Hadi leo sielewi shida ni nini, mimi binafsi siwezi na sidhani kama nitakuja kuweza kufanya ngono na mwanamke asiye wangu!

Hadi leo sielewi shida ni nini, mimi binafsi siwezi na sidhani kama nitakuja kuweza kufanya ngono na mwanamke asiye wangu!

Salamu nishamuachiaga ndugu yangu GENTAMYCINE na ndugu zake wa Butiama & Nyamuswa kina Cognizant

Wakuu mimi binafsi huwa sijielewi nina matatizo gani!,yawezekana nikawa dhaifu kwa baadhi ya watu hapa JF lakini pengine yawezekana ndivyo nilivyo!

Tangu nimekuwa mtu mzima huwa sitamani mwanamke tofauti na mwanamke wangu anayenivulia chupi!

Sometimes huwa nikiwaga na washikaji zangu viwanja (Sehemu za starehe) wakati wenzangu baada ya kulewa wakitamani kila mwanamke mimi kwangu mambo huwa tofauti!,Kwanza huwa nikilewa sitakagi kabisa mambo ya wanawake wa kwenye ma-bar!, hadi jamaa wananiitaga kuwa nina misimamo!

Kiukweli mimi huwa nikinywa pombe huwa sitaki kufanya ngono/mapenzi na mwanamke ambaye sijamzoea au ambaye si mwanamke wangu!!

Huwa nikisafiri kuelekea mikoani kwenye shughuli zangu naweza kukaa hata mwaka bila kufanya ngono kwasababu huwa nina kinyaa mno kufanya ngono na mwanamke tofauti na niliyemzoea,kiukweli huwa naonekana kituko lakini hivyo ndivyo nilivyo!

Huwa sitamani ovyo wanawake barabarani hata akiwa mzuri vipi,kiukweli hadi huwa najishangaa nikoje lakini uenda hivyo ndivyo nilivyo,na nadhani hali hii pia imepelekea kusevu pesa ya kutosha kwasababu kama tujuavyo wanawake wengi ni wanyonyaji kama kupe!

Huwa nikiwa na mwanamke nikiyemzoea naenjoy sana na huwa namfaidi sana na huwa nikiwa peke yangu sitamanigi kabisa mwanamke mwingine tofauti na niliyemzoea!, Mwanzo nilidhani uenda likawa limbwata lakini huwa nikikosana na mwanamke wangu niliyemzoea tukaachana huwa inanichukua muda mrefu hadi tena kuja kutafuta mwanamke nitakayempenda na kuzoeana naye kisha tukaanzisha mahusiano!.

Huwa nawashangaa sana washikaji zangu ambao kila Bar tutakayoenda ni lazima watoke na wanawake,kiukweli kwangu huwa tofauti na huwa nina kinyaa sana na wanawake ambao huwa hatujazoeana!.

Nimewahi kujaribu kuwa kama washikaji zangu lakini nikashindwa kwasababu naonaga kama mwanamke ambaye sijamzoea ni mchafu kuliko kawaida!

Wakuu nyie mnawezaje kuwa na michepuko kila kona?
Uko kama njiwa. Ubarikiwe.
 
Mkuu sijawahi na sitawahi kupiga Nyeto!
Upo wapi mkuu tuje tukuone, tufanye utalii
Screenshot_20240116-193621~2.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salamu nishamuachiaga ndugu yangu GENTAMYCINE na ndugu zake wa Butiama & Nyamuswa kina Cognizant

Wakuu mimi binafsi huwa sijielewi nina matatizo gani!,yawezekana nikawa dhaifu kwa baadhi ya watu hapa JF lakini pengine yawezekana ndivyo nilivyo!

Tangu nimekuwa mtu mzima huwa sitamani mwanamke tofauti na mwanamke wangu anayenivulia chupi!

Sometimes huwa nikiwaga na washikaji zangu viwanja (Sehemu za starehe) wakati wenzangu baada ya kulewa wakitamani kila mwanamke mimi kwangu mambo huwa tofauti!,Kwanza huwa nikilewa sitakagi kabisa mambo ya wanawake wa kwenye ma-bar!, hadi jamaa wananiitaga kuwa nina misimamo!

Kiukweli mimi huwa nikinywa pombe huwa sitaki kufanya ngono/mapenzi na mwanamke ambaye sijamzoea au ambaye si mwanamke wangu!!

Huwa nikisafiri kuelekea mikoani kwenye shughuli zangu naweza kukaa hata mwaka bila kufanya ngono kwasababu huwa nina kinyaa mno kufanya ngono na mwanamke tofauti na niliyemzoea,kiukweli huwa naonekana kituko lakini hivyo ndivyo nilivyo!

Huwa sitamani ovyo wanawake barabarani hata akiwa mzuri vipi,kiukweli hadi huwa najishangaa nikoje lakini uenda hivyo ndivyo nilivyo,na nadhani hali hii pia imepelekea kusevu pesa ya kutosha kwasababu kama tujuavyo wanawake wengi ni wanyonyaji kama kupe!

Huwa nikiwa na mwanamke nikiyemzoea naenjoy sana na huwa namfaidi sana na huwa nikiwa peke yangu sitamanigi kabisa mwanamke mwingine tofauti na niliyemzoea!, Mwanzo nilidhani uenda likawa limbwata lakini huwa nikikosana na mwanamke wangu niliyemzoea tukaachana huwa inanichukua muda mrefu hadi tena kuja kutafuta mwanamke nitakayempenda na kuzoeana naye kisha tukaanzisha mahusiano!.

Huwa nawashangaa sana washikaji zangu ambao kila Bar tutakayoenda ni lazima watoke na wanawake,kiukweli kwangu huwa tofauti na huwa nina kinyaa sana na wanawake ambao huwa hatujazoeana!.

Nimewahi kujaribu kuwa kama washikaji zangu lakini nikashindwa kwasababu naonaga kama mwanamke ambaye sijamzoea ni mchafu kuliko kawaida!

Wakuu nyie mnawezaje kuwa na michepuko kila kona?
Hongera sana
 
Salamu nishamuachiaga ndugu yangu GENTAMYCINE na ndugu zake wa Butiama & Nyamuswa kina Cognizant

Wakuu mimi binafsi huwa sijielewi nina matatizo gani!,yawezekana nikawa dhaifu kwa baadhi ya watu hapa JF lakini pengine yawezekana ndivyo nilivyo!

Tangu nimekuwa mtu mzima huwa sitamani mwanamke tofauti na mwanamke wangu anayenivulia chupi!

Sometimes huwa nikiwaga na washikaji zangu viwanja (Sehemu za starehe) wakati wenzangu baada ya kulewa wakitamani kila mwanamke mimi kwangu mambo huwa tofauti!,Kwanza huwa nikilewa sitakagi kabisa mambo ya wanawake wa kwenye ma-bar!, hadi jamaa wananiitaga kuwa nina misimamo!

Kiukweli mimi huwa nikinywa pombe huwa sitaki kufanya ngono/mapenzi na mwanamke ambaye sijamzoea au ambaye si mwanamke wangu!!

Huwa nikisafiri kuelekea mikoani kwenye shughuli zangu naweza kukaa hata mwaka bila kufanya ngono kwasababu huwa nina kinyaa mno kufanya ngono na mwanamke tofauti na niliyemzoea,kiukweli huwa naonekana kituko lakini hivyo ndivyo nilivyo!

Huwa sitamani ovyo wanawake barabarani hata akiwa mzuri vipi,kiukweli hadi huwa najishangaa nikoje lakini uenda hivyo ndivyo nilivyo,na nadhani hali hii pia imepelekea kusevu pesa ya kutosha kwasababu kama tujuavyo wanawake wengi ni wanyonyaji kama kupe!

Huwa nikiwa na mwanamke nikiyemzoea naenjoy sana na huwa namfaidi sana na huwa nikiwa peke yangu sitamanigi kabisa mwanamke mwingine tofauti na niliyemzoea!, Mwanzo nilidhani uenda likawa limbwata lakini huwa nikikosana na mwanamke wangu niliyemzoea tukaachana huwa inanichukua muda mrefu hadi tena kuja kutafuta mwanamke nitakayempenda na kuzoeana naye kisha tukaanzisha mahusiano!.

Huwa nawashangaa sana washikaji zangu ambao kila Bar tutakayoenda ni lazima watoke na wanawake,kiukweli kwangu huwa tofauti na huwa nina kinyaa sana na wanawake ambao huwa hatujazoeana!.

Nimewahi kujaribu kuwa kama washikaji zangu lakini nikashindwa kwasababu naonaga kama mwanamke ambaye sijamzoea ni mchafu kuliko kawaida!

Wakuu nyie mnawezaje kuwa na michepuko kila kona?
Ehh unasema kweli eti? Km nikweli mkeo atafurahia sana maisha maana wanaume shida ni nyingi
 
Hongera mazee wapo watu wa dizain yako yupo jamaa namjua kabisa, ila kwa mimi hapana yni ipite yanshi tepetepe nisisimke no papuchi ntabadili adi umri ukienda ntatulia
 
Salamu nishamuachiaga ndugu yangu GENTAMYCINE na ndugu zake wa Butiama & Nyamuswa kina Cognizant

Wakuu mimi binafsi huwa sijielewi nina matatizo gani!,yawezekana nikawa dhaifu kwa baadhi ya watu hapa JF lakini pengine yawezekana ndivyo nilivyo!

Tangu nimekuwa mtu mzima huwa sitamani mwanamke tofauti na mwanamke wangu anayenivulia chupi!

Sometimes huwa nikiwaga na washikaji zangu viwanja (Sehemu za starehe) wakati wenzangu baada ya kulewa wakitamani kila mwanamke mimi kwangu mambo huwa tofauti!,Kwanza huwa nikilewa sitakagi kabisa mambo ya wanawake wa kwenye ma-bar!, hadi jamaa wananiitaga kuwa nina misimamo!

Kiukweli mimi huwa nikinywa pombe huwa sitaki kufanya ngono/mapenzi na mwanamke ambaye sijamzoea au ambaye si mwanamke wangu!!

Huwa nikisafiri kuelekea mikoani kwenye shughuli zangu naweza kukaa hata mwaka bila kufanya ngono kwasababu huwa nina kinyaa mno kufanya ngono na mwanamke tofauti na niliyemzoea,kiukweli huwa naonekana kituko lakini hivyo ndivyo nilivyo!

Huwa sitamani ovyo wanawake barabarani hata akiwa mzuri vipi,kiukweli hadi huwa najishangaa nikoje lakini uenda hivyo ndivyo nilivyo,na nadhani hali hii pia imepelekea kusevu pesa ya kutosha kwasababu kama tujuavyo wanawake wengi ni wanyonyaji kama kupe!

Huwa nikiwa na mwanamke nikiyemzoea naenjoy sana na huwa namfaidi sana na huwa nikiwa peke yangu sitamanigi kabisa mwanamke mwingine tofauti na niliyemzoea!, Mwanzo nilidhani uenda likawa limbwata lakini huwa nikikosana na mwanamke wangu niliyemzoea tukaachana huwa inanichukua muda mrefu hadi tena kuja kutafuta mwanamke nitakayempenda na kuzoeana naye kisha tukaanzisha mahusiano!.

Huwa nawashangaa sana washikaji zangu ambao kila Bar tutakayoenda ni lazima watoke na wanawake,kiukweli kwangu huwa tofauti na huwa nina kinyaa sana na wanawake ambao huwa hatujazoeana!.

Nimewahi kujaribu kuwa kama washikaji zangu lakini nikashindwa kwasababu naonaga kama mwanamke ambaye sijamzoea ni mchafu kuliko kawaida!

Wakuu nyie mnawezaje kuwa na michepuko kila kona?
Sasa si uendelee kutulia hivyo,hivyo
 
Salamu nishamuachiaga ndugu yangu GENTAMYCINE na ndugu zake wa Butiama & Nyamuswa kina Cognizant

Wakuu mimi binafsi huwa sijielewi nina matatizo gani!,yawezekana nikawa dhaifu kwa baadhi ya watu hapa JF lakini pengine yawezekana ndivyo nilivyo!

Tangu nimekuwa mtu mzima huwa sitamani mwanamke tofauti na mwanamke wangu anayenivulia chupi!

Sometimes huwa nikiwaga na washikaji zangu viwanja (Sehemu za starehe) wakati wenzangu baada ya kulewa wakitamani kila mwanamke mimi kwangu mambo huwa tofauti!,Kwanza huwa nikilewa sitakagi kabisa mambo ya wanawake wa kwenye ma-bar!, hadi jamaa wananiitaga kuwa nina misimamo!

Kiukweli mimi huwa nikinywa pombe huwa sitaki kufanya ngono/mapenzi na mwanamke ambaye sijamzoea au ambaye si mwanamke wangu!!

Huwa nikisafiri kuelekea mikoani kwenye shughuli zangu naweza kukaa hata mwaka bila kufanya ngono kwasababu huwa nina kinyaa mno kufanya ngono na mwanamke tofauti na niliyemzoea,kiukweli huwa naonekana kituko lakini hivyo ndivyo nilivyo!

Huwa sitamani ovyo wanawake barabarani hata akiwa mzuri vipi,kiukweli hadi huwa najishangaa nikoje lakini uenda hivyo ndivyo nilivyo,na nadhani hali hii pia imepelekea kusevu pesa ya kutosha kwasababu kama tujuavyo wanawake wengi ni wanyonyaji kama kupe!

Huwa nikiwa na mwanamke nikiyemzoea naenjoy sana na huwa namfaidi sana na huwa nikiwa peke yangu sitamanigi kabisa mwanamke mwingine tofauti na niliyemzoea!, Mwanzo nilidhani uenda likawa limbwata lakini huwa nikikosana na mwanamke wangu niliyemzoea tukaachana huwa inanichukua muda mrefu hadi tena kuja kutafuta mwanamke nitakayempenda na kuzoeana naye kisha tukaanzisha mahusiano!.

Huwa nawashangaa sana washikaji zangu ambao kila Bar tutakayoenda ni lazima watoke na wanawake,kiukweli kwangu huwa tofauti na huwa nina kinyaa sana na wanawake ambao huwa hatujazoeana!.

Nimewahi kujaribu kuwa kama washikaji zangu lakini nikashindwa kwasababu naonaga kama mwanamke ambaye sijamzoea ni mchafu kuliko kawaida!

Wakuu nyie mnawezaje kuwa na michepuko kila kona?
Hongera na mshukuru Mungu.
Naomba Mungu ubakie hivyo
 
Bahati hii ipo kwa wanaume wachache.

Inabidi ujivunie kuwa hivyo, unaepuka mengi sana yaliyo mabaya.

Salamu nishamuachiaga ndugu yangu GENTAMYCINE na ndugu zake wa Butiama & Nyamuswa kina Cognizant

Wakuu mimi binafsi huwa sijielewi nina matatizo gani!,yawezekana nikawa dhaifu kwa baadhi ya watu hapa JF lakini pengine yawezekana ndivyo nilivyo!

Tangu nimekuwa mtu mzima huwa sitamani mwanamke tofauti na mwanamke wangu anayenivulia chupi!

Sometimes huwa nikiwaga na washikaji zangu viwanja (Sehemu za starehe) wakati wenzangu baada ya kulewa wakitamani kila mwanamke mimi kwangu mambo huwa tofauti!,Kwanza huwa nikilewa sitakagi kabisa mambo ya wanawake wa kwenye ma-bar!, hadi jamaa wananiitaga kuwa nina misimamo!

Kiukweli mimi huwa nikinywa pombe huwa sitaki kufanya ngono/mapenzi na mwanamke ambaye sijamzoea au ambaye si mwanamke wangu!!

Huwa nikisafiri kuelekea mikoani kwenye shughuli zangu naweza kukaa hata mwaka bila kufanya ngono kwasababu huwa nina kinyaa mno kufanya ngono na mwanamke tofauti na niliyemzoea,kiukweli huwa naonekana kituko lakini hivyo ndivyo nilivyo!

Huwa sitamani ovyo wanawake barabarani hata akiwa mzuri vipi,kiukweli hadi huwa najishangaa nikoje lakini uenda hivyo ndivyo nilivyo,na nadhani hali hii pia imepelekea kusevu pesa ya kutosha kwasababu kama tujuavyo wanawake wengi ni wanyonyaji kama kupe!

Huwa nikiwa na mwanamke nikiyemzoea naenjoy sana na huwa namfaidi sana na huwa nikiwa peke yangu sitamanigi kabisa mwanamke mwingine tofauti na niliyemzoea!, Mwanzo nilidhani uenda likawa limbwata lakini huwa nikikosana na mwanamke wangu niliyemzoea tukaachana huwa inanichukua muda mrefu hadi tena kuja kutafuta mwanamke nitakayempenda na kuzoeana naye kisha tukaanzisha mahusiano!.

Huwa nawashangaa sana washikaji zangu ambao kila Bar tutakayoenda ni lazima watoke na wanawake,kiukweli kwangu huwa tofauti na huwa nina kinyaa sana na wanawake ambao huwa hatujazoeana!.

Nimewahi kujaribu kuwa kama washikaji zangu lakini nikashindwa kwasababu naonaga kama mwanamke ambaye sijamzoea ni mchafu kuliko kawaida!

Wakuu nyie mnawezaje kuwa na michepuko kila kona?
Kibaiolojia sisi binadamu tupo kwenye kundi la wanyama na ni wanyama kamili.

Mfumo wa uanaume wetu huendeshwa na hormone ya Testosterone, yaani kuanzia kutamani, kutaka na kufanya.

Hormone hiyo iki'collapse' mfumo wako wa kiume lazima uyumbe.

Ulivyo sema tu 'kinyaa' nikaelewa moja kwa moja kuna kasoro pahala.

Mwanaume yeyote asiye kasoro lazima atamani wanawake ovyo ovyo na hawezi kumwonea kinyaa mwanamke, hata kama ni wa barabarani wasiyefahamiana.

Ila kwa kuwa binadamu tumeumbwa na kupewa 'akili' ndiyo tukajiwekea mipaka ya kuchagua: mke, ndugu nk nk.

Kujifunga na kudili na mwanamke mmoja hutokana tu na maamuzi binafsi ambayo yanaweza yakafanywa na mtu yeyote, lakini tamaa juu ya wanawake haiwezu kumwepuka, ni kama vile kuamua kuacha anasa na atarehe, zingine .

Mwanamme yeyote akikatiziwa na mwanamke anayemvutia ni lazima 'ahahe' na kuchizika, iweje wewe uone kinyaa!

Utakuta hata kama ni kazee ka umri gani, akikatiza mwanamke mzuri mbele yake, utasikia kanakohoa 'koho koho koho', yaani kanaumia ingawa hakana cha kufanya!

Sembuse wewe kijana mdogo unaanza kuwaonea kinyaa wanawake, jitafakari buana!
 
Back
Top Bottom