Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Hili ndio jibu? Sitaki kuaminiKuna watu wanajiua kwa mapenzi, wakikataliwa wanajiua utadhani kaumbiwa yeye tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ndio jibu? Sitaki kuaminiKuna watu wanajiua kwa mapenzi, wakikataliwa wanajiua utadhani kaumbiwa yeye tu
Aikooooooooo!Ooops I've been thinking abt you, glad to see you're still around
Cheers...
Hata Uislam ulianzishwa na Mudi na kuulazimishia kwa watu kupitia Upanga, kwa namna ulivyoenezwa na maisha ya sasa hauna nafasi tenahata wewe ulizaliwa wakati mamilioni watu duniani washazaliwa. lkn maisha yako tofauti na waliopita
😂😂😂Aikooooooooo!
Mahali ni kiasi gani??huwezi kupata mke kama huna mahari
Kuoa na riziki havifungamani..kumbuka Kuna mabachela na inakuwa vigumu kupata riziki ya chakula ndugu....Ukishaoa kipi kinafuata,watakula mahali
USSR
Endelea na mawazo yako hayo, bibi yako aliekufa akiwa sio muislam huko aliko angaliona maandishi haya angalikupiga kibao kwa upuzi uliaondikaHata Uislam ulianzishwa na Mudi na kuulazimishia kwa watu kupitia Upanga, kwa namna ulivyoenezwa na maisha ya sasa hauna nafasi tena
Kuoa na riziki havifungamani..kumbuka Kuna mabachela na inakuwa vigumu kupata riziki ya chakula ndugu....
DADA YAKO YUPO ANAETAKA HIVYO NILIKULETEE KIDUME KIJE KUMCHUKUA?Mahali ni kiasi gani??
Milioni ngapi??
Ishu sio mahari bro, ishu ni kivipi mtasurvive mkioana.
Mahali ambazo anataja mwanamke nani atashindwa kumudu, mahali zisizozidi laki 5, mtu anataka msaafu tu, mwingine komesha kabisa akataka buku 5 tu.
Waliolewa na hao majamaa sio wanawake sahihi.. mwanamke aliyelelewa kwenye misingi ya dini hadai mahari kubwa ikiwa anaetaka kumuoa Hana uwezo WA kumpatia mahari hiyo..Ina maana walioshindwa kutaja hata mas-hafu???Hawakulazimishwa. waliojitokeza walikwama mahari. lkn kuhusu kuendesha maisha yake wanasema watayamudu
View: https://youtu.be/wwNSR3I_daQ?t=157
Taasisi ya dini ya Kiislamu ya Al- Hikma Foundation imetangaza kuwalipia mahari vijana 100 ambao wapo tayari kuoa.
Wewe dada yako umemuozesha kwa biblia tu? au katika ukiristo hakuna hivyo lazima ulipe ngombe 100?Waliolewa na hao majamaa sio wanawake sahihi.. mwanamke aliyelelewa kwenye misingi ya dini hadai mahari kubwa ikiwa anaetaka kumuoa Hana uwezo WA kumpatia mahari hiyo..Ina maana walioshindwa kutaja hata mas-hafu???
Akiliz za kuku uliokuwa nazo wewe. kama serekali inakusomesha kwa bodi ya mkopo halafu ajira unatafuta mwenyeweUnawalipia watu mahari ? Pesa ya kuendesha maisha yao Je? Mahari kijana anatakiwa aitafute na kuilipa mwenyewe , hiyo ndio dalili ya kuonesha utayari wa kuanzisha familia na kuiendesha
Fari'yatafhali...mm sio mkoristo..nitake radhi..Wewe dada yako umemuozesha kwa biblia tu? au katika ukiristo hakuna hivyo lazima ulipe ngombe 100?
Mpagani? SamahaniFari'yatafhali...mm sio mkoristo..nitake radhi..
Ndivo mlivo fundishwa madrasa hivo.. faida ya ndoa kwa mwanamme kwa mwanamke ni kutoa maji yako ya uzazi kwa mwanamke badala ya kumbaka ngombe au mbuzi
Mm ni muislamu... Usijibu vitu kwa mihemko mzeeMpagani? Samahani
kwa mujibu wa bibleNdivo mlivo fundishwa madrasa hivo.
View: https://youtu.be/wwNSR3I_daQ?t=157
Taasisi ya dini ya Kiislamu ya Al- Hikma Foundation imetangaza kuwalipia mahari vijana 100 ambao wapo tayari kuoa.