Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Pole kijana nenda ukabarikiweWewe mwenyewe Hilo jina lako linakuonesha ni punga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole kijana nenda ukabarikiweWewe mwenyewe Hilo jina lako linakuonesha ni punga
Inasemekana Israel alikua na mpango wa kuishushia mvua ya mabomu Iran siku hizi mbili.
Israel alikua anashea mpango wake huo wa kuishambulia Iran, lakini kwa bahati mbaya/nzuri zimevuja. Inasemekana kuna intelligence agency mmoja chawa upande wa us amezivujisha habari hizo.
Bado haijajulikana kama israel itaendelea na mpango wake au itasitisha.
Source CNN.
View: https://youtu.be/NeV9eZUNerM?si=wXtWlOACknKybjn8
Thaad ipo israhell tokea mwaka 2019 na bado israhell ilichapwaKwa sasa israel hawezi kufanya chochote hadi thaad defence system itakapofika kutoka marekani, maana sasa hivi akichokoza mtu atamalizwa yupo uchi defence system zake zote iran keshaIjulia jinsi ya kuzi by pass ndio maana kwa sasa hana ujanja wa kulipiza kisasi
Wewe unajua ila Iran 🇮🇷 wenyewe hawajui wazayuni wa jf napenda kutupiga fixHizo ni propaganda za vita ili kuwachanganya iran wazani hawato adhibiwa badala yake wanawashambulia vikali kwa kuwashtukiza.
Jina lako linaonesha upungaPole kijana nenda ukabarikiwe
Nenda ukabarikiwe dogo mie sibariki watu kafate baraka huko mnapopewaJina lako linaonesha upunga
Wewe ni punga kithibitisho ni Hilo jina lako mbona linajielezaNenda ukabarikiwe dogo mie sibariki watu kafate baraka huko mnapopewa
Nenda ukabarikiwe Unadhani kila mtu anafanya uchafu kama weweWewe ni punga kithibitisho ni Hilo jina lako mbona linajieleza
Wewe ni punga jina lako linathibitishaNenda ukabarikiwe Unadhani kila mtu anafanya uchafu kama wewe
Amina,ibarikiwe Israel,Taifa teule,Thubutu.
Taifa teule lifutwe? Alishindwa farao wa misri? Walishindwa wanefili !Alishindwa nebukadneza ! Alishindwa hitler!
Israel taifa teule ubarikiwe,watabarikiwa wanao kubariki ,watalaaniwa wanao kulaani. Wewe ni mteule maana kwako tumepata masihi mwenye uwezo wa kifalme mabegani mwake Mungu mwenye nguvu.
Ubarikiwe ewe Israel ,vibarikiwe vizazi vyako ,wabarikiwe wanao kubariki.
Amen.
Kwani wewe pungaWewe ni punga jina lako linathibitisha
Wewe ushabarikiwaAmina,ibarikiwe Israel,Taifa teule,
Huna akili 🤣🤣🤣Thubutu.
Taifa teule lifutwe? Alishindwa farao wa misri? Walishindwa wanefili !Alishindwa nebukadneza ! Alishindwa hitler!
Israel taifa teule ubarikiwe,watabarikiwa wanao kubariki ,watalaaniwa wanao kulaani. Wewe ni mteule maana kwako tumepata masihi mwenye uwezo wa kifalme mabegani mwake Mungu mwenye nguvu.
Ubarikiwe ewe Israel ,vibarikiwe vizazi vyako ,wabarikiwe wanao kubariki.
Amen.
Chizi huyo 🤣🤣🤣Eti taifa teule?😂😂😂
Hivi nyie nani aliwaroga? Yaani na wewe kwa akili hizi za kuvukia barabara unaamini katika dunia hii kuna taifa teule?
Makao makuu ya ushoga ulimwenguni halafu bado liwe taifa teule?
Inasemekana Israel alikua na mpango wa kuishushia mvua ya mabomu Iran siku hizi mbili.
Israel alikua anashea mpango wake huo wa kuishambulia Iran, lakini kwa bahati mbaya/nzuri zimevuja. Inasemekana kuna intelligence agency mmoja chawa upande wa us amezivujisha habari hizo.
Bado haijajulikana kama israel itaendelea na mpango wake au itasitisha.
Source CNN.
View: https://youtu.be/NeV9eZUNerM?si=wXtWlOACknKybjn8
Umeshiba kibulu afu unajikuta upo much know. Kumbe famba. Kula mtori afu majibu yatakua yakusikitisha saana mpaka dunia itikisikeNi katika harakati za kutengeneza stori tu ili waonekane na wao wanampango wa kujibu ila hawatajibu shambulio lolote la moja kwa moja, katika mashambulizi ya moja kwa moja hawamuwezi Iran , Iran anaweza kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia, Air defence system ya Israel ni dhaifu ndo maana juzi Iran kaweza kuichakaza Nevatim base na kuharibu ndege vita zote zilizokua zimejaa pale
Inasemekana Israel alikua na mpango wa kuishushia mvua ya mabomu Iran siku hizi mbili.
Israel alikua anashea mpango wake huo wa kuishambulia Iran, lakini kwa bahati mbaya/nzuri zimevuja. Inasemekana kuna intelligence agency mmoja chawa upande wa us amezivujisha habari hizo.
Bado haijajulikana kama israel itaendelea na mpango wake au itasitisha.
Source CNN.
View: https://youtu.be/NeV9eZUNerM?si=wXtWlOACknKybjn8