Chipukizi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 4,409
- 6,773
View: https://youtu.be/wwNSR3I_daQ?t=157
Taasisi ya dini ya Kiislamu ya Al- Hikma Foundation imetangaza kuwalipia mahari vijana 100 ambao wapo tayari kuoa.
Baada ya Harusi Watawapa Ajira?? Watawalisha nini hawa Warembo na ajira akuna??