Baada ya Harusi Watawapa Ajira?? Watawalisha nini hawa Warembo na ajira akuna??
View: https://youtu.be/wwNSR3I_daQ?t=157
Taasisi ya dini ya Kiislamu ya Al- Hikma Foundation imetangaza kuwalipia mahari vijana 100 ambao wapo tayari kuoa.
Utawalisha Msahafu hawa ma bibi harusi??Wakiristo wanatamani wafanye hivi, lkn wanashindwa
wengi ni waendesha boda boda kama weweBaada ya Harusi Watawapa Ajira?? Watawalisha nini hawa Warembo na ajira akuna??
wana ajira za boda boda na kuuza karanga kama wewe. mbona wewe unaweza?Utawalisha Msahafu hawa ma bibi harusi??
"Kwa sababu hiyo mwanaume atiacha baba yake na mama yake, naye atashikana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja."Mwanzo 2:24:Ndivo mlivo fundishwa madrasa hivo.
Sawakwa mujibu wa bible
Tamaduni na mila zetu mahali hapangi anaeolewa, mchakato wake tu utasanda.DADA YAKO YUPO ANAETAKA HIVYO NILIKULETEE KIDUME KIJE KUMCHUKUA?
uvunjifu wa haki za binaadam huo, kumyima haki mwanamke kitu ambacho uislam unakipiga vita mnoTamaduni na mila zetu mahali hapangi anaeolewa, mchakato wake tu utasanda.
Hawa hawa wanaooa visichana vidogo vya umri wa miaka 9 ?!!!...uislam ndio dini pekee ilioweka misingi mizuri katika ndoa
Nawajibu vizuri tu, nani nimejibu vibaya? wanaochukia waislam ni wale wanaofuta Propaganda za wasiokuwa waislamMalaria 2 unajifanya muislamu mfia dini..
Baada ya kujibu watu vizuri kwa majibu ya misingi ya dini ..ww unajibu kwa kebehi,na kejeli...si unyamaze tu kama unaona jibu la kumpa mtu huna...
Unafanya dini nyingine waanze kuuchukia uislamu... badilika...
Ndio maana wanaachika harakaNilidhan kwenye uislam hakuna mahari kubwa ya kumshinda kijana kuoa
hahahaha. unafurahisha sana. katika uislam kuna process za kuachana. dini nyengine kuachana na kudhuriana maishaNdio maana wanaachika haraka
🤣🤣🤣Watauza Alkasusu🤣🤣🤣wana ajira za boda boda na kuuza karanga kama wewe. mbona wewe unaweza?
Hakuna tunawaona talaka 3 chukua sikutaki ndio imeisha unavuta kipya mnaraha ila mnadhambihahahaha. unafurahisha sana. katika uislam kuna process za kuachana. dini nyengine kuachana na kudhuriana maisha
UnAruhusiwaNa dini nyingine wakija je wataruhusiwa kubadirisha dini au ndo unabaki na dini yako