Mrangi wote wakiongea utaulizwa swali lako, tofauti ya hawa watu ni nini? Jibu lake ni kwamba wanaunganishwa na lugha lakini haindoi ukweli kwamba kuna Wabantu, Nilotic n.k.

Rwanda kuna Wahutu na Watusi, wana kamusi moja, lakini haiondoi ukweli kwamba Watusi walikuja.
Historia inasema hivyo! Bila kukubali historia hawa watu wataendelea kuuana kama ilivyotokea miaka ya 90

JokaKuu
Historia yao ipo na inaeleweka na kuna upande ambao tuwekane sawa kwamba kuna historia ambayo inakuwa imezidiwa na tamaduni mlizozikuta sehemu na kujikuta mmeingia kwenye tamaduni hiyo ni sawa na Waafrika waliopo Marekani ya kusini leo waanze kujinasibu kwa makabila ya Afrika ambayo hata tamaduni zake hawaziishi huko waliko wala lugha au kabila hawajui na suala la WaTutsi ni wenyeji wa Ethiopia na wanavinasaba vya huko lakini hata lugha na mila na desturi za Ethiopia hawazijui ila waliambiwa tu na Wanahistoria wa mambo ya kale enzi za ukoloni, Ndipo hapo walipoanza kujitathimini baada ya kupandikizwa historia ya chuki na pia kuwekwa kama watu wa daraja la kwanza zidi ya Wahutu naWatwa.
 
Hao wahutu na wa Tutsi ni kabila mbili kwa misingi ipi? Maana misamiati wqnayotumia ni ile ile na maana ni zile zile yaani Hutu na Tutsi ni jamii tofauti kwa kujinasibu na si vinginevyo kwa kuwa hakuna tofauti za kiUlimi kati yao zaidi ya kujiasibu ni sawa na wale Wachagga wa Moshi wenye vinasaba vya Wajerumani waChagga weupe sana wakajinasibu tofauti na Wachagga wale wenye asili ya kiAfrika ndicho kinachofanyika waTutsi kwa kuwa wana jamii ya Ethiopia na Somalia kwa unasaba wanajinasibu tofauti na Wahutu kwa hilo tu hakuna kingine ila wote wa mila nadesturi zile zile hakuna tofauti. Chukulia mfano wa Wachagga laiti wangekuwa wanajinasibu kwa nasaba kama wanavyofanya Wahutu na Watutsi ndo utaelewa....
Waethiopia ni cushite, wahutu ni bantu na watutsi ni nilotic. Ni jamii tofauti.
 
Waethiopia ni cushite, wahutu ni bantu na watutsi ni nilotic. Ni jamii tofauti.
Naomba unifafanulie vigezo vinavyotumika kuwatofautisha. Na pia kwa mfano Wasukuma, Wangoni,Wanyamwezi naomba pia uwagroup. Lakini naomba tofauti za Hutu na Tutsi.
 
Huo upuuzi wa line za hutu/tutsi ulishapigwa marufuku kisheria, hakuna any records kuonyesha nani hutu or tutsi, kuongelea story za Hutu or Tutsi ni kutafuta jela, Kagame sio Extremist and doesn’t tolerate nonsense za ukabila, wahutu waliokimbilia Congo baada ya genocide 99% walisharudi Rwanda na wengi walishamaliza vifungo vyao sasa wanajenga Taifa ,story za wa Hutu kuonewa ni fantasy zenu tuu na ukabila

..unachosema ni kweli.

..Na ndio maana siamini dhana kwamba DRC inatishia usalama wa Rwanda.

..pia DRC mara kadhaa imewapa ruhusa Rwanda kuwauwa Interahamwe waliokimbilia DRC.
 
You asking same question wamekosa haki gani and you want me to take you serious, na sijatukana, imagine telling masai to go back to Kenya, tuanzie hapo labda utaelewa
Hoja yako ya Wamasai haielezi jambo kwa kina, ngoja nikupe mfano.
Kigoma tuna Watusi na Wahutu katika jamii zetu. Hakuna mtu anayewaambia Warudi Rwanda au Burundi.

Wakati wa JK ilipotokea Wakimbizi wa Rwanda wanaleta vurugu za wizi wa ng'ombe na kuwahujumu Watanzania, JK alisema wakimbizi hao warudishwe. JK hakusema Wahutu au Watusi Raia wa Tanzania wanaoisihi Kigoma bali wale wasiotaka kuishi kwa amani.

Kinachotokea kwa Banyamulenge ambao ni Watusi ni kutaka kushirikishwa katika serikali na jeshi tena wakitoa asilimia. Katika mazingira hayo 'reaction' ya Wacongoman ni moja, ikiwa mnajiona ni tofauti na Raia wengine rudini Rwanda. Ikiwa ninyi ni Raia kama wengine wekeni silaha chini tujenge nchi

Hoja ya Banyamulenge ni kwamba wananyimwa Haki siyo kwamba wanataka kurudishwa.

Swali, ni haki gani wanazonyimwa tofauti na Raia wengine wa DRC?
 
..unachosema ni kweli.

..Na ndio maana siamini dhana kwamba DRC inatishia usalama wa Rwanda.

..pia DRC mara kadhaa imewapa ruhusa Rwanda kuwauwa Interahamwe waliokimbilia DRC.
Unajua hawa Banyamulenge hawana hoja. Kila siku wanakuja na mpya
Umemsikia huyu wa JF akisema wanafukuzwa, wengine wanasema hawana haki, wengine wanataka 40% ya jeshi, wengine wanataka Uwaziri n.k.

Hakuna anayeweza kujibu ni haki gani wamenyimwa wakiwa ndani ya ardhi ya DRC!

Zitto Kabwe, Mbunge na Mwenyeji wa Kigoma ni mtu niliyetegemea sana atupe ufahamu wa mzozo
Aliulizwa mara 3 katika mjadala akiwa kama mtoa mada, hakuweza kujibu ni haki gani wananyimwa

Tukiendelea ku entertain hawa Banyamulenge, ipo siku wale wa Kigoma watapata somo kwamba unaweza kubeba silaha ukapewa. Nao watabeba silaha kwa madai ya kunyimwa haki Kigoma
Tutawaona wakipigana kuelekea Dodoma wakitaka asilimia za jeshi na Uongozi.
 
Naomba unifafanulie vigezo vinavyotumika kuwatofautisha. Na pia kwa mfano Wasukuma, Wangoni,Wanyamwezi naomba pia uwagroup. Lakini naomba tofauti za Hutu na Tutsi.
Wewe unaweza kufafanua tofauti yako na mwarabu au msomali?
 
1. Suala hili la Mgogoro wa huko DRC (Zaire) ni Complex sana. Lina historia ndefu Sana.

Isipokuwa kuna Ukweli mchungu Sana kwamba Watu/Raia wengi wa DRC wa kutoka kwenye maeneo hayo ya pembezoni mwa nchi hiyo ikiwamo na Majimbo ya Kivu na Katanga huwa wanahesabika Kama Raia wa Daraja Pili au raia wa Daraja la mwisho kabisa kwenye nchi hiyo. Hii ni kutokana na Mfumo au Sera ya Siasa mbaya sana za Kuwagawa Watu ili Watawala wa nchi hiyo ya DRC waweze kutawala kiurahisi. Kuna tatizo la Siasa za Ubaguzi kwa Watu wa maeneo hayo ya Mashariki mwa nchi hiyo ya DRC na kuwapendelea zaidi Watu wengine wa kutoka katika maeneo mengine ya nchi hiyo. Watu wengi wa Mashariki mwa DRC kwa kiasi kikubwa Sana wanahesabika Kama siyo WaCongoman, hiki ndio chanzo kikubwa Sana Cha kuwepo kwa huo Mgogoro usiokoma, ukiachana na vyanzo vingine kama vile kuwepo kwa rasilimali nyingi sana za madini ya vito, udhaifu wa Jeshi la DRC, Udhaifu wa Utawala wa nchi hiyo ya DRC, n.k..

2. Siyo rahisi hata kidogo kulipiga na kulifurusha Jeshi la M23 kwa sababu nyingi sana. Mathalani, Watu/Wananchi wengi Sana waishio kwenye maeneo hayo ya Kivu wanawaunga mkono Wapinzani wa Utawala wa nchi hiyo ya DRC, M23 wanaungwa mkono na Wananchi. Aidha, Utawala wa nchi hiyo ya DRC ni dhaifu Sana kupita kiasi. Bad enough, hata Jeshi la nchi hiyo nalo pia ni dhaifu Sana, na pia kuna Mawakala wengi Sana wa M23 ndani ya Serikali na ndani ya Jeshi la Serikali ya DRC. Kuna vitendo vingi Sana vya Uasi wa chini chini ndani ya Jeshi la Serikali ya DRC.

3. Kwa bahati mbaya sana, hata hapa nchini Tanzania, Watu wengi wa kutoka katika mikoa ya pembezoni mwa nchi kama vile Mkoa wa Kigoma, pia wamekuwa wakichukuliwa kama ni 'Wakimbizi.' Tatizo hili lipo sana katika nchi hii, Mimi binafsi nimewahi kushuhudia mara nyingi sana mambo ya namna hii. Kuna ' bad sentiment' miongoni mwa Watu kuwaona Watu wa kutoka Kigoma kuwa ni Wakimbizi kutoka katika nchi za jirani, tatizo hili lipo katika Jamii zetu za Tanzania.
huko mashariki ya DRC kumetoa viongoz wakubwa wengi na ndo kuna majiji makubwa mengi kuliko ukanda mwingine wowote wa DRC , je wanatengwaje au wanabaguliwaje , iwapo wametoa kuanzia Rais hadi mkuu wa majeshi hado mawaziri pia
Watutsi wanaeneza propaganda na nyiny mnazibeba kama zilivyo , Bukavu , Goma ni miji mizur na mikubwa kuliko krb 90% ya miji yetu yote ipo ukanda mmoja , ukanda wa Mashariki ya DRC umeendelea kulikl ukanda wowote wa DRC , Tuache kubeba taarifa za watutsI

KWENYE MIJI 25 MIKUBWA NA MIZUR NDANI YA DRC bas EASTERN DRC inatoa miji 6 wanaonewaje hapo
 
Kama target ni Kagame, ni very wrong target na hahusiki, propaganda machines za wakabila wa Congo and probably France zimewaharibu akili kabisa , vita itaisha kama Banyamurenge haki zao za kiraia zitakuwa secured pamoja na usalama wao, lakini tatizo kuna makundi mengine karibu 100 yanapigana Congo, na solution ya Uber driver na wenzake singizia Kagame and everything solved
haki gan ? washaingizwa hadi jeshini ,bungeni kila idara wapo , kama huwajui watutsi huez eleaa , hawa watu wanatamaa sana ya kutaka zaid , solution ni kuwawai mapema kabla hawajateka DRC maana wakiteka DRC bas Afrika ijiandae asee
 
Sidhani kama upo sahihi kuhusiana na Hoja yako hii.

Dikteta Mobutu Sese Seko aliua Watu wengi Sana nchini Zaire, hili lipo wazi kabisa.
Enzi za Utawala wake nchini Zaire, kumkosoa Mobutu Sese Seko ilikuwa ni kujikatia tiketi ya kifo.
Wakosoaji wengi sana wa Utawala wa Kidikteta wa Mobutu Sese Seko walikuwa wanatekwa hadharani na Wanajeshi wa Vikosi kazi (Abduction Squads) kutoka kwa Kikosi Maalumu Cha Kumlinda Rais na kisha unapelekwa nyumbani kwa Rais Mobutu Sese Seko kijijini kwake Gbadolite ili ukateswe na kisha kuuawa. Ndege za Jeshi na Helicopter zilikuwa hazikauki angani kwa Safari za kuwasomba Mateka kutoka katika miji mbambali iliyopo kwenye nchi hiyo ya Zaire na kuwapeleka katika Kijiji Cha Gbadolite nyumbani kwa Mobutu Sese Seko.

Hadi leo hii Watu wengi wa Nchi hiyo hawataki kwenda kuishi katika Kijiji hicho Cha Gbadolite kwa Madai kwamba ni eneo lenye laana kubwa kutokana na damu nyingi sana za Watu kumwagika hapo chini ya Utawala wa Mobutu.
Kagame kwa mwez huu january na February 2025 ameua wakongo 3000 , tupe takwimu za Mobutu
 
Yes, ni kuachana kabisa na masuala haya ya huko DRC.

Kwa wale Watu ambao wanaona inafaa jambo hili lijadiliwe, basi wajulishwe kwenda huko Goma DRC ili waende wakalijadili suala hili huko uwandani kwenye eneo la Mgogoro.
watutsi hawataishia DRC , walianzia Uganda , wakaenda Rwanda kisha Drc ss hv wanamalizia DRC wanaingia Tz wanaunga mpk Kenya , tuwe makini sana
 
Mnasingizia asiyehusika na shida zenu, acheni ukabila na kuchukua haki za wengine and everything will be fine, mnaishi legacy ya Mobutu wapuuzi wakubwa nyie, hope mtashindwa vita
sidhani kama Uganda ni wakabila mpk Watutsi walivizia na kuipindua serikali halali , vp kuhusu Rwanda ambapo kila mtu aliishi kwa amani mpk Watutsi walipolipua ndege ya rais mwenye asili ya kihutu , pia Burundi wanaish kwa amani ila hao watutsi wanajiita red tabara kwann wanaamsha harakati za kikabila ? vp kuhusu DRC waliish kwa amani mpk Watutsi walipoivamia DRC mwaka 1997 , yaan afrika mashariki wote ni wakabila tunawabagua watutsi tu , kwa kipi hasa walichonacho hao watutsi ?
 
sidhani kama Uganda ni wakabila mpk Watutsi walivizia na kuipindua serikali halali , vp kuhusu Rwanda ambapo kila mtu aliishi kwa amani mpk Watutsi walipolipua ndege ya rais mwenye asili ya kihutu , pia Burundi wanaish kwa amani ila hao watutsi wanajiita red tabara kwann wanaamsha harakati za kikabila ? vp kuhusu DRC waliish kwa amani mpk Watutsi walipoivamia DRC mwaka 1997 , yaan afrika mashariki wote ni wakabila tunawabagua watutsi tu , kwa kipi hasa walichonacho hao watutsi ?
Hawa inabidi kizazi chao kiteketezwe!
 
..kuna nchi inawasaidia m23.

..haiwezekani kundi la waasi wakawa wanapiga pamba za nguvu / bei mbaya kiasi kile.
Na silaha nyingi na za kisasa ....

Hawa M23 ni jeshi kamili 'conventional army ' sio kama waasi wengine kama Maimai, FDLR waliopo huko msituni.
 
Hii sio kweli na ndio sababu hii vita inatokea, haki za uraia na usalama wao ndio issue sio hizi conspiracies mnazodanganyana humu, Kagame alikuwa mkimbizi for almost 30 years na walipojaribu kurudi waliambiwa nchi imejaa and you don’t belong here na wengine kuuliwa, Banyamurenge going through the same thing, acha waitafute haki yao and they don’t need your help pigeni mdomo tuu
huu uongo umeutoa wap , Rais Habyamara aliuliwa na Kagame akiwa katokea Tanzania Arusha na alikubali matakwa yote ya waasi ikiwemo kushare madarakab na kuwaunganisha watutsi jeshini ila watutsi hawakutaka kushare madaraka wao walitaka kuchukua madaraka wao na wengine wawe chini yao , na ndo hv hv wamefanya DRC , mwaka 2009 serikali ya DRC ilikubali matakwa yote ya watutsi ila watutsi walipoona amani itapatikana wao wakiwa kama raia wa kawaida bas watutsi wachache wakarud msituni kuendeleza mapambano , watutsi hawatak amani , wala hawajanyimwa fursa maana kila nyadhfa ndan ya DRC wamepewa ila waoa wanataka watawale nchi wao tu , kama hujaish na watutsi huez elewa , ni jamii moja ina ish kikabila sana kweny kila nyanja iwe kisiasa , kiuchumi au kijamii
 
Propaganda and zero facts, and FYI Kinachoendelea ni legacy ya Mobutu na wajinga wenzake, unauliza M23 wanadai haki gani and at the same time unawaita sio raia wa Congo na kuwafanyia genocide, very unserious guy 👎
wangekuwa raia wa DRC wasingekuww loyal kwa taifa adui wa DRC ( ambayo wanadai ni nchi yao )
 
Kagame kwa mwez huu january na February 2025 ameua wakongo 3000 , tupe takwimu za Mobutu
Nenda katika Kijiji Cha Gbadolite nyumbani kwake Marehemu Rais Mobutu Sese Seko ili ukahesabie mafuvu ya mifupa ya Watu aliowaua na kuzikwa huko ili ujue idadi ya Watu aliowaua.
Aidha, pia nenda kawaone wale waliokuwa Wanajeshi wa Kikosi Maalumu Cha Kumlinda Rais Mobutu Sese Seko ili ukachukue takwimu sahihi za idadi ya Watu waliouawa na Mobutu na kisha maiti zao ziliunguzwa au kuyeyushwa kwenye Chemikali (tindikali). Nafikiri mwishowe utaweza kupata idadi kamili ya Watu waliouawa na Mobutu Sese Seko.
 
Back
Top Bottom