Hafla ya ndoa ya kislamu ya watu 100 kwa pamoja 10/8/2024

Hafla ya ndoa ya kislamu ya watu 100 kwa pamoja 10/8/2024

watapatiwa , uislam ndio dini pekee ilioweka misingi mizuri katika ndoa
Misingi ya ndoa ilianzishwa kabla ya kuwepo kwa hizi dini Ref Eden Garden. Kusema misingi ya ndoa iliwekwa na dini ni Matatizo tu. Misingi kwa Utashi wa dini ni ubatili tu kwa sababu Kuna watu wameweka viutaratibu vyao vingi vingi tu havina maana.
 
Misingi ya ndoa ilianzishwa kabla ya kuwepo kwa hizi dini Ref Eden Garden. Kusema misingi ya ndoa iliwekwa na dini ni Matatizo tu. Misingi kwa Utashi wa dini ni ubatili tu kwa sababu Kuna watu wameweka viutaratibu vyao vingi vingi tu havina maana.
hata wewe ulizaliwa wakati mamilioni watu duniani washazaliwa. lkn maisha yako tofauti na waliopita
 
Misingi ya ndoa ilianzishwa kabla ya kuwepo kwa hizi dini Ref Eden Garden. Kusema misingi ya ndoa iliwekwa na dini ni Matatizo tu. Misingi kwa Utashi wa dini ni ubatili tu kwa sababu Kuna watu wameweka viutaratibu vyao vingi vingi tu havina maana.
Umeamua kujibu kama kujibu tu 😂😂
 
Kama mwanamke unayemuoa anataja mahari kubwa kuliko uwezo wako, alafu ukachangiwa na watu hiyo mahari ili umuoe
Hapo wote huyo mwanamke na huyo anayemuoa wote HAWANA AKILI
Kuna watu wanajiua kwa mapenzi, wakikataliwa wanajiua utadhani kaumbiwa yeye tu
 
Back
Top Bottom