Hadi leo sielewi shida ni nini, mimi binafsi siwezi na sidhani kama nitakuja kuweza kufanya ngono na mwanamke asiye wangu!

Hadi leo sielewi shida ni nini, mimi binafsi siwezi na sidhani kama nitakuja kuweza kufanya ngono na mwanamke asiye wangu!

Salamu nishamuachiaga ndugu yangu GENTAMYCINE na ndugu zake wa Butiama & Nyamuswa kina Cognizant

Wakuu mimi binafsi huwa sijielewi nina matatizo gani!,yawezekana nikawa dhaifu kwa baadhi ya watu hapa JF lakini pengine yawezekana ndivyo nilivyo!

Tangu nimekuwa mtu mzima huwa sitamani mwanamke tofauti na mwanamke wangu anayenivulia chupi!

Sometimes huwa nikiwaga na washikaji zangu viwanja (Sehemu za starehe) wakati wenzangu baada ya kulewa wakitamani kila mwanamke mimi kwangu mambo huwa tofauti!,Kwanza huwa nikilewa sitakagi kabisa mambo ya wanawake wa kwenye ma-bar!, hadi jamaa wananiitaga kuwa nina misimamo!

Kiukweli mimi huwa nikinywa pombe huwa sitaki kufanya ngono/mapenzi na mwanamke ambaye sijamzoea au ambaye si mwanamke wangu!!

Huwa nikisafiri kuelekea mikoani kwenye shughuli zangu naweza kukaa hata mwaka bila kufanya ngono kwasababu huwa nina kinyaa mno kufanya ngono na mwanamke tofauti na niliyemzoea,kiukweli huwa naonekana kituko lakini hivyo ndivyo nilivyo!

Huwa sitamani ovyo wanawake barabarani hata akiwa mzuri vipi,kiukweli hadi huwa najishangaa nikoje lakini uenda hivyo ndivyo nilivyo,na nadhani hali hii pia imepelekea kusevu pesa ya kutosha kwasababu kama tujuavyo wanawake wengi ni wanyonyaji kama kupe!

Huwa nikiwa na mwanamke nikiyemzoea naenjoy sana na huwa namfaidi sana na huwa nikiwa peke yangu sitamanigi kabisa mwanamke mwingine tofauti na niliyemzoea!, Mwanzo nilidhani uenda likawa limbwata lakini huwa nikikosana na mwanamke wangu niliyemzoea tukaachana huwa inanichukua muda mrefu hadi tena kuja kutafuta mwanamke nitakayempenda na kuzoeana naye kisha tukaanzisha mahusiano!.

Huwa nawashangaa sana washikaji zangu ambao kila Bar tutakayoenda ni lazima watoke na wanawake,kiukweli kwangu huwa tofauti na huwa nina kinyaa sana na wanawake ambao huwa hatujazoeana!.

Nimewahi kujaribu kuwa kama washikaji zangu lakini nikashindwa kwasababu naonaga kama mwanamke ambaye sijamzoea ni mchafu kuliko kawaida!

Wakuu nyie mnawezaje kuwa na michepuko kila kona?
Mimi ni msimamo wangu tu,na huwa nadhani kuwa nitakuja kusahau kutongoza. Sijawahi fikiri km ni tatizo bali huwa ninawawekea ngumu sana wanawake wengine kuipata nafasi ya kufanya utalii kwangu.
 
Upo vizuri kaka, ila siku mkeo akikupiga tukio uta kufa..
Halafu sasa mimi wa kwangu anajua kabisa kuwa huwa sipendi miyeyusho na nimejipanga na niko imara kabisa. Labda iwe ni lazima kutemana lkn eti kunijaribu aone itakuwaje wakati yy mwenyewe huwa anapewa live na wenzie kuwa kabahatika kupata mme ikiwa wao wana wanaume!
 
Salamu nishamuachiaga ndugu yangu GENTAMYCINE na ndugu zake wa Butiama & Nyamuswa kina Cognizant

Wakuu mimi binafsi huwa sijielewi nina matatizo gani!,yawezekana nikawa dhaifu kwa baadhi ya watu hapa JF lakini pengine yawezekana ndivyo nilivyo!

Tangu nimekuwa mtu mzima huwa sitamani mwanamke tofauti na mwanamke wangu anayenivulia chupi!

Sometimes huwa nikiwaga na washikaji zangu viwanja (Sehemu za starehe) wakati wenzangu baada ya kulewa wakitamani kila mwanamke mimi kwangu mambo huwa tofauti!,Kwanza huwa nikilewa sitakagi kabisa mambo ya wanawake wa kwenye ma-bar!, hadi jamaa wananiitaga kuwa nina misimamo!

Kiukweli mimi huwa nikinywa pombe huwa sitaki kufanya ngono/mapenzi na mwanamke ambaye sijamzoea au ambaye si mwanamke wangu!!

Huwa nikisafiri kuelekea mikoani kwenye shughuli zangu naweza kukaa hata mwaka bila kufanya ngono kwasababu huwa nina kinyaa mno kufanya ngono na mwanamke tofauti na niliyemzoea,kiukweli huwa naonekana kituko lakini hivyo ndivyo nilivyo!

Huwa sitamani ovyo wanawake barabarani hata akiwa mzuri vipi,kiukweli hadi huwa najishangaa nikoje lakini uenda hivyo ndivyo nilivyo,na nadhani hali hii pia imepelekea kusevu pesa ya kutosha kwasababu kama tujuavyo wanawake wengi ni wanyonyaji kama kupe!

Huwa nikiwa na mwanamke nikiyemzoea naenjoy sana na huwa namfaidi sana na huwa nikiwa peke yangu sitamanigi kabisa mwanamke mwingine tofauti na niliyemzoea!, Mwanzo nilidhani uenda likawa limbwata lakini huwa nikikosana na mwanamke wangu niliyemzoea tukaachana huwa inanichukua muda mrefu hadi tena kuja kutafuta mwanamke nitakayempenda na kuzoeana naye kisha tukaanzisha mahusiano!.

Huwa nawashangaa sana washikaji zangu ambao kila Bar tutakayoenda ni lazima watoke na wanawake,kiukweli kwangu huwa tofauti na huwa nina kinyaa sana na wanawake ambao huwa hatujazoeana!.

Nimewahi kujaribu kuwa kama washikaji zangu lakini nikashindwa kwasababu naonaga kama mwanamke ambaye sijamzoea ni mchafu kuliko kawaida!

Wakuu nyie mnawezaje kuwa na michepuko kila kona?
baki hivyohivyo
 
Salamu nishamuachiaga ndugu yangu GENTAMYCINE na ndugu zake wa Butiama & Nyamuswa kina Cognizant

Wakuu mimi binafsi huwa sijielewi nina matatizo gani!,yawezekana nikawa dhaifu kwa baadhi ya watu hapa JF lakini pengine yawezekana ndivyo nilivyo!

Tangu nimekuwa mtu mzima huwa sitamani mwanamke tofauti na mwanamke wangu anayenivulia chupi!

Sometimes huwa nikiwaga na washikaji zangu viwanja (Sehemu za starehe) wakati wenzangu baada ya kulewa wakitamani kila mwanamke mimi kwangu mambo huwa tofauti!,Kwanza huwa nikilewa sitakagi kabisa mambo ya wanawake wa kwenye ma-bar!, hadi jamaa wananiitaga kuwa nina misimamo!

Kiukweli mimi huwa nikinywa pombe huwa sitaki kufanya ngono/mapenzi na mwanamke ambaye sijamzoea au ambaye si mwanamke wangu!!

Huwa nikisafiri kuelekea mikoani kwenye shughuli zangu naweza kukaa hata mwaka bila kufanya ngono kwasababu huwa nina kinyaa mno kufanya ngono na mwanamke tofauti na niliyemzoea,kiukweli huwa naonekana kituko lakini hivyo ndivyo nilivyo!

Huwa sitamani ovyo wanawake barabarani hata akiwa mzuri vipi,kiukweli hadi huwa najishangaa nikoje lakini uenda hivyo ndivyo nilivyo,na nadhani hali hii pia imepelekea kusevu pesa ya kutosha kwasababu kama tujuavyo wanawake wengi ni wanyonyaji kama kupe!

Huwa nikiwa na mwanamke nikiyemzoea naenjoy sana na huwa namfaidi sana na huwa nikiwa peke yangu sitamanigi kabisa mwanamke mwingine tofauti na niliyemzoea!, Mwanzo nilidhani uenda likawa limbwata lakini huwa nikikosana na mwanamke wangu niliyemzoea tukaachana huwa inanichukua muda mrefu hadi tena kuja kutafuta mwanamke nitakayempenda na kuzoeana naye kisha tukaanzisha mahusiano!.

Huwa nawashangaa sana washikaji zangu ambao kila Bar tutakayoenda ni lazima watoke na wanawake,kiukweli kwangu huwa tofauti na huwa nina kinyaa sana na wanawake ambao huwa hatujazoeana!.

Nimewahi kujaribu kuwa kama washikaji zangu lakini nikashindwa kwasababu naonaga kama mwanamke ambaye sijamzoea ni mchafu kuliko kawaida!

Wakuu nyie mnawezaje kuwa na michepuko kila kona?
Aisee....yaani nimesoma hii thread yako mpaka mwisho....nimejiona ni mimi kabisa...hakuna kitu naona kinyaa kama kulala na wanawake wengi hovyo hovyo....hata mimi nina uwezo nikakaa mwaka mzima nikawa nimelala na msichana mmoja au wawili yaani hapo ni mwisho......nakumbuka kuna kipindi tulikua na project mikoani tulizurura almost kila mwezi ndani ya miaka mitatu.....lakini nililala na msichana mmoja tu tofauti (other than my girlfriend) huko mkoani.....nilikua nashangaa yaani mtu tumeenda sehemu ngeni lakini mtu anapata wapi ujasiri wa kulala na msichana ambaye hamjui....to me that was big no...
 
Salamu nishamuachiaga ndugu yangu GENTAMYCINE na ndugu zake wa Butiama & Nyamuswa kina Cognizant

Wakuu mimi binafsi huwa sijielewi nina matatizo gani!,yawezekana nikawa dhaifu kwa baadhi ya watu hapa JF lakini pengine yawezekana ndivyo nilivyo!

Tangu nimekuwa mtu mzima huwa sitamani mwanamke tofauti na mwanamke wangu anayenivulia chupi!

Sometimes huwa nikiwaga na washikaji zangu viwanja (Sehemu za starehe) wakati wenzangu baada ya kulewa wakitamani kila mwanamke mimi kwangu mambo huwa tofauti!,Kwanza huwa nikilewa sitakagi kabisa mambo ya wanawake wa kwenye ma-bar!, hadi jamaa wananiitaga kuwa nina misimamo!

Kiukweli mimi huwa nikinywa pombe huwa sitaki kufanya ngono/mapenzi na mwanamke ambaye sijamzoea au ambaye si mwanamke wangu!!

Huwa nikisafiri kuelekea mikoani kwenye shughuli zangu naweza kukaa hata mwaka bila kufanya ngono kwasababu huwa nina kinyaa mno kufanya ngono na mwanamke tofauti na niliyemzoea,kiukweli huwa naonekana kituko lakini hivyo ndivyo nilivyo!

Huwa sitamani ovyo wanawake barabarani hata akiwa mzuri vipi,kiukweli hadi huwa najishangaa nikoje lakini uenda hivyo ndivyo nilivyo,na nadhani hali hii pia imepelekea kusevu pesa ya kutosha kwasababu kama tujuavyo wanawake wengi ni wanyonyaji kama kupe!

Huwa nikiwa na mwanamke nikiyemzoea naenjoy sana na huwa namfaidi sana na huwa nikiwa peke yangu sitamanigi kabisa mwanamke mwingine tofauti na niliyemzoea!, Mwanzo nilidhani uenda likawa limbwata lakini huwa nikikosana na mwanamke wangu niliyemzoea tukaachana huwa inanichukua muda mrefu hadi tena kuja kutafuta mwanamke nitakayempenda na kuzoeana naye kisha tukaanzisha mahusiano!.

Huwa nawashangaa sana washikaji zangu ambao kila Bar tutakayoenda ni lazima watoke na wanawake,kiukweli kwangu huwa tofauti na huwa nina kinyaa sana na wanawake ambao huwa hatujazoeana!.

Nimewahi kujaribu kuwa kama washikaji zangu lakini nikashindwa kwasababu naonaga kama mwanamke ambaye sijamzoea ni mchafu kuliko kawaida!

Wakuu nyie mnawezaje kuwa na michepuko kila kona?
Katika vitu vimenishinda maishani ni kuchukua mwanamke nisiemjua ambae nimekutana nae tu iwe bar/club/njiani/kwenye bus/mtandaoni nk na kwenda kulala nae!

Mimi sina kinyaa ila tu niko selective sana lazima vigezo na masharti viwe vimezingatiwa. Kama ana vigezo stahiki na nimekutana nae ghafla ntachofanya ni kujitahidi nichukue namba, then lazima nichat nae kwa mda kdg nijue kama ana akili za aina gani, then nimtoe out nikae nae nimsome halafu ndio niamue kama nakula au nasepa.
 
Ipo hiyo wala sio ajabu, nikiwaza restriction za kungonoka na mchepuko kama vile, hakuna kulamba K wala tigo yake, naona sifurahii hakuna kujiachia .maana wengine tafsiri yetu ngono sio kupoga pump tuu....so huwez fanya hivo K na T za Wanawake tofaut tofaut hujui wanapitia wapi.
Mkeo/gf wako ni ulishaji sacrifice kiakili ila demu wa kupita inakuwa ni nyege tuu na si akili.
 
Aisee....yaani nimesoma hii thread yako mpaka mwisho....nimejiona ni mimi kabisa...hakuna kitu naona kinyaa kama kulala na wanawake wengi hovyo hovyo....hata mimi nina uwezo nikakaa mwaka mzima nikawa nimelala na msichana mmoja au wawili yaani hapo ni mwisho......nakumbuka kuna kipindi tulikua na project mikoani tulizurura almost kila mwezi ndani ya miaka mitatu.....lakini nililala na msichana mmoja tu tofauti (other than my girlfriend) huko mkoani.....nilikua nashangaa yaani mtu tumeenda sehemu ngeni lakini mtu anapata wapi ujasiri wa kulala na msichana ambaye hamjui....to me that was big no...
Mimi nikienda mkoa hua naona ni bora niingie gharama kusafirisha demu ninaemjua kuliko kuokota wa huko mitaani.
 
Salamu nishamuachiaga ndugu yangu GENTAMYCINE na ndugu zake wa Butiama & Nyamuswa kina Cognizant

Wakuu mimi binafsi huwa sijielewi nina matatizo gani!,yawezekana nikawa dhaifu kwa baadhi ya watu hapa JF lakini pengine yawezekana ndivyo nilivyo!

Tangu nimekuwa mtu mzima huwa sitamani mwanamke tofauti na mwanamke wangu anayenivulia chupi!

Sometimes huwa nikiwaga na washikaji zangu viwanja (Sehemu za starehe) wakati wenzangu baada ya kulewa wakitamani kila mwanamke mimi kwangu mambo huwa tofauti!,Kwanza huwa nikilewa sitakagi kabisa mambo ya wanawake wa kwenye ma-bar!, hadi jamaa wananiitaga kuwa nina misimamo!

Kiukweli mimi huwa nikinywa pombe huwa sitaki kufanya ngono/mapenzi na mwanamke ambaye sijamzoea au ambaye si mwanamke wangu!!

Huwa nikisafiri kuelekea mikoani kwenye shughuli zangu naweza kukaa hata mwaka bila kufanya ngono kwasababu huwa nina kinyaa mno kufanya ngono na mwanamke tofauti na niliyemzoea,kiukweli huwa naonekana kituko lakini hivyo ndivyo nilivyo!

Huwa sitamani ovyo wanawake barabarani hata akiwa mzuri vipi,kiukweli hadi huwa najishangaa nikoje lakini uenda hivyo ndivyo nilivyo,na nadhani hali hii pia imepelekea kusevu pesa ya kutosha kwasababu kama tujuavyo wanawake wengi ni wanyonyaji kama kupe!

Huwa nikiwa na mwanamke nikiyemzoea naenjoy sana na huwa namfaidi sana na huwa nikiwa peke yangu sitamanigi kabisa mwanamke mwingine tofauti na niliyemzoea!, Mwanzo nilidhani uenda likawa limbwata lakini huwa nikikosana na mwanamke wangu niliyemzoea tukaachana huwa inanichukua muda mrefu hadi tena kuja kutafuta mwanamke nitakayempenda na kuzoeana naye kisha tukaanzisha mahusiano!.

Huwa nawashangaa sana washikaji zangu ambao kila Bar tutakayoenda ni lazima watoke na wanawake,kiukweli kwangu huwa tofauti na huwa nina kinyaa sana na wanawake ambao huwa hatujazoeana!.

Nimewahi kujaribu kuwa kama washikaji zangu lakini nikashindwa kwasababu naonaga kama mwanamke ambaye sijamzoea ni mchafu kuliko kawaida!

Wakuu nyie mnawezaje kuwa na michepuko kila kona?
Hongera mkuu,maana huo ndio mtihani wa wanaume wengi sana,wanawake wenyewe wa siku hizi na mavazi wanayovaa,wengi uvumilivu unawashinda.Ila nakushauri uoe sasa...
 
It has something to do with low libido or testosterone
 
Back
Top Bottom