Habari zimevuja, Israel ilikua na mpango wa kuishambulia Iran hivi karibuni

Habari zimevuja, Israel ilikua na mpango wa kuishambulia Iran hivi karibuni

US UK na EU zisaidie Regime Change huko Iran kwa kuitoa Islamic Government of Iran na Maayatola wabakie Misikitini na sio kwenye Siasa.
 
Hivi wayahudi unawajua wewe 🤣🤣🇮🇱eti waifute Israel Kwa taarifa yako walijaribu siku nyingi sana kuifuta lakini hawakuweza na hawatoweza 🤣🤣🇮🇱🇮🇱
Hata professor Jay alijaribu mpk Mara ya 8 ndio akatoboa .
Kila watu wakijaribu wanajifunza na kujipanga ndio maana kuna mda ikishambuliwa mnapagawa hamuamini macho yenu
 
Mbona unajipinga mwenyewe? Kama Mungu anaweza ruhusu basi hashindwi ruhusu wafutwe. Mfano kwenye Bible mbona alilifuta kabila la Dani...
Rudia kusoma tena nilicho andika ndugu zitto junior . Nimeandika kuwa anaweza kuruhusu kuchakazwa/kupigwa na maadui ili kuwafanya wamrudie Mungu- waache maovu na sio kuruhusu kufutwa.
 
Thubutu.
Taifa teule lifutwe? Alishindwa farao wa misri? Walishindwa wanefili !Alishindwa nebukadneza ! Alishindwa hitler!

Israel taifa teule ubarikiwe,watabarikiwa wanao kubariki ,watalaaniwa wanao kulaani. Wewe ni mteule maana kwako tumepata masihi mwenye uwezo wa kifalme mabegani mwake Mungu mwenye nguvu.
Ubarikiwe ewe Israel ,vibarikiwe vizazi vyako ,wabarikiwe wanao kubariki.


Amen.
Ona huyu mwendawazimu.
Tofautisha taifa na wana israel.
Wana israel huwezi ukawafuta ila taifa la Israel unaweza.
Nchi za zamani ziliwezaje kuwatesa hao wayahudi ishindikanike sasa!?
Tatizo umejaza upupu wa dini kichwani.
 
Kwangu hiyo ni stori tu ya kujaribu kuonesha Kwa walimwengu kwamba angalau nao Wana mpango wa kuwashambulia waajemi. Taarifa kama hii ni sensitive sana. Nb inaonesha namna Gani Israel ni nchi kibaraka tu Kwa Marekani kwani Kila kitu wanachokifanya wanamshirikisha US
 
Ona huyu mwendawazimu.
Tofautisha taifa na wana israel.
Wana israel huwezi ukawafuta ila taifa la Israel unaweza.
Nchi za zamani ziliwezaje kuwatesa hao wayahudi ishindikanike sasa!?
Tatizo umejaza upupu wa dini kichwani.
Hakuna taifa bila watu.
Watu ndio taifa.
Huwezi kuwafuta wana wa Israel (Jews).
Walishindwa wafalme na wafalme utaweza wewe.
Mtawapiga vita sana ila mwisho wake wanageuka washindi kwa sababu ni wateule.
 
Thubutu.
Taifa teule lifutwe? Alishindwa farao wa misri? Walishindwa wanefili !Alishindwa nebukadneza ! Alishindwa hitler!

Israel taifa teule ubarikiwe,watabarikiwa wanao kubariki ,watalaaniwa wanao kulaani. Wewe ni mteule maana kwako tumepata masihi mwenye uwezo wa kifalme mabegani mwake Mungu mwenye nguvu.
Ubarikiwe ewe Israel ,vibarikiwe vizazi vyako ,wabarikiwe wanao kubariki.


Amen.
Hahahahahaha mlokole huyu sio buree
 
Inasemekana Israel alikua na mpango wa kuishushia mvua ya mabomu Iran siku hizi mbili.

Israel alikua anashea mpango wake huo wa kuishambulia Iran, lakini kwa bahati mbaya/nzuri zimevuja. Inasemekana kuna intelligence agency mmoja chawa upande wa us amezivujisha habari hizo.

Bado haijajulikana kama israel itaendelea na mpango wake au itasitisha.

Source CNN.


View: https://youtu.be/NeV9eZUNerM?si=wXtWlOACknKybjn8


View: https://x.com/VividProwess/status/1848507055943913800
 
ndio utanshangaa yani..wakati hapo tel aviv kila siku watu wanaandamana hawamtaki yeye badala aangalie hali yake anahangaika na Ayatolah
Alipata sapoti ya watu wa JF ye alitarajia wa Iran watamskiza
Sijui aliwaza nn fala yule
Ila kwa wabongo kusikilza marais wa nchi za wengine na kumpuuza rais wao ni kawaida
 
Hakuna taifa bila watu.
Watu ndio taifa.
Huwezi kuwafuta wana wa Israel (Jews).
Walishindwa wafalme na wafalme utaweza wewe.
Mtawapiga vita sana ila mwisho wake wanageuka washindi kwa sababu ni wateule.
Una uhakika
 
Back
Top Bottom