Hackers wametapakaa mitaani: Makinika na simu zako na kitambulisho chako cha NIDA

Hackers wametapakaa mitaani: Makinika na simu zako na kitambulisho chako cha NIDA

bora hao kuna jamaa huku ka hack not za ten anajifyatulia tu pesa atakavyo na not zake huwez gundua hy fake hy og mana benk zote zinapenya na ananiambia kabisa broo sijakuja kuteseka dunian nimekuja kula bata huwa nataman nimchome kituon tatz kwa wiki na mm nafyatuliwa tu milion kadhaa twa kula wikeend hy dunia acha tu nyie mnakazana kutafuta hela mwenzenu yupo geto ana print hela kumamake simtaji wacha tule maisha
Chai
 
Hali ni mbaya sana mtaani .. ma IT wameshamaliza kozi zao.. Ajira hakuna .. Sasa wamegeukia utapeli na wizi kwa njia ya mitandao

Makinika na vitambulisho vyako mbalimbali hasa NIDA

Kadi za bank

Passwords nk

Makinika na wasajili laini mitaani na ikiwezekana TCRA wazifunge hizi freelance za mitandao ya kusajili simu.. Kuna mama kapigwa milion 7 mzee mstaafu kiinua mgongo 25M kimekwenda na maji

Sikiliza voice note hizi
View attachment 3099986
Hatari sana
 
Labda hicho chuo cha juu ya ghorofa huku chini fremu na vyumba vya kuishi wapangaji.

Chuo chenye strong system kama UDSM, MZUMBE, DARTU, SUA ama UDOM huwezi kuingilia mfumo wa SARIS.
Ndugu yangu zile nyakati za kufikiri taasisi zenye majina makubwa ndio strong zimepita zamani sana tangu mkakati wa kina Bill Gates kutaka dunia kuwa kijiji ulipoanza.

Cha msingi ni kuwa updated na technology bila kujali ukongwe au ukubwa wa taasisi. Na vijana wengi wanakuwa updated from online education na sio hii formal ambayo wataalamu wake muda mwingi ndo hutengeneza mifumo ya serikali.
 
Yaan police hawanaga msaada kwenye haya maswala 🤣🤣 jibu alilopewa mama hapo juu ndo wote wanatoa eti kuna kesi zaidi ya 10 hapa za kutapeliwa wanaanza kukupa story kabisa za waliotapeliwa !!

Sasa unajiuliza kazi yao nini pale ! Watoe mifano kwa kukamata hata wawili watatu
 
Labda hicho chuo cha juu ya ghorofa huku chini fremu na vyumba vya kuishi wapangaji.

Chuo chenye strong system kama UDSM, MZUMBE, DARTU, SUA ama UDOM huwezi kuingilia mfumo wa SARIS.
Mbona kuna mwaka fulani, yupo jamaa aliwahi ku-hack SUASIS ya SUA na alifanikiwa kujibadilishia matokeo pamoja kwa wanafunzi wenzake? Tukubali tuu kuna watu wapo blessed na hatuna budi kuwatumia sisi kama Taifa kwa ajili ujenzi wa taifa letu. Tusiwe wazito dunia ya sasa nibya ushindani mtu kama huyo aliyeweza kuingilia mifumo imara ni wa kumuweka karibu yako na kumlazimisha ujuzi wake utumike kwa manufaa ya taifa na si uhalifu tena.
Hii itasaidia kuwajenga vijana wenye vipaji wasivitumie vibaya.
 
Ni kweli kabsa 😊 Binafsi wakati tunamaliza chuo tuliandika barua na kupelekea TCRA ili tupate baraka zao katika shughuli yetu nzima ya kutengeneza mfumo wa kuzuia na kushika hawa watu wa tuma kwenye namba hii. AISEE tulipewa jibu moja takatifu nikasema kwa uchungu sana Tanzania tuna viongozi was****e sana! Jitu lilisoma barua ndani ya dakika tano eti linasema mfumo hauna mashiko.
Hapo ndipo pagumu sasa, na kwa sehemu kubwa tunatofautiana na wenzetu katika eneo hilo.
 
Mwizi katumia kuiba pesa kutumia simu yake ambayo imesajiriwa kwa nida ambayo inatoa utambulisho wa mhusika mahali alipo na shule aliyosomea na kazi anayofanya na ndugu zake walipo.

Bado Polisi na Mitandao wanasua sua wanakwambia tu Pole.

Hii nchi bwana.
. Ni hatari sana mkuu.. Majambazi ni hao hao viongozi wa makampuni wakishilikiana na vibaka wa mtaani..

. Police wa siku hizi zimebaki picha tu kama picha za ukutani hamna la maana wanalofanya.
 
. Ni hatari sana mkuu.. Majambazi ni hao hao viongozi wa makampuni wakishilikiana na vibaka wa mtaani..

. Police wa siku hizi zimebaki picha tu kama picha za ukutani hamna la maana wanalofanya.
Inasikitisha sana. Yaani unaibiwa na mtu aliyetumia nyaraka halali za utambulisho lakini Sio Benk, Sio Mitandao ya simu wala sio Polisi wanaojishughulisha badala yake wanasema Pole tu.
 

Ni kweli kabsa 😊 Binafsi wakati tunamaliza chuo tuliandika barua na kupelekea TCRA ili tupate baraka zao katika shughuli yetu nzima ya kutengeneza mfumo wa kuzuia na kushika hawa watu wa tuma kwenye namba hii. AISEE tulipewa jibu moja takatifu nikasema kwa uchungu sana Tanzania tuna viongozi was****e sana! Jitu lilisoma barua ndani ya dakika tano eti linasema mfumo hauna mashiko.
Jitu lilisoma barua ndani ya dakika tano eti linasema mfumo hauna mashiko.🥺🥺🥺🤬
 
Inasikitisha sana. Yaani unaibiwa na mtu aliyetumia nyaraka halali za utambulisho lakini Sio Benk, Sio Mitandao ya simu wala sio Polisi wanaojishughulisha badala yake wanasema Pole tu.
. Wanajua vizuri kuwa huo mchezo upo, ila hawataki tu kufuatilia,
. Wale watu kuwakamata ni rahisi sana serikali ikiamua. Lakini ndo hivyo nchi imekuwa ya vibaka
 

Ni kweli kabsa 😊 Binafsi wakati tunamaliza chuo tuliandika barua na kupelekea TCRA ili tupate baraka zao katika shughuli yetu nzima ya kutengeneza mfumo wa kuzuia na kushika hawa watu wa tuma kwenye namba hii. AISEE tulipewa jibu moja takatifu nikasema kwa uchungu sana Tanzania tuna viongozi was****e sana! Jitu lilisoma barua ndani ya dakika tano eti linasema mfumo hauna mashiko.
Jitu lilisoma barua ndani ya dakika tano eti linasema mfumo hauna mashiko.

Ya post no #47 ina play icheki
 

Ni kweli kabsa 😊 Binafsi wakati tunamaliza chuo tuliandika barua na kupelekea TCRA ili tupate baraka zao katika shughuli yetu nzima ya kutengeneza mfumo wa kuzuia na kushika hawa watu wa tuma kwenye namba hii. AISEE tulipewa jibu moja takatifu nikasema kwa uchungu sana Tanzania tuna viongozi was****e sana! Jitu lilisoma barua ndani ya dakika tano eti linasema mfumo hauna mashiko.
Jitu lilisoma barua ndani ya dakika tano eti linasema mfumo hauna mashiko.
 
Ni kweli kabsa 😊 Binafsi wakati tunamaliza chuo tuliandika barua na kupelekea TCRA ili tupate baraka zao katika shughuli yetu nzima ya kutengeneza mfumo wa kuzuia na kushika hawa watu wa tuma kwenye namba hii. AISEE tulipewa jibu moja takatifu nikasema kwa uchungu sana Tanzania tuna viongozi was****e sana! Jitu lilisoma barua ndani ya dakika tano eti linasema mfumo hauna mashiko.
Hapo maana yake ulichoandika kilimzidi uwezo. Pengine hata hakuelewa chochote. Lakini mbaya zaidi badala afanye consultation kwa wataalam wenzale wampe Insight aka conclude tu anavyoona yeye.
 
Niliibiwa simu yangu, wezi wakabadikisha password zangu na kuiba hela.

Hadi Leo makampuni ya simu yameshindwa kuelewa pin zangu za.M Pesa na Tigo Pesa zilibadiloshwaje?

Wanashirikiana na watu wa makampuni ya simu
Wakizifahamu namba zako za NIDA ni rahisi kwao hata kupiga simu huduma kwa wateja. Pia shida nyingine naona mfumo wa usajili hasa kwa hawa freelancer akiingiza namba ya simu kwenye vile vifaa vyao namba ya NIDA ya muhusika inatokea.
Binafsi naona inatakiwa ianze fingerprints then ndiyo uweke namba ya simu.
 
Mbona kuna mwaka fulani, yupo jamaa aliwahi ku-hack SUASIS ya SUA na alifanikiwa kujibadilishia matokeo pamoja kwa wanafunzi wenzake? Tukubali tuu kuna watu wapo blessed na hatuna budi kuwatumia sisi kama Taifa kwa ajili ujenzi wa taifa letu. Tusiwe wazito dunia ya sasa nibya ushindani mtu kama huyo aliyeweza kuingilia mifumo imara ni wa kumuweka karibu yako na kumlazimisha ujuzi wake utumike kwa manufaa ya taifa na si uhalifu tena.
Hii itasaidia kuwajenga vijana wenye vipaji wasivitumie vibaya.
Ni kama kwenye lile tambara la Leonardo Di Caprio la catch me if you can..
Baada ya mwamba kukichafua sana Ilibidi serikali imuajiri kusaidia nchi ktk kung'amua hiyo michezo ya wajuba....ila Kwa sisi hapa watakufunga au hata hawatajisumbua kutafuta Kwa uzembe walionao
 

Ni kama kwenye lile tambara la Leonardo Di Caprio la catch me if you can..
Baada ya mwamba kukichafua sana Ilibidi serikali imuajiri kusaidia nchi ktk kung'amua hiyo michezo ya wajuba....ila Kwa sisi hapa watakufunga au hata hawatajisumbua kutafuta Kwa uzembe walionao
Wenzetu ni akili kubwa wanetuacha mbali toka karne zilizopita
 
Back
Top Bottom