Habari zimevuja, Israel ilikua na mpango wa kuishambulia Iran hivi karibuni

Habari zimevuja, Israel ilikua na mpango wa kuishambulia Iran hivi karibuni

Inasemekana Israel alikua na mpango wa kuishushia mvua ya mabomu Iran siku hizi mbili.

Israel alikua anashea mpango wake huo wa kuishambulia Iran, lakini kwa bahati mbaya/nzuri zimevuja. Inasemekana kuna intelligence agency mmoja chawa upande wa us amezivujisha habari hizo.

Bado haijajulikana kama israel itaendelea na mpango wake au itasitisha.

Source CNN.


View: https://youtu.be/NeV9eZUNerM?si=wXtWlOACknKybjn8

Hizo ni propaganda za vita ili kuwachanganya iran wazani hawato adhibiwa badala yake wanawashambulia vikali kwa kuwashtukiza.
 
Kwa sasa israel hawezi kufanya chochote hadi thaad defence system itakapofika kutoka marekani, maana sasa hivi akichokoza mtu atamalizwa yupo uchi defence system zake zote iran keshaIjulia jinsi ya kuzi by pass ndio maana kwa sasa hana ujanja wa kulipiza kisasi
Thaad ipo israhell tokea mwaka 2019 na bado israhell ilichapwa
 
Thubutu.
Taifa teule lifutwe? Alishindwa farao wa misri? Walishindwa wanefili !Alishindwa nebukadneza ! Alishindwa hitler!

Israel taifa teule ubarikiwe,watabarikiwa wanao kubariki ,watalaaniwa wanao kulaani. Wewe ni mteule maana kwako tumepata masihi mwenye uwezo wa kifalme mabegani mwake Mungu mwenye nguvu.
Ubarikiwe ewe Israel ,vibarikiwe vizazi vyako ,wabarikiwe wanao kubariki.


Amen.
Amina,ibarikiwe Israel,Taifa teule,
 
Thubutu.
Taifa teule lifutwe? Alishindwa farao wa misri? Walishindwa wanefili !Alishindwa nebukadneza ! Alishindwa hitler!

Israel taifa teule ubarikiwe,watabarikiwa wanao kubariki ,watalaaniwa wanao kulaani. Wewe ni mteule maana kwako tumepata masihi mwenye uwezo wa kifalme mabegani mwake Mungu mwenye nguvu.
Ubarikiwe ewe Israel ,vibarikiwe vizazi vyako ,wabarikiwe wanao kubariki.


Amen.
Huna akili 🤣🤣🤣

Hao Israel unao washabikia hivyo kiimani Taifa lao haliamini ktk ukristo wala uislam hawataki kabisa kumtambua yesu , sijui unalijua Hilo Kwanza !?
 
Eti taifa teule?😂😂😂

Hivi nyie nani aliwaroga? Yaani na wewe kwa akili hizi za kuvukia barabara unaamini katika dunia hii kuna taifa teule?

Makao makuu ya ushoga ulimwenguni halafu bado liwe taifa teule?
Chizi huyo 🤣🤣🤣

Hao ndio wote wale wanao amini upumbavu wa story za kutungwa -- Binaadamu kamezwa na samaki kisha katemwa na Huyo samaki Akiwa bado Yuko hai , and blaaaa blaaaaa kibao
 
Inasemekana Israel alikua na mpango wa kuishushia mvua ya mabomu Iran siku hizi mbili.

Israel alikua anashea mpango wake huo wa kuishambulia Iran, lakini kwa bahati mbaya/nzuri zimevuja. Inasemekana kuna intelligence agency mmoja chawa upande wa us amezivujisha habari hizo.

Bado haijajulikana kama israel itaendelea na mpango wake au itasitisha.

Source CNN.


View: https://youtu.be/NeV9eZUNerM?si=wXtWlOACknKybjn8

hawa jamaa wamefanya dunia yote ipo bize kuwafuatilia ebu imagine hadi nchi amabazo wanaishi kwa chini ya usd dolla 1 wapo bize kufuatilia huko. isee!
 
Ni katika harakati za kutengeneza stori tu ili waonekane na wao wanampango wa kujibu ila hawatajibu shambulio lolote la moja kwa moja, katika mashambulizi ya moja kwa moja hawamuwezi Iran , Iran anaweza kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia, Air defence system ya Israel ni dhaifu ndo maana juzi Iran kaweza kuichakaza Nevatim base na kuharibu ndege vita zote zilizokua zimejaa pale
Umeshiba kibulu afu unajikuta upo much know. Kumbe famba. Kula mtori afu majibu yatakua yakusikitisha saana mpaka dunia itikisike
 
Inasemekana Israel alikua na mpango wa kuishushia mvua ya mabomu Iran siku hizi mbili.

Israel alikua anashea mpango wake huo wa kuishambulia Iran, lakini kwa bahati mbaya/nzuri zimevuja. Inasemekana kuna intelligence agency mmoja chawa upande wa us amezivujisha habari hizo.

Bado haijajulikana kama israel itaendelea na mpango wake au itasitisha.

Source CNN.


View: https://youtu.be/NeV9eZUNerM?si=wXtWlOACknKybjn8

Mlizani majasusi ni mossad peke yake eeh
 
Back
Top Bottom