Habari zimevuja, Israel ilikua na mpango wa kuishambulia Iran hivi karibuni

Habari zimevuja, Israel ilikua na mpango wa kuishambulia Iran hivi karibuni

Ni suala la muda tu hawa waajemi watafumuliwa vilivyo kwa kihere here chao cha kufadhiki magaidi mashariki ya kati.
 
Thubutu.
Taifa teule lifutwe? Alishindwa farao wa misri? Walishindwa wanefili !Alishindwa nebukadneza ! Alishindwa hitler!

Israel taifa teule ubarikiwe,watabarikiwa wanao kubariki ,watalaaniwa wanao kulaani. Wewe ni mteule maana kwako tumepata masihi mwenye uwezo wa kifalme mabegani mwake Mungu mwenye nguvu.
Ubarikiwe ewe Israel ,vibarikiwe vizazi vyako ,wabarikiwe wanao kubariki.


Amen.
Taifa la Mungu, Tumsifu Yesu Kristu!
Najua kama mkristu uliwahi kukutana na hii salam! Sina hakika kama umewahi kuilewa mzee huwa ina maana gani.
 
Ni mchezo tu unachezwa. Muda ukifika yatatua kama kawaida.
Hilo ndo jibu kamili. Ile drone iliyorushwa juzi nayo ni danganya toto. Ili vita iwe na mashiko kaa Waisraeli lazima vitu kama hivyo viwepo. Uliona mchezo wa Gaza mwanzoni, sasa Gaza na rockets hazisikiki tena. USA ilitoa tamko kwa Israel kusitisha Beirut bombing. Wakatulia siku nne, ya tano ikarushwa drone toka Lebanon kuelekezwa makazi ya Neta. Was it real from Lebanese Hezebolah? So, Israel ikapata sababu za kuresume bombing, umeona hizi siku mbili kinachotokea
 
Taifa la Mungu, Tumsifu Yesu Kristu!
Najua kama mkristu uliwahi kukutana na hii salam! Sina hakika kama umewahi kuilewa mzee huwa ina maana gani.
Milele Amina.
Maana yake ni kumpa sifa kristo YESU kwa mamlaka yake na ukuu wake.
Maana kwake tumepata ukombozi.
Yeye ni masihi ,simba wa yuda , jiwe kuu la pembeni ,mfalme wa wafalme, Mungu mwenye nguvu.

Amina.
 
Siyo ilikuwa na mpango - sema mpango upo palepale ila ni suala la muda tu.

Hiyo mambo haitazuia chochote, kisago kipo njiani.
 
Inasemekana israel alikua na mpango wa kuishushia mvua ya mabomu irani siku hizi mbili,

Israel alikua anashea mpango wake huo wa kuishambulia iran, lakini kwa bahati mbaya/nzuri zimevuja.

Inasemekana kuna intelligence agency mmoja chawa upande wa us amezivujisha habari hizo

Bado haijajulikana kama israel itaendelea na mpango wake au itasitisha.

Source can.


View: https://youtu.be/NeV9eZUNerM?si=wXtWlOACknKybjn8

kwamba Israel yenye huruma sana kwa raia wasio na hatia ikae kimya baada ya shambulio baya namna ile la Iran?

uzuri ni kwamba eliminations na newtrolizaitions za Israel huwalenga zaidi commanders wa uhalifu dhidi yao pekee na hivyo khamenei pamoja na mkuu wa nchi ndiyo hasa wanalengwa 🐒
 
[10/20, 7:14 PM] +27 73 499 4191: BREAKING: The Al Qassam Brigades confirm assassinating the leader of the 401st Brigade of the IDF in Gaza!

Colonel Ihsan Daqsa! The highest ranking military officer killed since Oct 7th!

A number of his military assistants were also critically injured!

The Colonel was on his way to receive Intel information and plan operations in Jabalia!

Al Quran - "˹So˺ fight them and Allah will punish them at your hands, put them to shame, help you overcome them, and soothe the hearts of the believers"

Al Muqawamah Al Islamiyah 🇿🇦
[10/20, 7:35 PM] +27 73 499 4191: Update: It has been officially confirmed by the Zionist army not by Al Qassam.

The eliminated IDF Colonel Ihsan Daqsa was honored with many medals in 2006 in the battle with Hezbollah in Aita Shab.

This is a very very high ranking Zionist officer eliminated!

Al Muqawamah Al Islamiyah 🇿🇦
 
Nakuuliza wewe si unasema hakuna aliyewafuta ndio nakuuliza kawa hawakufutwa kabila la Dani liko wapi? Hata kwenye ufunuo halitajwi kuexist tena...... unajua kwanini?

Hujui maandiko unaongea pumba tu
Mkuu hayo makabila yaliangamizwa? au yapo lakini hayajulikani yalipo
 
Thubutu.
Taifa teule lifutwe? Alishindwa farao wa misri? Walishindwa wanefili !Alishindwa nebukadneza ! Alishindwa hitler!

Israel taifa teule ubarikiwe,watabarikiwa wanao kubariki ,watalaaniwa wanao kulaani. Wewe ni mteule maana kwako tumepata masihi mwenye uwezo wa kifalme mabegani mwake Mungu mwenye nguvu.
Ubarikiwe ewe Israel ,vibarikiwe vizazi vyako ,wabarikiwe wanao kubariki.


Amen.
Kama una watoto basi hao watoto wamepata hasara kubwa sana
 
Thubutu.
Taifa teule lifutwe? Alishindwa farao wa misri? Walishindwa wanefili !Alishindwa nebukadneza ! Alishindwa hitler!

Israel taifa teule ubarikiwe,watabarikiwa wanao kubariki ,watalaaniwa wanao kulaani. Wewe ni mteule maana kwako tumepata masihi mwenye uwezo wa kifalme mabegani mwake Mungu mwenye nguvu.
Ubarikiwe ewe Israel ,vibarikiwe vizazi vyako ,wabarikiwe wanao kubariki.


Amen.
Israel hii hii yenye waislam mara 7 ya wakristo ni taifa teule?
Thubutu.
Taifa teule lifutwe? Alishindwa farao wa misri? Walishindwa wanefili !Alishindwa nebukadneza ! Alishindwa hitler!

Israel taifa teule ubarikiwe,watabarikiwa wanao kubariki ,watalaaniwa wanao kulaani. Wewe ni mteule maana kwako tumepata masihi mwenye uwezo wa kifalme mabegani mwake Mungu mwenye nguvu.
Ubarikiwe ewe Israel ,vibarikiwe vizazi vyako ,wabarikiwe wanao kubariki.


Amen.
Taifa teule hili hili lenye waislam mara 7 ya wakristo?,😃😃
Je wewe ni mjinga au mpumbavu?
 

Attachments

  • images (5).png
    images (5).png
    11.5 KB · Views: 2
Thubutu.
Taifa teule lifutwe? Alishindwa farao wa misri? Walishindwa wanefili !Alishindwa nebukadneza ! Alishindwa hitler!

Israel taifa teule ubarikiwe,watabarikiwa wanao kubariki ,watalaaniwa wanao kulaani. Wewe ni mteule maana kwako tumepata masihi mwenye uwezo wa kifalme mabegani mwake Mungu mwenye nguvu.
Ubarikiwe ewe Israel ,vibarikiwe vizazi vyako ,wabarikiwe wanao kubariki.


Amen.
Hakuna taifa teule lililo jaa na kutetea watu kufirana na kusagana kijana
 
Hizi ndoto za kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia HAZIWEZI KUTIMIA NA WALA HAZITAKUJA KUTIMIA KAMWE. Haijalishi, hata kama itatokea dunia nzima wakawa kinyume na Taifa la Israel. Wanachoweza kufanya ni kuichakaza tu na hilo litafanyika endapo Mungu akiruhusu na SIO KUIFUTA kwenye ramani ya dunia. Majaribio ya kuwafuta Waisrael yalishafanyika mara kadhaa huko nyuma, na yote yalishindwa. Maadui zao huwa wanafanikiwa kuwachakaza tu. Taifa la ISRAEL NI MPANGO WA MUNGU. LIPO PALE LILIPO KWA MPANGO WA MUNGU.
Ulokole kazi kweli kweli hehe
 
Hilo ndo jibu kamili. Ile drone iliyorushwa juzi nayo ni danganya toto. Ili vita iwe na mashiko kaa Waisraeli lazima vitu kama hivyo viwepo. Uliona mchezo wa Gaza mwanzoni, sasa Gaza na rockets hazisikiki tena. USA ilitoa tamko kwa Israel kusitisha Beirut bombing. Wakatulia siku nne, ya tano ikarushwa drone toka Lebanon kuelekezwa makazi ya Neta. Was it real from Lebanese Hezebolah? So, Israel ikapata sababu za kuresume bombing, umeona hizi siku mbili kinachotokea
Juzi tu siku ya kutumia mwaka toka uvamizi wa hamas kwa israhell ufanyike hamas walirusha rocket mpaka Haifa au Unadhani peke ako ndio unafatilia haya mambo
 
Inasemekana Israel alikua na mpango wa kuishushia mvua ya mabomu Iran siku hizi mbili.

Israel alikua anashea mpango wake huo wa kuishambulia Iran, lakini kwa bahati mbaya/nzuri zimevuja. Inasemekana kuna intelligence agency mmoja chawa upande wa us amezivujisha habari hizo.

Bado haijajulikana kama israel itaendelea na mpango wake au itasitisha.

Source CNN.


View: https://youtu.be/NeV9eZUNerM?si=wXtWlOACknKybjn8

Kwa sasa israel hawezi kufanya chochote hadi thaad defence system itakapofika kutoka marekani, maana sasa hivi akichokoza mtu atamalizwa yupo uchi defence system zake zote iran keshaIjulia jinsi ya kuzi by pass ndio maana kwa sasa hana ujanja wa kulipiza kisasi
 
Back
Top Bottom