Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata professor Jay alijaribu mpk Mara ya 8 ndio akatoboa .Hivi wayahudi unawajua wewe 🤣🤣🇮🇱eti waifute Israel Kwa taarifa yako walijaribu siku nyingi sana kuifuta lakini hawakuweza na hawatoweza 🤣🤣🇮🇱🇮🇱
Mkuu eeh si tulikubaliana taifa teule linatafuta sababu ya kuifuta IsraelUS UK na EU zisaidie Regime Change huko Iran kwa kuitoa Islamic Government of Iran na Maayatola wabakie Misikitini na sio kwenye Siasa.
Nilipoona netanyau katoa speech ya kuimiza wananchi wa Iran wamtoe ayotolah cjui walitarajia wananchi waandamane kumtoa ?
Hapo ndio nkajua kashindwa yeye anawapa wananchi mzigo
Unadhani hawatamaniUS UK na EU zisaidie Regime Change huko Iran kwa kuitoa Islamic Government of Iran na Maayatola wabakie Misikitini na sio kwenye Siasa.
Rudia kusoma tena nilicho andika ndugu zitto junior . Nimeandika kuwa anaweza kuruhusu kuchakazwa/kupigwa na maadui ili kuwafanya wamrudie Mungu- waache maovu na sio kuruhusu kufutwa.Mbona unajipinga mwenyewe? Kama Mungu anaweza ruhusu basi hashindwi ruhusu wafutwe. Mfano kwenye Bible mbona alilifuta kabila la Dani...
Ona huyu mwendawazimu.Thubutu.
Taifa teule lifutwe? Alishindwa farao wa misri? Walishindwa wanefili !Alishindwa nebukadneza ! Alishindwa hitler!
Israel taifa teule ubarikiwe,watabarikiwa wanao kubariki ,watalaaniwa wanao kulaani. Wewe ni mteule maana kwako tumepata masihi mwenye uwezo wa kifalme mabegani mwake Mungu mwenye nguvu.
Ubarikiwe ewe Israel ,vibarikiwe vizazi vyako ,wabarikiwe wanao kubariki.
Amen.
Hao wayahudi wamshukuru USA,UK,France na Germany.Hivi wayahudi unawajua wewe 🤣🤣🇮🇱eti waifute Israel Kwa taarifa yako walijaribu siku nyingi sana kuifuta lakini hawakuweza na hawatoweza 🤣🤣🇮🇱🇮🇱
Hao sio wayahudi hao wazayuniHao wayahudi wamshukuru USA,UK,France na Germany.
Ndio nikasema mbona aliruhusu kabila la Dani lifutwe ilihali aliahidi hatovunja agano milele?sio kuruhusu kufutwa.
Hakuna taifa bila watu.Ona huyu mwendawazimu.
Tofautisha taifa na wana israel.
Wana israel huwezi ukawafuta ila taifa la Israel unaweza.
Nchi za zamani ziliwezaje kuwatesa hao wayahudi ishindikanike sasa!?
Tatizo umejaza upupu wa dini kichwani.
Hahahahahaha mlokole huyu sio bureeThubutu.
Taifa teule lifutwe? Alishindwa farao wa misri? Walishindwa wanefili !Alishindwa nebukadneza ! Alishindwa hitler!
Israel taifa teule ubarikiwe,watabarikiwa wanao kubariki ,watalaaniwa wanao kulaani. Wewe ni mteule maana kwako tumepata masihi mwenye uwezo wa kifalme mabegani mwake Mungu mwenye nguvu.
Ubarikiwe ewe Israel ,vibarikiwe vizazi vyako ,wabarikiwe wanao kubariki.
Amen.
Ubarikiwe hapo ulipoHahahahahaha mlokole huyu sio buree
Hahahahahaha haya bhanaUbarikiwe hapo ulipo
Amen
Inasemekana Israel alikua na mpango wa kuishushia mvua ya mabomu Iran siku hizi mbili.
Israel alikua anashea mpango wake huo wa kuishambulia Iran, lakini kwa bahati mbaya/nzuri zimevuja. Inasemekana kuna intelligence agency mmoja chawa upande wa us amezivujisha habari hizo.
Bado haijajulikana kama israel itaendelea na mpango wake au itasitisha.
Source CNN.
View: https://youtu.be/NeV9eZUNerM?si=wXtWlOACknKybjn8
Alipata sapoti ya watu wa JF ye alitarajia wa Iran watamskizandio utanshangaa yani..wakati hapo tel aviv kila siku watu wanaandamana hawamtaki yeye badala aangalie hali yake anahangaika na Ayatolah
Una uhakikaHakuna taifa bila watu.
Watu ndio taifa.
Huwezi kuwafuta wana wa Israel (Jews).
Walishindwa wafalme na wafalme utaweza wewe.
Mtawapiga vita sana ila mwisho wake wanageuka washindi kwa sababu ni wateule.
NdioUna uhakika