Habari za Kiuchunguzi kuhusu Maelfu ya Askari wa Rwanda waliouawa katika mapigano ya DRC

Habari za Kiuchunguzi kuhusu Maelfu ya Askari wa Rwanda waliouawa katika mapigano ya DRC

Historia ndiyo imeandika hivyo na Watusi hawajakanusha. Ikiwa ni upumbuvu basi ni wa Historia si Wasomaji
Pili, PK analaumiwa kwa kuunga mkono M23 kwa silaha na askari. Soma mada ya Uzi huu utaelewa.
Tatu, Banyamurenge walikuwepo wakati wa Mobutu, mbona hawakuwahi kubeba silaha!
Nne, Tshesekedi kuwa dereva Uber haondoi ukweli kwamba ni Rais wa DRC. Udereva wake si hoja
Tano, ikiwa Banyumulenge ni Raia haki gani wanayodai na kupelekea wabebe silaha!
Propaganda and zero facts, and FYI Kinachoendelea ni legacy ya Mobutu na wajinga wenzake, unauliza M23 wanadai haki gani and at the same time unawaita sio raia wa Congo na kuwafanyia genocide, very unserious guy 👎
 
Si mlisema wale wanyarwanda waliopo Congo ni wakaazi wa Congo ambao ni raia wa Congo ila tu wanabaguliwa kwa unyarwanda wao! Sasa inakuwaje wanapelekwa kuzikwa Rwanda? So ni ushahidi kwamba Rwanda anasapoti m23?

..kuna nchi inawasaidia m23.

..haiwezekani kundi la waasi wakawa wanapiga pamba za nguvu / bei mbaya kiasi kile.
 
Propaganda and zero facts, and FYI Kinachoendelea ni legacy ya Mobutu na wajinga wenzake, unauliza M23 wanadai haki gani and at the same time unawaita sio raia wa Congo na kuwafanyia genocide, very unserious guy 👎

..Rwanda nayo iwape Wahutu haki zao.

..
 
..Rwanda nayo iwape Wahutu haki zao.

..
Huo upuuzi wa line za hutu/tutsi ulishapigwa marufuku kisheria, hakuna any records kuonyesha nani hutu or tutsi, kuongelea story za Hutu or Tutsi ni kutafuta jela, Kagame sio Extremist and doesn’t tolerate nonsense za ukabila, wahutu waliokimbilia Congo baada ya genocide 99% walisharudi Rwanda na wengi walishamaliza vifungo vyao sasa wanajenga Taifa ,story za wa Hutu kuonewa ni fantasy zenu tuu na ukabila
 
..EAC ndio kichwa cha mwendawazimu kabisa.

..inawezekana vipi mwanachama mmoja akamvamia kijeshi mwanachama mwingine?

..au mwanachama mmoja akawa anafuga makundi ya waasi / magaidi dhidi ya mwanachama mwingine?

..kabla ya kuwa mwanachama wa EAC nchi husika ilipaswa kuwa na vigezo fulani ikiwemo utawala wa sheria, stability, etc
Tatizo watu wameitolea macho Rwanda pekee wakati Uganda ndiyo hutoa mafunzo ya kijeshi kwa M23 na inahusika na hujuma zote Nchini Congo
 
Kundi la wanga huwa wanajaribiana kujua je na wewe mwanga kweli au unazuga tu?

Afrika bara la ajabu sana, Angalia AU/OAU wako kimya hawahusiki, EAC-SADC wanahangaika hata sijui wananguvu kiasi gani.

Kuna majeshi ya SADC mashariki mwa Kongo, lakini M23 na DRC wanaendelea kupigana na wao wanapigwa vikumbo hadi kuuwawa, wapo wapo tu.

Hiyo AMANI wanailindaje?

Au wanamlinda nani DRC au M23?
Uganda ina mkono wake mkubwa juu ya vita congo ingawa Rwanda anaonekana kwa uwazi zaidi
 
Kama target ni Kagame, ni very wrong target na hahusiki, propaganda machines za wakabila wa Congo and probably France zimewaharibu akili kabisa , vita itaisha kama Banyamurenge haki zao za kiraia zitakuwa secured pamoja na usalama wao, lakini tatizo kuna makundi mengine karibu 100 yanapigana Congo, na solution ya Uber driver na wenzake singizia Kagame and everything solved
Vikundi vya waasi ni vingi sana na vyote vinafanya biashara ya kubadilishana siraha na madini ni vigumu kumaliza vita congo labda madini yaishe Congo
 
Uganda ina mkono wake mkubwa juu ya vita congo ingawa Rwanda anaonekana kwa uwazi zaidi
Hiyo Kongo kweli inaumizwa sana, sijui kwanini wananchi wasiingile kati kama viongozi wameshindwa?
 
Huo upuuzi wa line za hutu/tutsi ulishapigwa marufuku kisheria, hakuna any records kuonyesha nani hutu or tutsi, kuongelea story za Hutu or Tutsi ni kutafuta jela, Kagame sio Extremist and doesn’t tolerate nonsense za ukabila, wahutu waliokimbilia Congo baada ya genocide 99% walisharudi Rwanda na wengi walishamaliza vifungo vyao sasa wanajenga Taifa ,story za wa Hutu kuonewa ni fantasy zenu tuu na ukabila
Wahutu wanajulikana na watutsi wanajulikana. Kutengeneza sheria ya kusema hakuna hutu wala tutsi haiondoi uhasama wa jamii hizo mbili. Serikali ya Rwanda imejaa watutsi kuanzia ikulu, jeshini hadi taasisi zingine za serikali sura ni za watutsi tu. Mbona sura hizo hazionekani kwenye serikali ya Burundi, au Burundi hakuna watutsi? Kama hakuna wahutu wala watutsi nchini Rwanda hayo maadhimisho ya genocide nchini Rwanda yanayoitwa kwibuka mbona yanasema ni genocide against tutsi na sio against rwandan? Au ni kutafuta huruma ya wahutu wajione wana hatia ya kuwaua watutsi mwaka 1994 ili jamii ya kitutsi iendelee kuitawala Rwanda! Hiyo sheria ipo kwa faida ya watutsi na siku kagame akitoka madarakani na sheria hiyo itakuwa imeisha muda wake.
 
Wahutu wanajulikana na watutsi wanajulikana. Kutengeneza sheria ya kusema hakuna hutu wala tutsi haiondoi uhasama wa jamii hizo mbili. Serikali ya Rwanda imejaa watutsi kuanzia ikulu, jeshini hadi taasisi zingine za serikali sura ni za watutsi tu. Mbona sura hizo hazionekani kwenye serikali ya Burundi, au Burundi hakuna watutsi? Kama hakuna wahutu wala watutsi nchini Rwanda hayo maadhimisho ya genocide nchini Rwanda yanaoitwa kwibuka mbona yanasema ni genocide against tutsi na sio again rwandan? Au ni kutafuta huruma ya wahutu wajione wana hatia ya kuwaua watutsi mwaka 1994 ili jamii ya kitutsi iendelee kuitawala Rwanda! Hiyo sheria ipo kwa faida ya watutsi na siku kagame akitoka madarakani na sheria hiyo itakuwa imeisha muda wake.
Kama wewe ni mbongo Nina uhakika hautaweza kujua kabila ya mtu 💯 kama hujauuliza au hujaambiwa, sasa kwa Rwanda kuna Tatizo la ukabila, huoni ni vizuri kuzuia ukabila kwa kuzuia official identity za ukabila kabla ya anything else?
 
Propaganda and zero facts, and FYI Kinachoendelea ni legacy ya Mobutu na wajinga wenzake, unauliza M23 wanadai haki gani and at the same time unawaita sio raia wa Congo na kuwafanyia genocide, very unserious guy 👎
Jibu hoja! mbona unakimbilia matusi! Hoja inajibiwa kwa hoja, wala haipigwi rungu.

Hakuna mahali nimesema siyo raia. Ninachosema ni raia wa Congo wenye asili ya Rwanda kutoka kabila la Watusi kwa jina la Banyamulenge. Ni raia wa DRC

Hoja ni kwamba hao Banyamulenge wamekosa haki gani!
 
Jibu hoja! mbona unakimbilia matusi! Hoja inajibiwa kwa hoja, wala haipigwi rungu.

Hakuna mahali nimesema siyo raia. Ninachosema ni raia wa Congo wenye asili ya Rwanda kutoka kabila la Watusi kwa jina la Banyamulenge. Ni raia wa DRC

Hoja ni kwamba hao Banyamulenge wamekosa haki gani!
You asking same question wamekosa haki gani and you want me to take you serious, na sijatukana, imagine telling masai to go back to Kenya, tuanzie hapo labda utaelewa
 
Kama wewe ni mbongo Nina uhakika hautaweza kujua kabila ya mtu 💯 kama hujauuliza au hujaambiwa, sasa kwa Rwanda kuna Tatizo la ukabila, huoni ni vizuri kuzuia ukabila kwa kuzuia official identity za ukabila kabla ya anything else?
Ukabila ni dhana inayohusu upendeleo wa kabila fulani kwenye jamii. Watu wa kabila fulani wanapopendelewa kuliko wa kabila lingine ndipo kunakuwepo na dhana ya ukabila. Ili kuondokana na dhana hiyo kunatakiwa kusiwepo na ubaguzi kwenye nyanja zote kwenye jamii sio kusema hakuna wahutu wala watutsi halafu serikalini wamejaa watu wa kabila moja tena lenye idadi ndogo ya watu.

Kama Rwanda hamtaki ukabila maadhimisho ya kwibuka yana maana gani kuonesha wahanga walikuwa ni watutsi na sio wanyarwanda?
 
You asking same question wamekosa haki gani and you want me to take you serious, na sijatukana, imagine telling masai to go back to Kenya, tuanzie hapo labda utaelewa

..Ukongomani wa Banyamulenge bado unabishaniwa?

..Nilivyoelewa mimi ni kwamba serikali ya DRC inawatambua Banyamulenge/m23 ndio maana ikasaini nao mkataba wa amani.

..Pia nimewahi kusikia kwamba mzozo kati ya m23 na serikali ya DRC unatokana na kukiukwa kwa kipengele cha makubaliano kuhusu kuwa-integrate waasi katika jeshi la DRC.

..Kwa maoni yangu kilichotakiwa kufanyika wakati wa makubaliano ya imani sio kuwa-integrate waasi katika jeshi la DRC, bali kuwa demobilize na kuwalipa kiinua mgongo.

..Jeshi la DRC lilipaswa ku-rectruit vijana wapya toka Mashariki ya nchi hiyo wasio na rekodi ya uasi.

Cc Nguruvi3
 
Usifananishe lugha na kabila. Lugha ni kitu unachoweza kujifunza ila kabila lina chimbuko la asili ya mtu. Hata wewe kama unaifahamu lugha yao unaweza kusalimia na kuitikia hivyo. Ila hutu na tutsi ni kabila mbili tofauti. Kwenye mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 unadhani wahutu na watutsi hawakujua nani ni mhutu na nani mtutsi?
Hao wahutu na wa Tutsi ni kabila mbili kwa misingi ipi? Maana misamiati wqnayotumia ni ile ile na maana ni zile zile yaani Hutu na Tutsi ni jamii tofauti kwa kujinasibu na si vinginevyo kwa kuwa hakuna tofauti za kiUlimi kati yao zaidi ya kujiasibu ni sawa na wale Wachagga wa Moshi wenye vinasaba vya Wajerumani waChagga weupe sana wakajinasibu tofauti na Wachagga wale wenye asili ya kiAfrika ndicho kinachofanyika waTutsi kwa kuwa wana jamii ya Ethiopia na Somalia kwa unasaba wanajinasibu tofauti na Wahutu kwa hilo tu hakuna kingine ila wote wa mila nadesturi zile zile hakuna tofauti. Chukulia mfano wa Wachagga laiti wangekuwa wanajinasibu kwa nasaba kama wanavyofanya Wahutu na Watutsi ndo utaelewa....
 
Back
Top Bottom