Habari zimevuja, Israel ilikua na mpango wa kuishambulia Iran hivi karibuni

Habari zimevuja, Israel ilikua na mpango wa kuishambulia Iran hivi karibuni

Thubutu.
Taifa teule lifutwe? Alishindwa farao wa misri? Walishindwa wanefili !Alishindwa nebukadneza ! Alishindwa hitler!

Israel taifa teule ubarikiwe,watabarikiwa wanao kubariki ,watalaaniwa wanao kulaani. Wewe ni mteule maana kwako tumepata masihi mwenye uwezo wa kifalme mabegani mwake Mungu mwenye nguvu.
Ubarikiwe ewe Israel ,vibarikiwe vizazi vyako ,wabarikiwe wanao kubariki.


Amen.
Eti taifa teule?😂😂😂

Hivi nyie nani aliwaroga? Yaani na wewe kwa akili hizi za kuvukia barabara unaamini katika dunia hii kuna taifa teule?

Makao makuu ya ushoga ulimwenguni halafu bado liwe taifa teule?
 
Nakuuliza wewe si unasema hakuna aliyewafuta ndio nakuuliza kawa hawakufutwa kabila la Dani liko wapi? Hata kwenye ufunuo halitajwi kuexist tena...... unajua kwanini?

Hujui maandiko unaongea pumba tu
Pita kule
Eti taifa teule?😂😂😂

Hivi nyie nani aliwaroga? Yaani na wewe kwa akili hizi za kuvukia barabara unaamini katika dunia hii kuna taifa teule?

Makao makuu ya ushoga ulimwenguni halafu bado liwe taifa teule?
Taifa lililotupa masihi YESU KRISTO
 
Habari kama hizi ndio zinaitwa propaganda.. wanatengeneza mazingira ya kuoneka walitaka kujibu ili kujisafisha.. rusheni vyuma hivyo muone moto mtapigwa na SATAN II ya mrusi na msiulize wameitoa wapi
 
Ni katika harakati za kutengeneza stori tu ili waonekane na wao wanampango wa kujibu ila hawatajibu shambulio lolote la moja kwa moja, katika mashambulizi ya moja kwa moja hawamuwezi Iran , Iran anaweza kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia, Air defence system ya Israel ni dhaifu ndo maana juzi Iran kaweza kuichakaza Nevatim base na kuharibu ndege vita zote zilizokua zimejaa pale
Hizi ndoto za kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia HAZIWEZI KUTIMIA NA WALA HAZITAKUJA KUTIMIA KAMWE. Haijalishi, hata kama itatokea dunia nzima wakawa kinyume na Taifa la Israel. Wanachoweza kufanya ni kuichakaza tu na hilo litafanyika endapo Mungu akiruhusu na SIO KUIFUTA kwenye ramani ya dunia. Majaribio ya kuwafuta Waisrael yalishafanyika mara kadhaa huko nyuma, na yote yalishindwa. Maadui zao huwa wanafanikiwa kuwachakaza tu. Taifa la ISRAEL NI MPANGO WA MUNGU. LIPO PALE LILIPO KWA MPANGO WA MUNGU.
 
Soma vizuri Biblia.Ibrahim kamzaa isaka ,isaka akamzaa yakobo ambaye baadaye Mungu alimbatiza na kumwita Izrael .wana izrael maana yake watoto wa yakobo ambao ni vitukuu vya Ibrahim!!
Narudia tena yakobo sio mtoto wa ibrahim.
Hao watoto 5 wa ibeahim uliowasema wako wapi?
 
Habari kama hizi ndio zinaitwa propaganda.. wanatengeneza mazingira ya kuoneka walitaka kujibu ili kujisafisha.. rusheni vyuma hivyo muone moto mtapigwa na SATAN II ya mrusi na msiulize wameitoa wapi
Tatizo bado tupo. Tutakumbushana wakati ukifika.
 
Ni kweli izrael anaweza kuishambulia Iran lakini athari zake zitakuwa ni kubwa sana ikiwa iran itaamua kujibu, kitu ambacho Marekani anakiogopa huku akijua fika kwamba huenda utakuwa ndio mwisho wake wa kuweka kambi zake za kijeshi middle East
 
Thubutu.
Taifa teule lifutwe? Alishindwa farao wa misri? Walishindwa wanefili !Alishindwa nebukadneza ! Alishindwa hitler!

Israel taifa teule ubarikiwe,watabarikiwa wanao kubariki ,watalaaniwa wanao kulaani. Wewe ni mteule maana kwako tumepata masihi mwenye uwezo wa kifalme mabegani mwake Mungu mwenye nguvu.
Ubarikiwe ewe Israel ,vibarikiwe vizazi vyako ,wabarikiwe wanao kubariki.


Amen.
Mkuu ulipaswa uwe kwenye list ya wahanga wa Diddy.
 
Ni katika harakati za kutengeneza stori tu ili waonekane na wao wanampango wa kujibu ila hawatajibu shambulio lolote la moja kwa moja, katika mashambulizi ya moja kwa moja hawamuwezi Iran , Iran anaweza kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia, Air defence system ya Israel ni dhaifu ndo maana juzi Iran kaweza kuichakaza Nevatim base na kuharibu ndege vita zote zilizokua zimejaa pale
Hivi wayahudi unawajua wewe 🤣🤣🇮🇱eti waifute Israel Kwa taarifa yako walijaribu siku nyingi sana kuifuta lakini hawakuweza na hawatoweza 🤣🤣🇮🇱🇮🇱
 
Thubutu.
Taifa teule lifutwe? Alishindwa farao wa misri? Walishindwa wanefili !Alishindwa nebukadneza ! Alishindwa hitler!

Israel taifa teule ubarikiwe,watabarikiwa wanao kubariki ,watalaaniwa wanao kulaani. Wewe ni mteule maana kwako tumepata masihi mwenye uwezo wa kifalme mabegani mwake Mungu mwenye nguvu.
Ubarikiwe ewe Israel ,vibarikiwe vizazi vyako ,wabarikiwe wanao kubariki.


Amen.
Mkuu naona umeshibishwa propaganda..hongera kwa kumeza kikamilifu.
 
Hivi wayahudi unawajua wewe 🤣🤣🇮🇱eti waifute Israel Kwa taarifa yako walijaribu siku nyingi sana kuifuta lakini hawakuweza na hawatoweza 🤣🤣🇮🇱🇮🇱
Analeta mchezo huyo.
Wa israel damu ya imejaa genes za vita.
Unaweza kuta kati ya chakula na vita mu israel akachagua vita
 
Jana Putin kapeleka manowari za Urusi Iran na amemshauri Netanyahu asiishambulie Iran.
In fact, Putin anawashauri wote Khamenei na Netanyahu waache ugomvi.
 
Hivi wayahudi unawajua wewe 🤣🤣🇮🇱eti waifute Israel Kwa taarifa yako walijaribu siku nyingi sana kuifuta lakini hawakuweza na hawatoweza 🤣🤣🇮🇱🇮🇱
Mbona Hitler aliweza kuwapoteza 6 millioni!! Kama ingekua ndio wanaishi hapo Tel aviv basi angeshaifutaga kwenye ramani bahati yao tu walikua wanaishi ulaya..
 
Maandiko gani hayo uliyosoma????
Israel sio mtoto wa ibrahim btw
Mwanzo 12
Mungu anamwita Abramu aiache nchi yake
1Basi, Mwenyezi-Mungu akamwambia Abramu, “Ondoka katika nchi yako, acha jamaa yako na nyumba ya baba yako, uende katika nchi nitakayokuonesha. 2Nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, nitakubariki na kulikuza jina lako, nawe uwe baraka.
3Anayekubariki, nitambariki;
anayekulaani, nitamlaani.
Kwako wewe, nitayabariki mataifa yote ya dunia.”

Hii ahadi ya kubarikiwa ni Abraham, ambaye alikua na watoto watano aliozaa na Sarah, Kijakazi, na Keturah..sasa why hiyo sentensi ya "nitambariki anayekubariki" ihodhiwe na Israel ?
 
Thubutu.
Taifa teule lifutwe? Alishindwa farao wa misri? Walishindwa wanefili !Alishindwa nebukadneza ! Alishindwa hitler!

Israel taifa teule ubarikiwe,watabarikiwa wanao kubariki ,watalaaniwa wanao kulaani. Wewe ni mteule maana kwako tumepata masihi mwenye uwezo wa kifalme mabegani mwake Mungu mwenye nguvu.
Ubarikiwe ewe Israel ,vibarikiwe vizazi vyako ,wabarikiwe wanao kubariki.


Amen.
Wabarikiwe kwa KUMUUA YESU KRISTO!
Na kizazi chake waendelee kubarikiwa kwa kuchukia WAKRISTO!
 
Back
Top Bottom