Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taifa la Mungu, Tumsifu Yesu Kristu!Thubutu.
Taifa teule lifutwe? Alishindwa farao wa misri? Walishindwa wanefili !Alishindwa nebukadneza ! Alishindwa hitler!
Israel taifa teule ubarikiwe,watabarikiwa wanao kubariki ,watalaaniwa wanao kulaani. Wewe ni mteule maana kwako tumepata masihi mwenye uwezo wa kifalme mabegani mwake Mungu mwenye nguvu.
Ubarikiwe ewe Israel ,vibarikiwe vizazi vyako ,wabarikiwe wanao kubariki.
Amen.
Hilo ndo jibu kamili. Ile drone iliyorushwa juzi nayo ni danganya toto. Ili vita iwe na mashiko kaa Waisraeli lazima vitu kama hivyo viwepo. Uliona mchezo wa Gaza mwanzoni, sasa Gaza na rockets hazisikiki tena. USA ilitoa tamko kwa Israel kusitisha Beirut bombing. Wakatulia siku nne, ya tano ikarushwa drone toka Lebanon kuelekezwa makazi ya Neta. Was it real from Lebanese Hezebolah? So, Israel ikapata sababu za kuresume bombing, umeona hizi siku mbili kinachotokeaNi mchezo tu unachezwa. Muda ukifika yatatua kama kawaida.
Milele Amina.Taifa la Mungu, Tumsifu Yesu Kristu!
Najua kama mkristu uliwahi kukutana na hii salam! Sina hakika kama umewahi kuilewa mzee huwa ina maana gani.
Hapo kwenye Taifa la Mungu ina maana gani?Milele Amina.
Maana yake ni kumpa sifa kristo YESU kwa mamlaka yake na ukuu wake.
Maana kwake tumepata ukombozi.
Yeye ni masihi ,simba wa yuda , jiwe kuu la pembeni ,mfalme wa wafalme, Mungu mwenye nguvu.
Amina.
Inasemekana israel alikua na mpango wa kuishushia mvua ya mabomu irani siku hizi mbili,
Israel alikua anashea mpango wake huo wa kuishambulia iran, lakini kwa bahati mbaya/nzuri zimevuja.
Inasemekana kuna intelligence agency mmoja chawa upande wa us amezivujisha habari hizo
Bado haijajulikana kama israel itaendelea na mpango wake au itasitisha.
Source can.
View: https://youtu.be/NeV9eZUNerM?si=wXtWlOACknKybjn8
Mkuu hayo makabila yaliangamizwa? au yapo lakini hayajulikani yalipoNakuuliza wewe si unasema hakuna aliyewafuta ndio nakuuliza kawa hawakufutwa kabila la Dani liko wapi? Hata kwenye ufunuo halitajwi kuexist tena...... unajua kwanini?
Hujui maandiko unaongea pumba tu
Yalioa na kuolewa na jamii zingine so asili ikapotea so yaliyobaki pure ni kama matatu tu Benjamin, Judah na Ephraim+ManassehMkuu hayo makabila yaliangamizwa? au yapo lakini hayajulikani yalipo
Kama una watoto basi hao watoto wamepata hasara kubwa sanaThubutu.
Taifa teule lifutwe? Alishindwa farao wa misri? Walishindwa wanefili !Alishindwa nebukadneza ! Alishindwa hitler!
Israel taifa teule ubarikiwe,watabarikiwa wanao kubariki ,watalaaniwa wanao kulaani. Wewe ni mteule maana kwako tumepata masihi mwenye uwezo wa kifalme mabegani mwake Mungu mwenye nguvu.
Ubarikiwe ewe Israel ,vibarikiwe vizazi vyako ,wabarikiwe wanao kubariki.
Amen.
Israel hii hii yenye waislam mara 7 ya wakristo ni taifa teule?Thubutu.
Taifa teule lifutwe? Alishindwa farao wa misri? Walishindwa wanefili !Alishindwa nebukadneza ! Alishindwa hitler!
Israel taifa teule ubarikiwe,watabarikiwa wanao kubariki ,watalaaniwa wanao kulaani. Wewe ni mteule maana kwako tumepata masihi mwenye uwezo wa kifalme mabegani mwake Mungu mwenye nguvu.
Ubarikiwe ewe Israel ,vibarikiwe vizazi vyako ,wabarikiwe wanao kubariki.
Amen.
Taifa teule hili hili lenye waislam mara 7 ya wakristo?,😃😃Thubutu.
Taifa teule lifutwe? Alishindwa farao wa misri? Walishindwa wanefili !Alishindwa nebukadneza ! Alishindwa hitler!
Israel taifa teule ubarikiwe,watabarikiwa wanao kubariki ,watalaaniwa wanao kulaani. Wewe ni mteule maana kwako tumepata masihi mwenye uwezo wa kifalme mabegani mwake Mungu mwenye nguvu.
Ubarikiwe ewe Israel ,vibarikiwe vizazi vyako ,wabarikiwe wanao kubariki.
Amen.
Hapo kwenye Taifa la Mungu ina maana gani?
Dini ni za wanadamu.Israel hii hii yenye waislam mara 7 ya wakristo ni taifa teule?
Taifa teule hili hili lenye waislam mara 7 ya wakristo?,😃😃
Je wewe ni mjinga au mpumbavu?
Wewe una ajili timamu unaweza thibitishaMtu mwenye akili timamu akisoma ulichoandika atagundua umechanganyikiwa siyo akili za mtu timamu
Hakuna taifa teule lililo jaa na kutetea watu kufirana na kusagana kijanaThubutu.
Taifa teule lifutwe? Alishindwa farao wa misri? Walishindwa wanefili !Alishindwa nebukadneza ! Alishindwa hitler!
Israel taifa teule ubarikiwe,watabarikiwa wanao kubariki ,watalaaniwa wanao kulaani. Wewe ni mteule maana kwako tumepata masihi mwenye uwezo wa kifalme mabegani mwake Mungu mwenye nguvu.
Ubarikiwe ewe Israel ,vibarikiwe vizazi vyako ,wabarikiwe wanao kubariki.
Amen.
Ulokole kazi kweli kweli heheHizi ndoto za kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia HAZIWEZI KUTIMIA NA WALA HAZITAKUJA KUTIMIA KAMWE. Haijalishi, hata kama itatokea dunia nzima wakawa kinyume na Taifa la Israel. Wanachoweza kufanya ni kuichakaza tu na hilo litafanyika endapo Mungu akiruhusu na SIO KUIFUTA kwenye ramani ya dunia. Majaribio ya kuwafuta Waisrael yalishafanyika mara kadhaa huko nyuma, na yote yalishindwa. Maadui zao huwa wanafanikiwa kuwachakaza tu. Taifa la ISRAEL NI MPANGO WA MUNGU. LIPO PALE LILIPO KWA MPANGO WA MUNGU.
Okay nimekupata vizuriYalioa na kuolewa na jamii zingine so asili ikapotea so yaliyobaki pure ni kama matatu tu Benjamin, Judah na Ephraim+Manasseh
Juzi tu siku ya kutumia mwaka toka uvamizi wa hamas kwa israhell ufanyike hamas walirusha rocket mpaka Haifa au Unadhani peke ako ndio unafatilia haya mamboHilo ndo jibu kamili. Ile drone iliyorushwa juzi nayo ni danganya toto. Ili vita iwe na mashiko kaa Waisraeli lazima vitu kama hivyo viwepo. Uliona mchezo wa Gaza mwanzoni, sasa Gaza na rockets hazisikiki tena. USA ilitoa tamko kwa Israel kusitisha Beirut bombing. Wakatulia siku nne, ya tano ikarushwa drone toka Lebanon kuelekezwa makazi ya Neta. Was it real from Lebanese Hezebolah? So, Israel ikapata sababu za kuresume bombing, umeona hizi siku mbili kinachotokea
Inasemekana Israel alikua na mpango wa kuishushia mvua ya mabomu Iran siku hizi mbili.
Israel alikua anashea mpango wake huo wa kuishambulia Iran, lakini kwa bahati mbaya/nzuri zimevuja. Inasemekana kuna intelligence agency mmoja chawa upande wa us amezivujisha habari hizo.
Bado haijajulikana kama israel itaendelea na mpango wake au itasitisha.
Source CNN.
View: https://youtu.be/NeV9eZUNerM?si=wXtWlOACknKybjn8
Wewe mwenyewe Hilo jina lako linakuonesha ni pungaHakuna taifa teule lililo jaa na kutetea watu kufirana na kusagana kijana