Hafla ya ndoa ya kislamu ya watu 100 kwa pamoja 10/8/2024

Bado hayo yote hayazidi misingi ya ndoa kama Ile ya wabudha ukienda Tibet ukaishi nao unaweza kutamani usiondoke
Ndoa za kiislam sio mbaya ila bado nyingi zina struggle hasa mijini ambapo wanawake wameelimika au kuwa na kipato sawa au kuliko mwanaume
 
Unanisaidia mahari,, chakula je ,mambo ya masihara haya sana.
Kwanini wasiwapatie nyenzo za kuendesha maisha ?
 

View: https://youtu.be/wwNSR3I_daQ?t=157
Taasisi ya dini ya Kiislamu ya Al- Hikma Foundation imetangaza kuwalipia mahari vijana 100 ambao wapo tayari kuoa.
Kati ya matusi mabaya kabisa kwa mwanaume, miongoni mwake ni yafuatayo;

1. Mwanaume kuingiliwa kinyume cha maumbile.
2. Kugongewa mke halafu unajifanya kuvumilia (kwa sababu youote ile)
3. Kulipiwa mahali
4. Kugawa kadi ili uchangiwe kwa ajili ya kufanya harusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…